Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Achana na hao akina kagame wanatafuta kila aina ya data kujustify uwepo wao. Hivi hujui pia wamepitisha kanuni mtu hatakiwi kutembea pekupeku kigali inaonesha walikuwa bado wanapekua.
ha ha ha.. mkuu umenichekesha sana, unajua watutsi ni misifa na majivuno kweli kweli. hii ndio maana walipo hakuna amani kwa kupigania madaraka.
 
ha ha ha.. mkuu umenichekesha sana, unajua watutsi ni misifa na majivuno kweli kweli. hii ndio maana walipo hakuna amani kwa kupigania madaraka.

.... Acha Upuuzi Wako, Ukabira Wa Nini Mkuu.. Watutsi Wana Akiri Sana Mkuu Asikwambie Mtu.! Mi Mwenyewe Nawakubali.!
 
Ndugu hivi ulienda Kigali as an independent i mean ulienda just for holidays au au ni warsha ndio ilikupeleka? ,naomba unijibu ili tuanze kufahamishana kwa vile tulivyo vishuhudia ,sio ku rely na sources, i mean been there , done that's what i want.
 
……………..ila sisi migogoro yake inatuhusu mpaka tunamwambia akae nao wachokozi wake!mbona una tu mislead ndugu?.
 
.... Tatizo sis watanzania tunakurupuka mno, kumbuka bidhaa nying za rwanda zilikua zinapitia bandar ya dar, aliona uozo mwing ndan ya bandar ndo maana alitoa kauli hiyo

pitisheni mizigo yenu kwa helikopta juu kwa juu nyinyi si mna maendeleo bwana!

... Kwa majibu yetu kama haya ndo yanafanya rwanda ijenge reli kutoka mombasa
tunawatakia heri na baraka kufanikisha hilo.

... Hayo ni maneno ya mkosaji tu

ahahaha!
 
……………..ila sisi migogoro yake inatuhusu mpaka tunamwambia akae nao wachokozi wake!mbona una tu mislead ndugu?.

Migogoro ya Rwanda imetuhusu toka 1950's, fuatilia historia, mahakama ya kimbari iko nchi gani? nchi gani wanakimbilia wakishatifuana?
 
hiyo mahakama sio sie tulioiweka , jaribu kufuatilia.sisi yetu ni majengo tu.Ontop of that inatunufaishia ajira jaribu kupita Arusha uone sasa hali ilivyo.
 
1. FDLR comprises of the same people who wrote the Hutu power manifesto. Don't be naive kid, FDLR is made up of remnants from ex-FAR and interahamwe and their offsprings.

2.Katika u-kristo mtu akitubu anasamehewa. Gen R saw the light and decided to repent and was welcome back home. Kapewa institution nyeti ya prison. Hii inaonyesha moyo wa kusamehe na kujenga taifa kwa umoja kama sera ya chama na nchi. Asingepewa mngesema Rwanda's leadership is purely Tutsi. Jamani mnataka nini?

3.Siye kila ampingaye Kagame ni FDLR. Hayo ni maneno yako. Wakina Rudasingwa, Nyamwasa, Karegeya were selfish corrupt ungrateful officials who are in cahoots with FDLR and other detractors to overthrow the democratically elected government in Kigali.

By the way, Rose Kabuye has not been arrested. Usichanganye ulevi na pombe. Aliyehojiwa ni mume wake, Capt. Kabuye. Kwanza sidhani kama Col Kabuye is even in the army or politics these days. Sijamsikia miaka kadhaa sasa.

1. Same people walioandika Hutu manifesto kama kina nani? Hebu wataje basi! Hutu manifesto wakati inaandikwa 1957, hata kagame mwenyewe alikuwa hajazaliwa! Hebu ona aibu kidogo kwa blatant propaganda kama hizi. Mnaua watoto wadogo ambao hata 1994 walikuwa hawajazaliwa kwa visingizio vya Hutu manifesto iliyoandikwa kabla kagame hajazaliwa? I feel pity for you, sijui nyinyi watu mnaabudu Mungu gani aisee, makatili wa ajabu!!

