je haya yote yamo katika ile rasimu ya warioba?
ninachojua kiasi ni kwamba katiba mpya itakuja kuendelea pale mchakato ulipoishia
Hayo tano mkuu bila kuusahau mhogo mchungu: serikali 3 au 1.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je haya yote yamo katika ile rasimu ya warioba?
ninachojua kiasi ni kwamba katiba mpya itakuja kuendelea pale mchakato ulipoishia
Nitoe vipengele kwani ushawahi kusikia nalalamikia Katiba? Pumbavu!Toa wewe vipengele si unajidai unajua Sheria. Unapaniki paniki Kama una mimba
We wazanzibar watakupiga dua Sasa hivi,MI NAOMBA TANZANIA IUNDWE UPYA KUWA MOJA. KATIBA MOJA, RAIS MMOJA, BUNGE MOJA NA MAHAKAMA MOJA. CHINI YAKE NI MAJIMBO. KIFUP KUSIWEPO BARA NA VISIWAN AU TANGANYIKA NA ZANZIBAR
ni kwa faida ya wote naamin. wakiendelea kushupaza shingo bas tuache vyote. kuna watu hawatambui umuhim wa mtu mpaka awe marehem. sasa bara wao wanamiliki ardhi sisi kwao hapana. kama vile tunalazmisha ndoa. zanzibar ipo tanganyika haipo(ingawa binafs hata neno tanganyika silipend). wana wabunge huku sisi kwao hatuna. wana katiba yao sisi hatuna. wana rais wao sisi hatuna. kila kitu tunawapanulia tuuu.We wazanzibar watakupiga dua Sasa hivi,
Mkuu binafsi naunga mkono mawazo YAKO ,ila wazanzibar kuwambia tuifute Zanzibar Kama AMBAVYO ilifanyika kwa TANGANYIKA ili tue kitu kimoja ,Jiandae na makombora ya dua, hawawezi kukubali, serikali tatu ndo inaweza tutoa tulipo , tuludishiwe TANGANYIKA ,then pawepo serikali ya Muungano,ni kwa faida ya wote naamin. wakiendelea kushupaza shingo bas tuache vyote. kuna watu hawatambui umuhim wa mtu mpaka awe marehem. sasa bara wao wanamiliki ardhi sisi kwao hapana. kama vile tunalazmisha ndoa. zanzibar ipo tanganyika haipo(ingawa binafs hata neno tanganyika silipend). wana wabunge huku sisi kwao hatuna. wana katiba yao sisi hatuna. wana rais wao sisi hatuna. kila kitu tunawapanulia tuuu.
UNDUGU WETU UMESHAKOMAA INATOSHA TUWE NCHI MOJA, YENYE SERKALI MOJA. sana sana bara watasaidia kuambukiza kupenda haki na ustaarab.
Hapo kwenye muundo wa serikali ndipo penye ugumu wa katiba. Tukifika hapo nu bora kupaacha kwanza kiporo(deffered). Hata hivyo rasimu ya Warioba lazima ipitiwe sambamba na rasimu ya Sita ili kuona mapungufu na tofauti zilizopo na practically inakuwaje.Muungano upitiwe upya , twende na serikali tatu, Tanganyika iludi, wa Sasa hapana, Tanganyika imemezwa
Yote KWA yote mkuu muungano twautaka ila uwe fair pande zote bila kujali ni njia gani zitumike kuweka USAWA ,vinginevyo mawazo yako pia yanajenga mkuuHapo kwenye muundo wa serikali ndipo penye ugumu wa katiba. Tukifika hapo nu bora kupaacha kwanza kiporo(deffered). Hata hivyo rasimu ya Warioba lazima ipitiwe sambamba na rasimu ya Sita ili kuona mapungufu na tofauti zilizopo na practically inakuwaje.
Kwenye kuajiliwa hapa nakupinga,kwa hiyo waajiliwe maafisa wa tume watakao sambazwa nchi nzima wakati majukumu yao makubwa yako kila baada ya miaka mitano na inapotokea kufanyika uchaguzi mdogo ambao nao mi emergence.Je huo mshahara na masilahi ya kuwalipa wote hao vinatoka wapi? Huo si ndo uhujumu uchumi namba moja?Tume ya uchaguzi iwe ni taasisi inayohusisha watu wenye taaruma hiyo na waajiriwe kama wafanyakazi wengine wa umma mfano hakimu, dakitari mwalimu n.k na isiwe tume yenye watendaji wanaochaguliwa na rais au na kiongozi yeyote anayetokana na chama.
Vp ukigundulika we we ndo umehujumu,uko tayari kunyongwa?Umemaliza ongezea hapo atakaegunduluja kafisadi anyongwe jumatatu pale kwa mkapa iwe siku maalum na vyombo vya habari virushe live
'Succession plan and leadership transition' hatunaKwa kadri joto la kudai katiba mpya linavyozidi ndivyo ninavyojiuliza maswali mengi sana.
