Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Watajijua...mimi wa nanjirinji sijui maswala yao
 
Mkuu, hiyo ndege iliruka ? Mbona pale uwanja wa ndege nako walikuwa wamekaa wote kwa pamoja au kunapokwepo sherehe ya Kitaifa mbona wote hukusanyika eneo moja, unasemaje kuhusu hilo ?
 
Huwa watu wa usalama wanakagua kwanza
 
DAH, ilitakiwa ipigwe bomu..... kila kitu sambaratika..... dadadeki
 
Sisi watu tunaomwamini Mungu tunaamini kuwa kifo kama Mungu amekipanga hakuna mwanadamu anaweza kukipangua and vice versa.

Hivi katika hao wote walioingia na wakuu wa ulinzi na usalama waliokuwepo pale kuna asiyeamini hilo kweli? Labda ndo maana waliacha iwe hivyo.
 
mbona kwenye kumbi za mikutano hua pamoja au shida ndege!!
 
Kama sio ushamba wameka wanaenda wapi? ila viongozi wa Africa ni ma peasant sana.....kuzindua ndege mpaka ingie ndani na kukaa? Unafikiri ni wakaguzi wa ndege, wakati huo ujuzi hawana, ni wana siasa uchara
Hatutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia lazma viongozi wetu wajiridhishe.Kwani walivyopanda na kukaa tu sie kama taifa tumepata hasara gani hali yakuwa haijatumia mafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…