2. Hizi ni simple maths: Ayman al zawahiri ni leader wa al-Qaeda right now, if he "repents" and go to America, inawezekana akapewa nafasi nyeti serikalini? Gen Rwakarabije ni MUANZILISHI WA FDLR, fdlr ambayo wewe unasema inafuata "Hutu manifesto" ya mwaka 1957, never mind kuwa FDLR imeanzishwa 2000, na haina mahala popote pale panapozungumzia anything remotely like that, never mind kuwa hakukuwa na mauaji yoyote ya watutsi kwa wakati wote wa utawala wa kihutu mpaka pale Kagame alipoanza mashambulizi 1990...
Hayo madhambi ya FDLR, Gen. Rwakarabije kama KIONGOZI MUANZILISHI NA KAMANDA, si ndie aliyeyaongoza? ndiye aliyepanga? Mbona hata mahakamani hakuhukumiwa, as ex-FAR hakushiriki katika "genocide against tutsis"? Mbona hakupelekwa ICTR?

3. Hii nimeona nikunukuu ulichokisema mwenyewe maana unapinga halafu unakubali: "Siye kila ampingaye Kagame ni FDLR. Hayo ni maneno yako. Wakina Rudasingwa, Nyamwasa, Karegeya were selfish corrupt ungrateful officials who are in cahoots with FDLR and other detractors to overthrow the democratically elected government in Kigali."
sasa hapo ndio umeongea nini? being in cahoots with FDLR maana yake nini? si maana yake unashirikiana na malengo ya FDLR? Lengo la FDLR kwa maneno yako ni nini? sio ku-wipe out the tutsis?

4. Rose kabuye na mwenzake wananyanyaswa kupitia familia zao. Utamkamataje Col kabuye eti kwa sababu ya silaha? are you serious? Hii tactic ya kumuadhibu mtu kupitia familia yake is getting old. Hata wakati wa Nyamwasa na Karegeya, familia zao pia ziliwekwa ndani, ndugu wa nyamwasa mpaka leo wako ndani kwa kesi za ajabu ajabu, watoto wa karegeya walioko nje wamevuliwa uraia! Rose kabuye na wenzake wamekuwa wakimpinga kagame ndani ya chama, waume zao wakatekwa na kufichwa kusikojulikana kama kawaida (unasemaje eti "wakahojiwa"?) huu ndio utaratibu wa kisheria Rwanda? It's obvious what the message is, c'mon, steve wonder can see through this!
 
hiyo mahakama sio sie tulioiweka , jaribu kufuatilia.sisi yetu ni majengo tu.Ontop of that inatunufaishia ajira jaribu kupita Arusha uone sasa hali ilivyo.

ebo, sasa unabisha nini na unakubali nini, hatujaweka sisi kumbe kaiweka nani? kagame? ili kutupatia ajira?
 
Tatizo ni kucheza na wewe Chess wakati moves zako ni za mcheza Draft.

Jibu swali acha kuongea maneno umekariri toka kwenye movie. swali: Tulipokwenda kuondoa M23 hamkukubali, sasa hivi tunataka kuondoa FDLR ndio mnataka tuharakishe, why?
 
Onyesha kwanza chako wewe unaejiita mtanzania. Pleease, "you can fool all the people some time, but you cannot fool all the people all the time".

hatujadili uraia wangu chief, tunajadili wa huyo ndugu yako.
 
