1stMay
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 571
- 778
[emoji23][emoji23]
Huyo mzee na mama mbona kila mmoja anaangalia upande wake!!ndani kuna amani kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee na mama mbona kila mmoja anaangalia upande wake!!ndani kuna amani kweli
Ingekuwa Pakistan ndiyo Shida!!!! Bongo hata FFU anadhibiti kila kitu!Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Picha kama hii ingekuwa na maana sana kama pembeni angekuwapo Zitto, Mbowe au Mbatia kwa maana ya umoja wa kitaifa.. Lakini.....Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.
View attachment 975883
Inaonyesha kuna shida mahalaHuyo mzee na mama mbona kila mmoja anaangalia upande wake!!ndani kuna amani kweli
Umewaza vzrJana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Uko sahihiJana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
UNASEMA?C ndege ilikuwa imepark tu
Kama ndo mtu yule yule kapost hata huku?C & P kutoka kwa mtu fulani kule twitter.
Epuka plagiarism