Vipengele vya Katiba unavyodhani haviko sawa na mapendekezo yako

Vipengele vya Katiba unavyodhani haviko sawa na mapendekezo yako

Katiba iwe na Kipengele Cha kuruhusu wagombea binafsi ili kuwapa nafasi na wale ambao hawana Imani na vyama vya siasa waweze kugombea nafasi ya Urais, Ubunge na Madiwani .
 
Kwenye kuajiliwa hapa nakupinga,kwa hiyo waajiliwe maafisa wa tume watakao sambazwa nchi nzima wakati majukumu yao makubwa yako kila baada ya miaka mitano na inapotokea kufanyika uchaguzi mdogo ambao nao mi emergence.Je huo mshahara na masilahi ya kuwalipa wote hao vinatoka wapi? Huo si ndo uhujumu uchumi namba moja?
Wanaajiriwa kwa msimu wa uchaguzi tu kama vile wale waliochaguliwa kipindi cha kubadir katiba mpya.
 
Kipengele cha kuimarisha vyama vya upinzani kama taasisi za kijamii na si taasisi za familia kama ilivyo kwa cdm. Tuwe na vyama vya kisiasa vikuu visivo zidi vitatu na vingine viwe afilliated.
 
Back
Top Bottom