Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Kama sio ushamba wameka wanaenda wapi? ila viongozi wa Africa ni ma peasant sana.....kuzindua ndege mpaka ingie ndani na kukaa? Unafikiri ni wakaguzi wa ndege, wakati huo ujuzi hawana, ni wana siasa uchara
wewe kinachokusumbua ni chuki za kipumbavu,viongozi kuingia ndani ya ndege waliyoinunua kuna shida gani?
Yani ninunue gari halafu mpumbavu mmoja analalamika kwanini nimeingia ndani ya gari hilo kulizindua kisa ni gari la biashara.
Ukiendelea na chuki na roho hii ya kichawi utakufa kabla ya muda wako.
 
Lingine kuonyesha tuko poor kwenye intelligence

Jana raisi alisema ndege inayokuja ni ngorongoro,wengine wakasema dodoma,raisi akakubali inayokuja ni ngorongoro na dodoma itafuatia.

Imetua pale nikasoma nikaona imeandikwa dodoma...nikawaza hivi kumbe hata uhakika wa ni ipi inayokuja hata wao matop pale wanababaika.

Kinaweza kusound kama kitu kidogo laini kina maana sana kiusalama.
Rais alisema inayokuja ni Dodoma wakamwambia ni ngorongoro.
Hivi ni vitu minor sana.
 
Hao wanapokutana wote sehemu mmoja ulinzi wake unakua ni mkali sana na wa hali ya juu...


Ni kama vile Marais wa nchi mbali mbali wanapokutana nchi moja kwa ajili ya mazungumzo...


Cc: mahondaw
 
Long trip planes lazima ziwe na viburudisho kama individual tv, ambayo imeambatanishwa na simu siyo lazima iwe dreamliner. Hii inakuwa hewani masaa saba, unafikiri watakaa masaa saba wanaangaliana? Nahisi hata vinywaji vitauzwa kwa slogan ya hapa kazi tuuu!

Tuli book ATCL tukiwa nje ya nchi kwa ajili ya trip ya return ticket ya July. Tumefika Airport saa kumi na mbili BK tukijua depurture saa tatu tunaambiwa mpaka saa tano. Tukawauliza mbona hamkututumia email na mnajua tumelipia kwenye email? Hatukupata jibu tuliambiwa ilibidi twende ku confirm kitu ambacho ni cha kalne iliyopita. Who confirm the flight nowadays when it is OK? Tulisubiri tukijua tutarudishwa lakini tulipata seat ila tubadilike. This was this year July. Je watalii wetu wangefurahia hili?
Mzee nimekuuliza je dreamlinner naona unanipa historia yako na atcl, duh!
 
Long trip planes lazima ziwe na viburudisho kama individual tv, ambayo imeambatanishwa na simu siyo lazima iwe dreamliner. Hii inakuwa hewani masaa saba, unafikiri watakaa masaa saba wanaangaliana? Nahisi hata vinywaji vitauzwa kwa slogan ya hapa kazi tuuu!

Tuli book ATCL tukiwa nje ya nchi kwa ajili ya trip ya return ticket ya July. Tumefika Airport saa kumi na mbili BK tukijua depurture saa tatu tunaambiwa mpaka saa tano. Tukawauliza mbona hamkututumia email na mnajua tumelipia kwenye email? Hatukupata jibu tuliambiwa ilibidi twende ku confirm kitu ambacho ni cha kalne iliyopita. Who confirm the flight nowadays when it is OK? Tulisubiri tukijua tutarudishwa lakini tulipata seat ila tubadilike. This was this year July. Je watalii wetu wangefurahia hili?
Mzee nimekuuliza je dreamlinner naona unanipa historia yako na atcl, duh!
 
Alafu dizain kama vile majaliwa alikua anaomba namba ya simu mtoto akawa anacheka tu
 
Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.

Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.

Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.

Hili huwa linazingatiwa au hapana.

Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.

ulinzi wote bado unauliza tu.kama unauliza condom na mimba
 
Nachoamini hadi ndege hiyo inatua hapa nchini ilikuwa imefanyiwa ukaguzi.

Hao marubani waliokuwemo siyo wote ni marubani lahasha! Kuna wengine walienda kwa kazi maalum.

Awamu hii ya 5 ni moja kati awamu ambayo imeonesha wazi sana matumizi makubwa kwenye kila kitu dhidi ya mabawa ya tai.
 
Back
Top Bottom