Ndugu Kibona unatumiwa na waasi wa FDLR kupotosha ukweli. Kwanza mimi ni m-Tanzania, hilo liwe wazi. Pili mambo mengi unayoyaongelea ni ya hisia zaidi na si uhalisia. Kuna watu wanatishia kuigawa Rwanda kwa ukabila. Hawa lazima wawindwe na kumalizwa kwa kuwa wanatishia mustakabali wa taifa la watu zaidi ya milioni kumi na moja kwa maslahi binafsi. Si kweli kuwa wahutu hawampendi Rais Kagame. Kumbuka wengi wa wanyarwanda ni Hutu. Na wengi wanaishi Rwanda. In fact if you ask me,most Rwandese in the diaspora (not in exile i.e. FDLR and RNC) are Tutsi. Serikali inaendeshwa kwa umakini mkubwa. Maendeleo yanawafikia watu wote regardless of ethnicity. Hivi mlitaka Kagame aoe Hutu ndio muamini in reconciliation. Let's not be naive here. What went down in Rwanda was based on deep-seeded hatred on ethnic lines. Had it not been for the RPA liberating Rwanda, a lot more people would have died.

Did some sectors of the RPA engage in revenge killings? not surprising. Would you not? Nevertheless, these were isolated incidents because Gen Kagame being the disciplinarian he is, never brooked such barbaric idiocy. Kagame angetaka kuwamaliza Hutu angeweza lakini haikuwa mpango wake wala wa RPF/A. Suala la kuomba msamaha ni hiari kwa wale wenye moyo wa kizalendo na wenye ucha Munga kutubu. Imani zote zinatuelekeza tutubu. Hakuna anayelazimishwa. Hii yote ni sehemu ya reconciliation. It takes two to tango. A million people died ndugu Kibona. And they were butchered by the very same people reaping the fruits of Kagame's leadership. And you have the audacity to question Kagame on his stellar measures to bring together a people divided along ethnic lines?? What gives? Rais Habyarimana was killed by Hutu power because they did not like the power sharing agreement signed in Arusha. Genocide was planned. Training of interahamwe na mapanga yaliletwa karibu mwaka mzima kabla ya genocide. Ndege ya Habyarimana ilitunguliwa na Mistral S.A.M's. Records show that the French gave FAR 20 mistral missiles, two of which were used against the president. Kagame hahusiki. Even if he was culpable, so what? Habyarimana was a legit target (Rwanda was at war).

Would Juvenal give a hoot had the tables been turned and it was Kagame who was killed? I highly doubt it. Ndugu Kibona unaonekana ni msomi mzuri but you need to shed your warped views on Kagame (and I suspect you are anti-Tutsi). You exude characteristics of what I call "laptop genocidaire". Acha mkuu acha kabisa.
Ndugu Commanche kwanza kabisa ujue kuwa mie sina maslahi na wahutu sana sana naweza kusema mie sijawahi kufahamiana na mhutu hata mmoja ile ktk maisha yangu nina marafiki zangu wawili ambao ni watutsi. Lakini hilo halinifanyi mie sasa nisiongee ninachoamini. Na pia sijisikii vibaya kuambiwa natumiwa na FDLR kwasababu mbili kwanza hiyo ndio propaganda ya Kagame dhidi ya Kikwete na by implication Rwanda dhidi ya Tanzania na binafsi ni mtanzania. Pili mie siwachukulii FDLR kama watu wabaya kama ambavyo serikali ya Rwanda inawabrand. Kwahiyo uko huru kusema natumiwa na FDLR.
Halafu ni kweli mie naongea kwa hisia tu lakini hisia zangu zinatokana na kulinganisha hoja za FDLR na zile za Serikali ya Rwanda; Serikali ya Rwanda inasema wale jamaa hawakubaliki kwasababu wana itikadi ya kuwauwa watusi yaani wao mpaka leo wanajipanga kuhakikisha wanawamaliza watutsi (kitu ambacho ni kibaya). Upande wa pili wao FDLR wanasema hawana itikadi ya aina hiyo wao wanataka haki na usawa Rwanda na wapo tayari kurudi Rwanda kama chama cha siasa waachane na mapigano. Tunakuja kwenye uhalisia hawa watu kimahesabu sio watu walioshiriki mauaji maana umri wao waliowengi ni labda kuanzia miaka 16 mpaka 35 (makisio) hawa haiwezekani ndio waliokuwa wanawauwa watu mwaka 1994, lakini hata kama wamo baadhi FDLR wapo tayari mtu aliyeshiriki mauaji awajibike binafsi kwa utaratibu uliopo. Kitu kingine wale waliouwa watu walijiita interahamwe sasa wahutu kuanzisha FDLR na interahamwe kuwa wahutu haitoshi kuwafanya FDLR ni interahamwe kwasababu wakati wa mauwaji kulikuwa na jeshi la serikali lilikuwa linapambana na waasi RPF na kulikuwa na interahamwe vikundi vya mauwaji vya wahutu, baada ya waasi kushinda jeshi la serikali na interahamwe wakakimbilia DRC. Sasa baada ya kuona wameondolewa madarakani jeshi la serikali wakaamua kuunda Chama cha ukombozi (FDLR) kama ilivyokuwa RPF ili wajipange kurudi madarakani halafu interahamwe kwasababu walikuwa hawana sera yoyote wakaanza kujiunga na FDLR sasa RPF kwa kujua mchezo waliokuwa wanacheza wao wanaona kitu pekee kitakachohalalisha wao kuhumiliate FDLR na hata nchi ya DRC ni kuibrand FDLR kama interahamwe.
Hivi karibuni propaganda imeanza kukosa nguvu maana kagame kasema watu kama Rudasingwa, Karegeya na Nyamwasa nao wanashirikiana na FDLR sasa hebu jiulizeni inawezekanaje hao watu washirikiane na kikundi chenye itikadi ya kuwauwa hata wao wenyewe? Halafu FDLR si ingekataa au kuwavizia na kuwauwa?
Kuhusu RPF kuwa mkombozi; hiyo ni propaganda inayoweza kuwaingia watu wasiofuatilia RPF imetoka wapi. Vyama vya ukombozi huanzishwa baada ya tatizo kuwapo. Muda RPF ilipoanzishwa kulikuwa hakuna mauaji ya halaiki sasa RPF ilikuwa inapigana kumkomboa nani? Watutsi?.
Mwisho wanyarwanda wanatakiwa wajue kuwa duniani kote hakuna mahali demokrasia ikichukua mkondo wake mtu aliyetoka kwenye minority group akapindua utawala wa majority group halafu ashinde uchaguzi. Na Rwanda haijafikia mahali pa kuwa na jeshi lililo na watutsi wengi kwahiyo kuna viashiria vingi tu kuwa Rwanda bado hali haijatengamaa. Wewe fikiria uvumi tu kuwa kagame kafariki watu wanashangilia.
 
Semeni yote still kuna ukweli ndani yake,tz bado tupo nyuma mambo flani ilitakuwa tufanye zaidi ya hapa mfano reli itakiwa ijengwe km mkulu alivyosema ataongeza reli nyingine katika hii iliyopo ya reli ya kati ila till now kimya,bado kuna vitu vya kujifunza kutoka rwanda

wewe kama mtanzania kwa nini hujui progress ya reli ya kati inaendaje? hausikilizi bunge? haujui tovuti ya wizara? Hujaona mabehewa yaliyoongezwa mwezi uliopita
 
1. Same people walioandika Hutu manifesto kama kina nani? Hebu wataje basi! Hutu manifesto wakati inaandikwa 1957, hata kagame mwenyewe alikuwa hajazaliwa! Hebu ona aibu kidogo kwa blatant propaganda kama hizi. Mnaua watoto wadogo ambao hata 1994 walikuwa hawajazaliwa kwa visingizio vya Hutu manifesto iliyoandikwa kabla kagame hajazaliwa? I feel pity for you, sijui nyinyi watu mnaabudu Mungu gani aisee, makatili wa ajabu!!

