Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Check your facts....just shows that you are not a Tanzanian hata kiswahili hujui...kinyarwanda hujui...ni "Ntigushye" sio "Ntingushye"...Some character.

wewe ndio kiswahili hujui, kinyarwanda hujui, kinyarwanda kina matamshi mengi, kinavyoandikwa sio lazima iwe kinavyotamkwa. Anyway si umekubali lakini?
 
1. Ni kuruka kihunzi chief sio "kiunzi"
2. Na hapo kwenye "chinyarwanda" umesahau kuongezea neno "Ntingushye", sentensi nzima inatakiwa iwe: Ukuri guca muziko Ntingushye.
3. nakuongezea methali: Ukuri kuzatsinda

Mkuu naona mnakumbushana nyumban na mshkaj kdogo!
 
1. "nyumbani", "mshikaji", "kidogo".
2. yes, namkumbusha nyumbani kwao, na yeye ukinikuta kwenu feel free kunikumbusha kiswahili.

dada jmali mchz amekuingiza chaka vizur saana,kaongea kikwao na ww ukajickia kumjibu kwa mother language yenu ya kinyarwanda!hahaaaaa au umetumia kiswahili cha pwani hapo!hahah
 
dada jmali mchz amekuingiza chaka vizur saana,kaongea kikwao na ww ukajickia kumjibu kwa mother language yenu ya kinyarwanda!hahaaaaa au umetumia kiswahili cha pwani hapo!hahah

1. mchz ni "Mchuzi"? au?
2. kinyarwanda nakijua cha kuombea maji, na hii sio first time kutupia tupia hapa JF, kuna shida?
 
1. mchz ni "Mchuzi"? au?
2. kinyarwanda nakijua cha kuombea maji, na hii sio first time kutupia tupia hapa JF, kuna shida?

Hahah hakuna shida mkuu, just be proud of your mother language usizuge unajua cha kuombea Maji wala nn!
 
Ndio maana hana bandari mkosa haukosi neno kama,laiti,ingekuwa.so no justification
 
Wana jukwaa
Kuna wakati kagame alisema akipewa bandari tu ya dar anabadilisha nchi na kuwa na maendeleo makubwa... leo nimeona kwa habari magufu anasema mwezi wa december hadi kuisha itakuwa imekusanya zaidi ya trion moja..
Nikapata jibu kumbe inawezekana kwa kuitumia vizuri bandari taifa linapata mapato mengi... achilia mbali na miundombinu mibovu kulinganisha bandari nyingine lakini bado inatoa mapato haya yote.
 
Inawezekana sana, sasa nyinyi watu wa vijijini mkae mkao wa kupata gawio la milioni 50 kila kijiji!
 
Ndio maana CCM wana mijengo mizuri zuri kumbe hizo trilion ninaendaga kwao, ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom