Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaajiriwa kwa msimu wa uchaguzi tu kama vile wale waliochaguliwa kipindi cha kubadir katiba mpya.Kwenye kuajiliwa hapa nakupinga,kwa hiyo waajiliwe maafisa wa tume watakao sambazwa nchi nzima wakati majukumu yao makubwa yako kila baada ya miaka mitano na inapotokea kufanyika uchaguzi mdogo ambao nao mi emergence.Je huo mshahara na masilahi ya kuwalipa wote hao vinatoka wapi? Huo si ndo uhujumu uchumi namba moja?