Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

mtoa mada yupo sahihi // kagame angeliweza bila tatizo lolote kuendesha nchi smoothly tatizo la uongozi na usimamizi bora // HATUA TULIOFIKIA WATANZANIA NI KUPATA KIONGOZI JASIRI (MWENYE KAUKATILI KIDOGO NDANI YAKE) WA KUWEZA KUKATA MIRIJA HII *"KONGWE"* ILIYOKUWA PLANTED NA MAFISADI NA WEZI WA TAIFA
Nchi zote zilizoendelea duniani zina bandari? And whu bandari ya Dar na sio ya Mombasa, Beira, Durban, Maputo au yoyote ile? Nchi ngapi duniani zimeendelea na wala hazina raslimali za kulinganishat ha na zile za Rwanda??
 
Vijana wakiacha maandamano na kuhudhuria mikutano ya vyama vya siasa na badala yake wakajikita katika kufanya kazi nchi hii itafika mbali.

Wewe ndo hujui kabisa aise.Kwenda kuhudhuria mikutano ya siasa ni kujua ni chama kipi chenye sera nzuri ambazo zinaweza kututoa hapa tulipo na kutupeleka NEXT LEVEL, na kama ni mkutatano wa chama kinachoongoza ni vizuri kwenda kuusikiliza kwa sababu hii itasasidia kujua ni nini walichotekeleza na ambacho wataendelea kufanya , vlevile kwa chama kinachotroti kutaka kushika madaraka,tunaenda kuwasikiliza inasaidia kujua sera zao na kutuwezesha kujua ni vipi watatutoa hapa tulipo na kutupeleka NEXT LEVEL which is better than the previoius level.Jamaa yangu siasa ndo inayoongoza maisha yetu ya kila siku.
 
Suala ni je tunapata mapato stahiki toka bandarini?
 
as much as simpend kagame kwa sera zake za nje lakini kwa mambo ya kiuchumi he is my role model, he is a guy with a very strong character and its true mm kama mtanzania i wish ningekua na rais kama kagame minus hasira na chuki za kuua ovyo kwa kweli nchi hii tungekua mbali!!! very visionary leader na ni kweli huyu jamaa angekua na kitu kama hiki nchi hii ingekua mbali nakumbuka ktk secret code zilizovumbuliwa na wikileak obasanjo mwenyewe aliyekua mpatanishi wa vita kule congo aliwatumia ujumbe US aki wish kagame na kabila wangebadilishana nchi congo ingekua mbali sana!!!
 
Vijana wakiacha maandamano na kuhudhuria mikutano ya vyama vya siasa na badala yake wakajikita katika kufanya kazi nchi hii itafika mbali.

Wewe sr ni M.S.E.N.G.E kabisa,watu wanazungumzia ufisadi unaofanywa na viongozi bandarini,unaleta habari vijana waache mikutano ya vyama vya siasa,what is connection btn corruption and political parties meetings? dou think propery,Mbuzi mkubwa wewe! unanitafutia ban bure! mtu kaleta thread ya maana we unakuja kuharisha hapa!
 
Vyombo mbalimbali vya habari viliripoti kuhusu kauli hii ya Raisi wa Rwanda Paul Kagame kuwa Kuwepo kwa Bandari ya Dar Tanzania ilipaswa kupaa kabisa kiuchumi hasa kutokana na kuzungukwa na nchi kadhaa zinazo tegemea kusafirisha mizigo yake.

Zipo nchi nyingi duniani ambazo kwa bandari pekee zimepata kupaa kiuchumi miongoni mwao ikiwamo Hongkong ,Singapore,Uholanzi nk.Lakini kwanini Tanzania Hatuoni mabadiliko ya kiuchumi yakiwa dhahiri kutokana na bandari hii?

Miradi mingi ya kiuchumi ni mikopo toka kwa wahisani.Barabara kama ya DOM-IRINGA ni mkopo toka Benki ya Africa,na miradi mingi ni mikopo toka kwa wahisani kiasi sasa kila Mtanzania mpaka mtoto mdogo anadaiwa zaidi ya Tsh 450000(laki nne na nusu).Fedha za mapato kama ya bandari hii huenda wapi?Kuna harufu ya ufisadi wa mapato ya bandari kwa kiasi kikubwa.

Napata shaka kuona kuna benk kama M Benki imbayo tawi lake limo ndani ya jengo la ofisi za mapato.Mtu analipia pale na document yake ni halali palepale na mzigo unatoka.

Hii benki niya nani?Benki zingine ukilipia document yake mpaka mpaka iende hazina ku verify ndipo uchukue mzigo.

Naona kama mafisadi wananjia zao za kuchota hela kirahisi kama kupitia benki hii,labda ndiyo maana hatuoni mabadiliko yoyote ya kiuchumi.

