Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.

Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.

Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.

Hili huwa linazingatiwa au hapana.

Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Ingekuwa Pakistan ndiyo Shida!!!! Bongo hata FFU anadhibiti kila kitu!
 
Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.

Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.

Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.

Hili huwa linazingatiwa au hapana.

Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Umewaza vzr
But je huwa Unasikia kutoka wap,mkuu!!
 
Sio salama kabisa kam ulivyosema lilitokea la kutokea wanasombwa wote hapo.
Nikupe case chache moja wapo ni iliyobeba rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda na mwenzie wa Burundi pamoja na viongozi wengine wa serikali walivyoangamia wote baada ya ndege iliyowabeba kupigwa bomu ikitokea Tanzania back 1994.
 
Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.

Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.

Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.

Hili huwa linazingatiwa au hapana.

Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Uko sahihi
 
likitokea tatizo wakiwa ndani naamini kuna watakaoshukuru maana hawatohitaji kusubiri mpk 2020 tena
 
Back
Top Bottom