2. Hizi ni simple maths: Ayman al zawahiri ni leader wa al-Qaeda right now, if he "repents" and go to America, inawezekana akapewa nafasi nyeti serikalini? Gen Rwakarabije ni MUANZILISHI WA FDLR, fdlr ambayo wewe unasema inafuata "Hutu manifesto" ya mwaka 1957, never mind kuwa FDLR imeanzishwa 2000, na haina mahala popote pale panapozungumzia anything remotely like that, never mind kuwa hakukuwa na mauaji yoyote ya watutsi kwa wakati wote wa utawala wa kihutu mpaka pale Kagame alipoanza mashambulizi 1990...
Hayo madhambi ya FDLR, Gen. Rwakarabije kama KIONGOZI MUANZILISHI NA KAMANDA, si ndie aliyeyaongoza? ndiye aliyepanga? Mbona hata mahakamani hakuhukumiwa, as ex-FAR hakushiriki katika "genocide against tutsis"? Mbona hakupelekwa ICTR?

3. Hii nimeona nikunukuu ulichokisema mwenyewe maana unapinga halafu unakubali: "Siye kila ampingaye Kagame ni FDLR. Hayo ni maneno yako. Wakina Rudasingwa, Nyamwasa, Karegeya were selfish corrupt ungrateful officials who are in cahoots with FDLR and other detractors to overthrow the democratically elected government in Kigali."
sasa hapo ndio umeongea nini? being in cahoots with FDLR maana yake nini? si maana yake unashirikiana na malengo ya FDLR? Lengo la FDLR kwa maneno yako ni nini? sio ku-wipe out the tutsis?

4. Rose kabuye na mwenzake wananyanyaswa kupitia familia zao. Utamkamataje Col kabuye eti kwa sababu ya silaha? are you serious? Hii tactic ya kumuadhibu mtu kupitia familia yake is getting old. Hata wakati wa Nyamwasa na Karegeya, familia zao pia ziliwekwa ndani, ndugu wa nyamwasa mpaka leo wako ndani kwa kesi za ajabu ajabu, watoto wa karegeya walioko nje wamevuliwa uraia! Rose kabuye na wenzake wamekuwa wakimpinga kagame ndani ya chama, waume zao wakatekwa na kufichwa kusikojulikana kama kawaida (unasemaje eti "wakahojiwa"?) huu ndio utaratibu wa kisheria Rwanda? It's obvious what the message is, c'mon, steve wonder can see through this!

jMali the Hutu manifesto was instrumental in propagating the genocide. Utasema na Kangura lilianzishwa mwaka 1957. Stop spinning dude. Hakuna ninachojipinga, siye kila anayempinga Kagame ni FDLR kama unavyodai. Ila hawa waasi wanashirikiana na FDLR katika lengo lao dhalimu la kujaribu kuuangusha utawala wa kidemokrasia wa Kagame. Wanashindwa vibaya kwa kuwa Kagame anakubalika na wanyarwanda walio wengi. Col Kabuye is Rose, her husband is a Captain na ndiye aliyehojiwa. Hii inaonyesha ukomavu wa utawala bora kwani hakuna aliye juu ya sheria. The good general Rwakarabije saw the light and decided to repent and serve his country. He renounced his hutu power ideology, underwent reintegration and is now a prominent leader in rebuilding Rwanda. Unajua detractors and their supporters like you try to paint a picture that once you are Tutsi then by default you are RPF and pro-Kagame and that you are set for life. Inaonyesha ni jinsi gani hamuijui Rwanda. It is more complex than that. Amekamatwa General Rusagara ndio itakuwa some Captain? Homie please!
 
Jibu swali acha kuongea maneno umekariri toka kwenye movie. swali: Tulipokwenda kuondoa M23 hamkukubali, sasa hivi tunataka kuondoa FDLR ndio mnataka tuharakishe, why?

Maoni yako tafadhal mkuu,we unaonaje fdlr wacheleweshwe kuwa disarmed au unaonaje mkuu,maoni yako tafadhal?
 