Gari moja ndogo inayo pita kwenda nchi nyingine hulipia sichini ya 3000000/=(milioni tatu) na gari pale zinapita kama maji tu.Pita barabara ya Dar-Tunduma uone gari zenye number ya IT utapata picha ya hoja hii pata picha ya 300.
Kama kugekuwa na uwezekano wa kukodi rais kutoka nje kama wakati ule tulipokodi kampuni kutoka afrika ya kusini kuendesha Tanesco, mtu pekee ambaye angegombewa kuja kuongoza Tanganyika ni Kagame. Maana kuna mmoja wetu tumempa hiyo kazi yeye kasema kazi yake ni kuizunguka dunia kuhemea vibaba na amekiri hadharani kuwa hajui kwanini nchi anayoingoza ni masikini
 
as much as simpend kagame kwa sera zake za nje lakini kwa mambo ya kiuchumi he is my role model, he is a guy with a very strong character and its true mm kama mtanzania i wish ningekua na rais kama kagame minus hasira na chuki za kuua ovyo kwa kweli nchi hii tungekua mbali!!! very visionary leader na ni kweli huyu jamaa angekua na kitu kama hiki nchi hii ingekua mbali nakumbuka ktk secret code zilizovumbuliwa na wikileak obasanjo mwenyewe aliyekua mpatanishi wa vita kule congo aliwatumia ujumbe US aki wish kagame na kabila wangebadilishana nchi congo ingekua mbali sana!!!
Kweli mkuu ni bora mataifa ya nje hasa yale makubwa yakuchukie lakini ufanye vitu vikubwa nchini mwako kama walivyokuwa Sadam na Gadafi. Sisi wa kwetu anapenda kusifiwa na wakubwa, kila siku vikao na mikutano ndani na nje. Kwa Obama kwake pamekuwa kama kutoka magogoni kwenda feri lakini kila siku tunarudi nyuma huku tukiwaachia wageni kuhomola kila kitu kuanzia madini, wanyama, ardhi gesi na kila kitu kwa tiketi ya wawekezaji.
 
Wewe sr ni M.S.E.N.G.E kabisa,watu wanazungumzia ufisadi unaofanywa na viongozi bandarini,unaleta habari vijana waache mikutano ya vyama vya siasa,what is connection btn corruption and political parties meetings? dou think propery,Mbuzi mkubwa wewe! unanitafutia ban bure! mtu kaleta thread ya maana we unakuja kuharisha hapa!

Mkuu kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani. Muulize huyo mwendawazimu kuwa hao vijana wanaokwenda kwenye mikutano na maandamano ndio wanaoendesha hiyo bandari?
 
Nchi zote zilizoendelea duniani zina bandari? And whu bandari ya Dar na sio ya Mombasa, Beira, Durban, Maputo au yoyote ile? Nchi ngapi duniani zimeendelea na wala hazina raslimali za kulinganishat ha na zile za Rwanda??
Kwa hiyo wewe unataka kusemaje? Naona kama unadandia treni kwa mbele!
 
kaka,, misaada inayopewa tanzania mingi kama sio yote ni mikopo,,, halafu mkuu unapozungumzia machinga wa kariakoo au muuza koni, hawa hawana input ya moja kwa moja kwa uchumi wa nchi, ila wapo kwa ajili ya kuendesha private life na familia zao ...... tunapozungumzia kufanya kazi tunazungumzia public factories, tunaongelea public construction firm kama tunazo,,, je serikali inafanya uzalishaji kiasi gani (sio kukusanya kodi). je tuna mgodi au gas/oil field ya kwetu natunazalisha kama wazawa???? mimi muuza nazi/madafu/supu ya pweza hapa natafuta hela ya kula mimi na familia yangu.. tuna wataalamu wangapi wa madini,gas, mafuta, viwanda, barabara,anga au wote ni wahasibu na wanasheria (makalani waliokuwawanatukuzwa na wakoloni) kama leo hii nchi ina wahasibu, wanasheria, procurement,politicians, linguistics, waandishi,administrator,masecretary, nk wengi kupita kiasi halafu maengineer, scientific, madokta, na wataalamu wa teknologia kwa ujumla wakuhesabu, wewe unafikili hii nchi itaendelea????

JE NANI ALAUMIWE??

you nailed it.....
 
... Tatizo Umekurupuka, Alisema Akiwa Rais Wa Tz Atafanya Hivo Kwa Watz

Jina langu ni MAHESABU, jina linahakisi hali halisi,Kagame ni rais wa Rwanda katika habari yako wapi umeainisha akiwa rais wa Tanzania.... hapo mtoa mada na mchangia mada nani amekurupuka!
 
Kulingana na ukubwa wa kanchi yake labda angewezatoa huduma zote bure kwenye sherehe za mwaka mpya kila mwaka!
 
Kwa hiyo wewe unataka kusemaje? Naona kama unadandia treni kwa mbele!
We utakua cho'ko si bure. By the way, mie nadandia treni kwa mbele... what about u? Unadandia mpini wa Kagam sio?
 
... Tatizo Umekurupuka, Alisema Akiwa Rais Wa Tz Atafanya Hivo Kwa Watz
Kwanini isiwe angekuwa Rais wa Kenya, Mozambique au South Africa? Nimeuliza ina maana nchi zote zilizoendelea duniani zina bandari? Kwanini iwe Rwanda haijaendelea kwavile tu bandari ya Dar haipo Kigali?
 
Kweli mkuu ni bora mataifa ya nje hasa yale makubwa yakuchukie lakini ufanye vitu vikubwa nchini mwako kama walivyokuwa Sadam na Gadafi. Sisi wa kwetu anapenda kusifiwa na wakubwa, kila siku vikao na mikutano ndani na nje. Kwa Obama kwake pamekuwa kama kutoka magogoni kwenda feri lakini kila siku tunarudi nyuma huku tukiwaachia wageni kuhomola kila kitu kuanzia madini, wanyama, ardhi gesi na kila kitu kwa tiketi ya wawekezaji.

Inauma duh
 
kagame yupo sahihi kabisa.Tanzania tunaongozwa na mabozongo wazee wa misheni tauni wasokuwa na vission wala mission.
 
Back
Top Bottom