Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Wakuu kwa hali ilipofikia nafikiri ni wakati sahihi kumkabidhi rais Kagame bandari ya Dar es salaam aiendeshe,kisha tugawane mapato nina imani kabisa na rais Kagame endapo ataisimamia basi watanzania watanufaika na matunda ya bandari hiyo kwa haraka zaidi kuliko kuachia uozo ulipo kutoka kwa THE UNTOUCHABLE ONE.

Leo hii katika jumuiya ya Afrika Mashariki Kenya ndio nchi yenye uchumi imara zaidi ikifuatiwa na Rwanda.

Shimeshime watanzania msione aibu kwenye hili kwani linagusa moja kwa moja maslahi ya taifa.

Pia nimegundua mifumo ya CCM ina tabia ya kuwaonea aibu viongozi wake wakongwe kushindwa kuwakabili pindi wanapofanya uovu.


Nadhani uchumi unakupiga chenga kwa sasa hivi Kenya ndio inayoongoza kwa uchumi mzuri ikiwa na GDP ya usd 65 bilions tanzania ni ya pili ikiwa na usd 49.5 bilion uganda ni ya tatu ikiwa na
usd 27.6 bilion rwanda ni ya nne ikiwa na usd 8.5 bilion. Rwanda ni taifa dogo sana kiuchumi kwa tanzania.
 
Wazo hili nimelipenda sana. Hapa Tanzania hatuna viongozi wenye ubongo kama wa Kagame
 
Wakuu kwa hali ilipofikia nafikiri ni wakati sahihi kumkabidhi rais Kagame bandari ya Dar es salaam aiendeshe,kisha tugawane mapato nina imani kabisa na rais Kagame endapo ataisimamia basi watanzania watanufaika na matunda ya bandari hiyo kwa haraka zaidi kuliko kuachia uozo ulipo kutoka kwa THE UNTOUCHABLE ONE.

Leo hii katika jumuiya ya Afrika Mashariki Kenya ndio nchi yenye uchumi imara zaidi ikifuatiwa na Rwanda.

Shimeshime watanzania msione aibu kwenye hili kwani linagusa moja kwa moja maslahi ya taifa.

Pia nimegundua mifumo ya CCM ina tabia ya kuwaonea aibu viongozi wake wakongwe kushindwa kuwakabili pindi wanapofanya uovu.
JPM ni zaid yake
 
Duh, watu wengine bwana....Wewe una matatizo na mkeo na badala ya kuchukua hatua eti unamwita mwanamume mwingine akusaidie kumdhibiti mkeo, hii inaingia akilini kweli?
hehehe! jiulize matatizo ya mpira wetu kwa nini tulileta maximo, je hatuna makocha hapa nyumbani?!
 
ondoa dharau zako hapa,kwani hapa hakuna Serikali,badili na uraia basi uende huko kwa Kagame
we unafikiri kuleta wakandalasi wachina unadhani hapa hakuna wakandalasi.
 
Ni kweli Kagame atatutoa hapa tulipo na figisufigisu zote zitakwisha.
 
inabidi tuchukue hata mstaafu wa bandari ya amsterdam aje atuendeshee bandari zetu
 
Sasa kauli ya Kagame inazidi kuwa dhahiri.

Kagame sio malaika kujua hilo. Kuna nchi zinaendeshwa kwa uchumi wa bandari tu. Sisi tuna nafasi kubwa zaidi. Bandari inayotegemewa na Zambia, Malawi, DRC, Rwanda, Burundi na Uganda lazima iwe uwezo wa kuzalisha pesa kubwa sana. Bado sisi wenyewe kama nchi.

Tungeweza kabisa kuzigawa bandari zetu. Tanga ikahudumia Uganda (lazima kuwe na reli ya Tanga hadi ziwa Victoria). Ya Mtwara ikahudumia Malawi (lazima kujenga reli ya Mtwara Mbamba Bay). Ya Dar ikahudumia nchi zilizobaki (lazima kuimarisha reli ya kati na TAZARA).
 
Kagame kwenye issue inayogusa taifa lake, kwamtu yeyote mwizi wa Mali ya umma hana urafiki, hakika nikiongozi wa mfano katika nchi zinazoendelea anajua wajibu wake kwa watu wake,Rwanda hakuna migogoro ya Ardhi, hakuna tofauti ya elimu inayotolewa kwa wanafunzi wa nchi yake, hapa kwetu ni vigumu kujua kipi kinachosimamiwa na mkuu wa nchi, Rwanda kinachochukiwa na mkuu wa nchi kinajulikana, hapendi rushwa wala rushwa wakijulikana wanawajibishwa, rais anawajibika kwa kadri .madaraka yake yalivyo, hapakwetu hadithi, kila idara inafanya inavyotaka, Angekuwa Kagame bandali isingerundikana mizigo, wala hadithi ya rushwa ingekuwa historia,Kagame akipewa bandari
Eti hakuna tofauti ya elimu inayotolewa!!! acha kukariri.kama kuna taifa linahitaji kusaidiwa katika suala la elimu hapa Africa ni pamoja na Rwanda. Pili, kuhusu wizi ni kweli hapendi na anachukua hatua ingawa yeye ni mwizi
 
Sasa kauli ya Kagame inazidi kuwa dhahiri.

Kagame sio malaika kujua hilo. Kuna nchi zinaendeshwa kwa uchumi wa bandari tu. Sisi tuna nafasi kubwa zaidi. Bandari inayotegemewa na Zambia, Malawi, DRC, Rwanda, Burundi na Uganda lazima iwe uwezo wa kuzalisha pesa kubwa sana. Bado sisi wenyewe kama nchi.

Tungeweza kabisa kuzigawa bandari zetu. Tanga ikahudumia Uganda (lazima kuwe na reli ya Tanga hadi ziwa Victoria). Ya Mtwara ikahudumia Malawi (lazima kujenga reli ya Mtwara Mbamba Bay). Ya Dar ikahudumia nchi zilizobaki (lazima kuimarisha reli ya kati na TAZARA).

Mkuu..Reli ni kila kitu

Na reli inahujumiwa na wenye malori

Kama unakumbuka Hanspope alimkashifu sana Minister Magufuli kipindi akiwa ujenzi...alipopiga stop malori yenye uzito unaozisi
 
Kwa nchi yake ambayo ukubwa wake ni sawa na wilaya moja tu ya Kilombero nadhani yupo sahihi ila sio kwa Tanzania ambayo inamzidi kwa ukubwa mara 1000. Kwa nini yeye kila siku amekomaa na Tanzania tu ina maana Afrika mashariki ameiona Tanzania tu ndio nchi yenye bandari?????????. Mbona Hasemi kuhusu Kenya .. Huyu Jamaa ana wivu sana na nchi yetu ngoja muheshiwa ma Padlock atutoe aibu hii ya kusimangwa na kale kajamaa. Tumbua majipu mpaka nchi ikawe sawa maana anatuona kama vile watanzania wote hatuna akili kwa hizo kauli zake za kifala.
 
Kagame alikubali kuitwa dikteta kwa ajili ya maendeleo ya nchi yake hapa kwetu JMP kaanza tayari baadhi wanaleta maneno oh huyo ni udikteta
Kwa maana hiyo kakame na magufuli sasa wapo sahihi kufanya mazuri ya nchi yao
 
Kulingana na ukubwana idadi ya watu ktk nchi yake ni sawa bandari ya dar inamtosha. Lakin hapa tza idadi tu ya wanfunzi wa drs LA kwanza mwaka huu ni sawa na wakazi wa mji wa kigali
 
Back
Top Bottom