Ndugu Commanche kwanza kabisa ujue kuwa mie sina maslahi na wahutu sana sana naweza kusema mie sijawahi kufahamiana na mhutu hata mmoja ile ktk maisha yangu nina marafiki zangu wawili ambao ni watutsi. Lakini hilo halinifanyi mie sasa nisiongee ninachoamini. Na pia sijisikii vibaya kuambiwa natumiwa na FDLR kwasababu mbili kwanza hiyo ndio propaganda ya Kagame dhidi ya Kikwete na by implication Rwanda dhidi ya Tanzania na binafsi ni mtanzania. Pili mie siwachukulii FDLR kama watu wabaya kama ambavyo serikali ya Rwanda inawabrand. Kwahiyo uko huru kusema natumiwa na FDLR.
Halafu ni kweli mie naongea kwa hisia tu lakini hisia zangu zinatokana na kulinganisha hoja za FDLR na zile za Serikali ya Rwanda; Serikali ya Rwanda inasema wale jamaa hawakubaliki kwasababu wana itikadi ya kuwauwa watusi yaani wao mpaka leo wanajipanga kuhakikisha wanawamaliza watutsi (kitu ambacho ni kibaya). Upande wa pili wao FDLR wanasema hawana itikadi ya aina hiyo wao wanataka haki na usawa Rwanda na wapo tayari kurudi Rwanda kama chama cha siasa waachane na mapigano. Tunakuja kwenye uhalisia hawa watu kimahesabu sio watu walioshiriki mauaji maana umri wao waliowengi ni labda kuanzia miaka 16 mpaka 35 (makisio) hawa haiwezekani ndio waliokuwa wanawauwa watu mwaka 1994, lakini hata kama wamo baadhi FDLR wapo tayari mtu aliyeshiriki mauaji awajibike binafsi kwa utaratibu uliopo. Kitu kingine wale waliouwa watu walijiita interahamwe sasa wahutu kuanzisha FDLR na interahamwe kuwa wahutu haitoshi kuwafanya FDLR ni interahamwe kwasababu wakati wa mauwaji kulikuwa na jeshi la serikali lilikuwa linapambana na waasi RPF na kulikuwa na interahamwe vikundi vya mauwaji vya wahutu, baada ya waasi kushinda jeshi la serikali na interahamwe wakakimbilia DRC. Sasa baada ya kuona wameondolewa madarakani jeshi la serikali wakaamua kuunda Chama cha ukombozi (FDLR) kama ilivyokuwa RPF ili wajipange kurudi madarakani halafu interahamwe kwasababu walikuwa hawana sera yoyote wakaanza kujiunga na FDLR sasa RPF kwa kujua mchezo waliokuwa wanacheza wao wanaona kitu pekee kitakachohalalisha wao kuhumiliate FDLR na hata nchi ya DRC ni kuibrand FDLR kama interahamwe.
Hivi karibuni propaganda imeanza kukosa nguvu maana kagame kasema watu kama Rudasingwa, Karegeya na Nyamwasa nao wanashirikiana na FDLR sasa hebu jiulizeni inawezekanaje hao watu washirikiane na kikundi chenye itikadi ya kuwauwa hata wao wenyewe? Halafu FDLR si ingekataa au kuwavizia na kuwauwa?
Kuhusu RPF kuwa mkombozi; hiyo ni propaganda inayoweza kuwaingia watu wasiofuatilia RPF imetoka wapi. Vyama vya ukombozi huanzishwa baada ya tatizo kuwapo. Muda RPF ilipoanzishwa kulikuwa hakuna mauaji ya halaiki sasa RPF ilikuwa inapigana kumkomboa nani? Watutsi?.
Mwisho wanyarwanda wanatakiwa wajue kuwa duniani kote hakuna mahali demokrasia ikichukua mkondo wake mtu aliyetoka kwenye minority group akapindua utawala wa majority group halafu ashinde uchaguzi. Na Rwanda haijafikia mahali pa kuwa na jeshi lililo na watutsi wengi kwahiyo kuna viashiria vingi tu kuwa Rwanda bado hali haijatengamaa. Wewe fikiria uvumi tu kuwa kagame kafariki watu wanashangilia.

