Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wazawa wa pale wana kuambia eneo lile kuna laana athari ya vita ya wa kibosho na wa machame.
Damu ilimwagika sana, infact hata mimi niliwahi kuonesha mahala walipokowa wanatupia miili ya victims wa vita kati ya Wakibosho na Wamachame miaka hio ya zamani.
Sasa shule ya umbwe ipo jamii ya kibosho na shule la lyamungo ipo jamii ya wamachame. Mimi wakati niko Umbwe sec nilisikia stori za beef hilo since 90s ila sijajua kwa 80s.
But likely ukishakuwa mtu mzima unaona ulikuwa ni ujinga tu wa ujana na utoto wa uboizini wa kutambiana kwa shule zilizopo karibu ila ugomvi wao ulienda too far hadi vurugu za 2009 ilipotokea vifo vya wanafunzi wawili mmoja wa umbwe (alipigwa na mob ya wanafunzi) na mwingine wa lyamungo (alizungushiwa senyenge shingoni).
Vp bado wanaendelea kuchapana?
Damu ilimwagika sana, infact hata mimi niliwahi kuonesha mahala walipokowa wanatupia miili ya victims wa vita kati ya Wakibosho na Wamachame miaka hio ya zamani.
Sasa shule ya umbwe ipo jamii ya kibosho na shule la lyamungo ipo jamii ya wamachame. Mimi wakati niko Umbwe sec nilisikia stori za beef hilo since 90s ila sijajua kwa 80s.
But likely ukishakuwa mtu mzima unaona ulikuwa ni ujinga tu wa ujana na utoto wa uboizini wa kutambiana kwa shule zilizopo karibu ila ugomvi wao ulienda too far hadi vurugu za 2009 ilipotokea vifo vya wanafunzi wawili mmoja wa umbwe (alipigwa na mob ya wanafunzi) na mwingine wa lyamungo (alizungushiwa senyenge shingoni).
Vp bado wanaendelea kuchapana?