wewe kinachokusumbua ni chuki za kipumbavu,viongozi kuingia ndani ya ndege waliyoinunua kuna shida gani?Kama sio ushamba wameka wanaenda wapi? ila viongozi wa Africa ni ma peasant sana.....kuzindua ndege mpaka ingie ndani na kukaa? Unafikiri ni wakaguzi wa ndege, wakati huo ujuzi hawana, ni wana siasa uchara
Huyo mzee na mama mbona kila mmoja anaangalia upande wake!!ndani kuna amani kweli
Rais alisema inayokuja ni Dodoma wakamwambia ni ngorongoro.Lingine kuonyesha tuko poor kwenye intelligence
Jana raisi alisema ndege inayokuja ni ngorongoro,wengine wakasema dodoma,raisi akakubali inayokuja ni ngorongoro na dodoma itafuatia.
Imetua pale nikasoma nikaona imeandikwa dodoma...nikawaza hivi kumbe hata uhakika wa ni ipi inayokuja hata wao matop pale wanababaika.
Kinaweza kusound kama kitu kidogo laini kina maana sana kiusalama.
Kesho utaitwa ww ukakague mzeeUkaguzi wa ndege ndio huo?
Mzee nimekuuliza je dreamlinner naona unanipa historia yako na atcl, duh!Long trip planes lazima ziwe na viburudisho kama individual tv, ambayo imeambatanishwa na simu siyo lazima iwe dreamliner. Hii inakuwa hewani masaa saba, unafikiri watakaa masaa saba wanaangaliana? Nahisi hata vinywaji vitauzwa kwa slogan ya hapa kazi tuuu!
Tuli book ATCL tukiwa nje ya nchi kwa ajili ya trip ya return ticket ya July. Tumefika Airport saa kumi na mbili BK tukijua depurture saa tatu tunaambiwa mpaka saa tano. Tukawauliza mbona hamkututumia email na mnajua tumelipia kwenye email? Hatukupata jibu tuliambiwa ilibidi twende ku confirm kitu ambacho ni cha kalne iliyopita. Who confirm the flight nowadays when it is OK? Tulisubiri tukijua tutarudishwa lakini tulipata seat ila tubadilike. This was this year July. Je watalii wetu wangefurahia hili?
Mzee nimekuuliza je dreamlinner naona unanipa historia yako na atcl, duh!Long trip planes lazima ziwe na viburudisho kama individual tv, ambayo imeambatanishwa na simu siyo lazima iwe dreamliner. Hii inakuwa hewani masaa saba, unafikiri watakaa masaa saba wanaangaliana? Nahisi hata vinywaji vitauzwa kwa slogan ya hapa kazi tuuu!
Tuli book ATCL tukiwa nje ya nchi kwa ajili ya trip ya return ticket ya July. Tumefika Airport saa kumi na mbili BK tukijua depurture saa tatu tunaambiwa mpaka saa tano. Tukawauliza mbona hamkututumia email na mnajua tumelipia kwenye email? Hatukupata jibu tuliambiwa ilibidi twende ku confirm kitu ambacho ni cha kalne iliyopita. Who confirm the flight nowadays when it is OK? Tulisubiri tukijua tutarudishwa lakini tulipata seat ila tubadilike. This was this year July. Je watalii wetu wangefurahia hili?
Asante mkuu... hawajahoji hilo!Ni sawa na kukaa jukwani tu
Kuna mtu ame comment humu....Mpe mtoto wa masikini biriani kuku uone kama mfupa wa paja hajatembea nao mpaka mtaa wa 7......Masikini akipata matako
Sio Sahihi Kwa Maana Gani?Uko sahihi Sana
Kiusalama sio sahihi kabisa
Hakuna kitu minor kwenye safetyRais alisema inayokuja ni Dodoma wakamwambia ni ngorongoro.
Hivi ni vitu minor sana.
Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Don't carry all eggs in one basketSio Sahihi Kwa Maana Gani?
Wamenuniana mzee alkuwa anang'ang'ania akae dirishan[emoji1] [emoji1] [emoji1]Huyo mzee na mama mbona kila mmoja anaangalia upande wake!!ndani kuna amani kweli
HajuiUnajua kulichomtokea Habyarimana Na Ntaryamira tarehe 6th April, 1994?
Tuanzie hapo kwanza
Nliwaza same thing,nkabaki naombea tu lisitokee janga,Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.
View attachment 975883