mkuu umechambua vizuri sana, nakukaribisha kwenye chama chetu cha "wahutu", Hahaha, kwa kuwa mimi mwenyewe tayari nilishapachikwa kila kitu kuanzia uhutu, FDLR, interahamwe, genocidaire...etc. Hawa watutsi wa humu JF (sio wote, bali extremists ones) huwa hawana hoja zozote za msingi, huko Rwanda (kama umefika), mkiwa mnajadili kitu ,ukiitwa tu mhutu tayari unatakiwa kukaa kimya, ukiendelea na mjadala utajikuta uko ndani kwa makosa ya "divisionism", "revisionism", "genocide denying" na mengineo mengi. Ndio maana hawa jamaa wao wanaona uhutu ni tusi kubwa sana,

Kuna mambo mengi ambayo hawawezi kujibu mfano:

1. Hao interahamwe wenyewe walikuwa wanaongozwa na mtutsi aitwaye Robert kajuga ambaye alikuwa anatumia kitambulisho cha kihutu, akijifanya ni mhutu. Huyu mtutsi ndio aliyeongoza chinja chinja ya watutsi wenzie na kumpa kisingizio kagame aingie na kujifanya kaja "kustopisha genocide". Interahamwe originally ilikuwa kama green guard au red brigade ya chama tawala kwa wakati huo. Bila "genocide" kagame angeshiriki uchaguzi huru na asingepata chochote, haiwezekani kwa muasi, tena muasi aliyetokea uganda ambaye hata kinyarwanda hajui, aliyeshambulia nchi kwa miaka minne akiua watu ashinde kwa kura nyingi.
Cha ajabu huyu robert kajuga alimficha kaka yake kwenye ile hoteli maarufu kama "hotel Rwanda" ili alindwe na mhutu Paul rusesabagina. Mhutu huyu sasa hivi naye ni adui wa Rwanda/kagame, kama walivyo wahutu wote influential. Kagame anamtuhumu kushirikiana na FDLR, sasa sijui inaingiaje akilini kuwa kama jamaa ana chuki na wahutu kwa nini asingewaita hao interahamwe wawauwe pale hotelini 1994, aje kushirikiana na interahamwe leo wakati watutsi wanaendesha nchi...vitu vya ajabu kweli.

2. Muanzilishi wa hiyo FDLR alihongwa fedha na vyeo na serikali ya kagame, leo hii Gen Paul Rwakarabije ni MKUU WA MAGEREZA Rwanda. Huyu Commanche nikimuuliza inawezekanaje kwa muanzilishi wa boko haram kupewa cheo serikali ya Nigeria hawezi kujibu. Ukweli ni kuwa FDLR ni chama tishio kwa kagame, hata members wa kawaida tayari wameanzishiwa program ya kupewa mashamba na fedha za kuanzia maisha anytime watakapoamua kurudi Rwanda. Sasa kama ndio hivyo kwa nini FDLR wakitaka mazungumzo wanaitwa genocidaires, wakikubali matakwa ya kagame wanapewa mpaka post za serikali? Hao kweli ni wauaji au chama cha siasa tishio?

3. RPF haijawahi kuwa chama cha ukombozi, ndio maana unakuta kuna watu kama Laurent Nkunda ambaye ni mtutsi raia wa DRC naye alikuwa mpiganaji wa RPF, Sultani makenga wa M23 naye alikuwa mpiganaji wa RPF. Kama swala lilikuwa ni ukombozi mbona RPF haikusaidiwa na nchi zingine kama vile Tanzania iliposaidia ukombozi wa nchi za SADC? Ni watutsi tu walijikusanya kuja kuteka Rwanda, baada ya hapo kagame naye kaenda kusaidia watutsi wenzie wateke DRC kwa mgongo wa M23 na waasi wengine.

Hawa kina Commanche wasichojua ni kuwa wanatengeneza chuki dhidi ya watutsi hata hapa bongo kutokana na misimamo yao ya ajabu. Hata DRC ilikuwa hivi hivi mpaka watutsi wa kawaida wakaacha kujiita watutsi wakaanza kujiita Banyamulenge.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom