Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mbona kama mnauchosha! Rasimu ya warioba si ipo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa wewe vipengele si unajidai unajua Sheria. Unapaniki paniki Kama una mimbaUmeambkwa vipengele gani umekimbilia u-DC. U DC ni kipengele? Pumbavu!!!
Umemaliza ongezea hapo atakaegunduluja kafisadi anyongwe jumatatu pale kwa mkapa iwe siku maalum na vyombo vya habari virushe liveMadaraka ya rais ni makubwa iwepo check and balance rais awajibishwe kwa kutofuata katiba, jinai, Wizi na ufisadi hata akiwa madarakani.
Kazi za mahakama ziachwe zifanywe na mahakama kama kupatikana kwa Majaji, jaji mkuu, mwanasheria mkuu wa serikali!
Kuondoa utitili wa vyeo kama
Mkuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa
Wabaki wakurugenzi
Wabaki wabunge
Wabaki madiwani na meya ndiye awe bosi wa wilaya na achaguliwe na wananchi
Wabunge wagombee wawili yaani mwanamke na mwanaume na lisiwe jimbo iwe kwa kila wilaya
Waziri mkuu na mawaziri wasiwe wabunge wawe wasomi na wapitishwe na bunge na mahakama kwa kufanyiwa vetting na kuangaliwa juu ya record zao za uko nyuma.
Sera ya Elimu iwekwe kwenye katiba hata aje kichaa gani watanzania waweze kusoma bure elimu ya msingi na sekondani na elimu yote i-base kwenye technical education.
Afya tuwe na Sera ya bima kwa watu wote iwe ni lazima kwa kila mtu utengenezwe mfumo wa kila raia kuwa na bima ya bei nafuu na tuwatambue masikini wote wanaoishi chini ya dollar moja kwa siku bima wapewe bure ndani ya katiba.
Ni hayo tu wengine watasema mengine!!
Achana nalo Ni moja Taga aina ya mwendazake gangWewe ni mzima au umekimbia matibabu? Mbona unatukana watu hovyo wakati mleta mada kimsingi kataka maoni.
Adhabu ya kifo ni kinyume na haki za binadamu. Lengo la adhabu ni "deterrence", yaani kumfanya mkosaji ajutie kosa na asirudie.iingizwe Adhabu ya kifo kwa wala rushwa na Mafisadi.
Neno Muungano hapo ndipo ccm mtagombanaMuungano upitiwe upya , twende na serikali tatu, Tanganyika iludi, wa Sasa hapana, Tanganyika imemezwa
Itakuwa fundisho kwa atakayeshuhudia na atafanya akijua lazima aende na maji hio adhabu ni sawa kabisa tena irushwe live pale uwanja wa Uhuru CCM waaache kutuchezeaAdhabu ya kifo ni kinyume na haki za binadamu. Lengo la adhabu ni "deterrence", yaani kumfanya mkosaji ajutie kosa na asirudie.
Ukishamuua lengo la adhabu linapotea kwa kuwa anakuwa hayupo tena kwa kujifunza
Ndo kimzizi chao nini Mkuu ,why tugombane wakati ukweli upo wazi kwamba Tanganyika imemezwa,Neno Muungano hapo ndipo ccm mtagombana
Toa wewe vipengele si unajidai unajua Sheria. Unapaniki paniki Kama una mimba
Kwa kadri joto la kudai katiba mpya linavyozidi ndivyo ninavyojiuliza maswali mengi sana.
Maswali haya yanatokana na kwamba tulishuhudia jirani zetu Kenya walitunga katiba mpya kwa mbwembwe nyingi sana, kwa kuaminishwa kwamba wamepata muarobaini wa demokrasia.
Hata hivyo muda mfupi baadae walianza kuilalamikia hiyo katiba mpya kiasi cha kuibuka upya kwa vuguvugu linalodai mabadiliko mengine ya katiba ambayo hata raisi yuko upande wa walalamikaji.
Kwa uelewa wangu wa kawaida, kwa nchi zetu za kiafrika katiba nzuri ni ile inayompendelea mhusika kwenye maslahi yake.
Tuache kuzolewa na upepo wa wanasiasa naomba tutoe maoni huru kabla ya kuvaa jezi ya chama chochote ni kipengele kipi na kipi unadhani hakipaswi kuwepo kwenye katiba na kwa sababu zipi?
Nadhani amekupata vyema
Umeambkwa vipengele gani umekimbilia u-DC. U DC ni kipengele? Pumbavu!!!
Mtoa mada kaulizia "vipengele". Huyo niliyemjibu Kuna kipengele kakionesha? Pumbavu!Wewe ni mzima au umekimbia matibabu? Mbona unatukana watu hovyo wakati mleta mada kimsingi kataka maoni.
Kwa kadri joto la kudai katiba mpya linavyozidi ndivyo ninavyojiuliza maswali mengi sana.
Maswali haya yanatokana na kwamba tulishuhudia jirani zetu Kenya walitunga katiba mpya kwa mbwembwe nyingi sana, kwa kuaminishwa kwamba wamepata muarobaini wa demokrasia.
Hata hivyo muda mfupi baadae walianza kuilalamikia hiyo katiba mpya kiasi cha kuibuka upya kwa vuguvugu linalodai mabadiliko mengine ya katiba ambayo hata raisi yuko upande wa walalamikaji.
Kwa uelewa wangu wa kawaida, kwa nchi zetu za kiafrika katiba nzuri ni ile inayompendelea mhusika kwenye maslahi yake.
Tuache kuzolewa na upepo wa wanasiasa naomba tutoe maoni huru kabla ya kuvaa jezi ya chama chochote ni kipengele kipi na kipi unadhani hakipaswi kuwepo kwenye katiba na kwa sababu zipi?