Maswali haya yanatokana na kwamba tulishuhudia jirani zetu Kenya walitunga katiba mpya kwa mbwembwe nyingi sana, kwa kuaminishwa kwamba wamepata muarobaini wa demokrasia.
Hata hivyo muda mfupi baadae walianza kuilalamikia hiyo katiba mpya kiasi cha kuibuka upya kwa vuguvugu linalodai mabadiliko mengine ya katiba ambayo hata raisi yuko upande wa walalamikaji.
Kwa uelewa wangu wa kawaida, kwa nchi zetu za kiafrika katiba nzuri ni ile inayompendelea mhusika kwenye maslahi yake.
Tuache kuzolewa na upepo wa wanasiasa naomba tutoe maoni huru kabla ya kuvaa jezi ya chama chochote ni kipengele kipi na kipi unadhani hakipaswi kuwepo kwenye katiba na kwa sababu zipi?
CDM nao wapewe kuongoza nchi maana wanalalamika sanaKwa kadri joto la kudai katiba mpya linavyozidi ndivyo ninavyojiuliza maswali mengi sana.
Maswali haya yanatokana na kwamba tulishuhudia jirani zetu Kenya walitunga katiba mpya kwa mbwembwe nyingi sana, kwa kuaminishwa kwamba wamepata muarobaini wa demokrasia.
Hata hivyo muda mfupi baadae walianza kuilalamikia hiyo katiba mpya kiasi cha kuibuka upya kwa vuguvugu linalodai mabadiliko mengine ya katiba ambayo hata raisi yuko upande wa walalamikaji.
Kwa uelewa wangu wa kawaida, kwa nchi zetu za kiafrika katiba nzuri ni ile inayompendelea mhusika kwenye maslahi yake.
Tuache kuzolewa na upepo wa wanasiasa naomba tutoe maoni huru kabla ya kuvaa jezi ya chama chochote ni kipengele kipi na kipi unadhani hakipaswi kuwepo kwenye katiba na kwa sababu zipi?
Mkuu umeme wa gas ni ghali sana kuliko umeme wa maji hasa in terms of service.Fungua akili yako na jiruhusu kutafakari na kuelewa.Kiweke kipengele kinacho taja dira ya uchumi ya Taifa ambayo itakuwa inapitishwa na Bunge kila baada ya miaka 25. Vile vile kuwe na kipengele kinachomzuia Rais kutekeleza dira/ miradi yake binafsi au dira ya chama chake.
Hii itazuia mambo kama haya ambayo Mwendazake ameyafanya kujenga Airport kijinini kwake au alivyoacha kuendeleza mradi wa gesi ya Mtwara na kwenda kukata miti ya Selous Game reserve kwa ajili ya umeme wa 2100 megawatt
Madaraka ya rais ni makubwa iwepo check and balance rais awajibishwe kwa kutofuata katiba, jinai, Wizi na ufisadi hata akiwa madarakani.
Kazi za mahakama ziachwe zifanywe na mahakama kama kupatikana kwa Majaji, jaji mkuu, mwanasheria mkuu wa serikali!
Kuondoa utitili wa vyeo kama
Mkuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa
Wabaki wakurugenzi
Wabaki wabunge
Wabaki madiwani na meya ndiye awe bosi wa wilaya na achaguliwe na wananchi
Wabunge wagombee wawili yaani mwanamke na mwanaume na lisiwe jimbo iwe kwa kila wilaya
Muda wa kuwa mbunge au waziri uwe mwisho miaka 10
Waziri mkuu na mawaziri wasiwe wabunge wawe wasomi na wapitishwe na bunge na mahakama kwa kufanyiwa vetting na kuangaliwa juu ya record zao za uko nyuma.
Sera ya Elimu iwekwe kwenye katiba hata aje kichaa gani watanzania waweze kusoma bure elimu ya msingi na sekondani na elimu yote i-base kwenye technical education.
Afya tuwe na Sera ya bima kwa watu wote iwe ni lazima kwa kila mtu utengenezwe mfumo wa kila raia kuwa na bima ya bei nafuu na tuwatambue masikini wote wanaoishi chini ya dollar moja kwa siku bima wapewe bure ndani ya katiba.
Ni hayo tu wengine watasema mengine!!
Wewe ndiye hujui, tuliza akili yako ufundishwe. Athari za mazingira kwa binadamu zinazosabanishwa na umeme wa hydro ni kubwa kuliko hiyo bei rahisi ya kunulia unit moja TANESCO. Soma athari za Guri Dam la Venezuela ambalo ndiyo kubwa kuliko yote katika South America au Three Gorges Dam ya China.Mkuu umeme wa gas ni ghali sana kuliko umeme wa maji hasa in terms of service.Fungua akili yako na jiruhusu kutafakari na kuelewa.