Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

jMali the Hutu manifesto was instrumental in propagating the genocide. Utasema na Kangura lilianzishwa mwaka 1957. Stop spinning dude. Hakuna ninachojipinga, siye kila anayempinga Kagame ni FDLR kama unavyodai. Ila hawa waasi wanashirikiana na FDLR katika lengo lao dhalimu la kujaribu kuuangusha utawala wa kidemokrasia wa Kagame. Wanashindwa vibaya kwa kuwa Kagame anakubalika na wanyarwanda walio wengi. Col Kabuye is Rose, her husband is a Captain na ndiye aliyehojiwa. Hii inaonyesha ukomavu wa utawala bora kwani hakuna aliye juu ya sheria. The good general Rwakarabije saw the light and decided to repent and serve his country. He renounced his hutu power ideology, underwent reintegration and is now a prominent leader in rebuilding Rwanda. Unajua detractors and their supporters like you try to paint a picture that once you are Tutsi then by default you are RPF and pro-Kagame and that you are set for life. Inaonyesha ni jinsi gani hamuijui Rwanda. It is more complex than that. Amekamatwa General Rusagara ndio itakuwa some Captain? Homie please!

Umesema FDLR inaundwa na walioandika Hutu manifesto. Hutu manifesto imeandikwa 1957, assuming aliyeandika alikuwa na miaka 18 tu wakati huo, tayari leo hii atakuwa mzee wa MIAKA 75!!! You see where im coming from? Nimekuambia uwataje umeshindwa! Naomba kwa heshima na taadhima tuanzie hapo kwanza. kwanza kanusha au kubali kisha wataje hao FDLR walioandika Hutu manifesto ndio tuendelee.
cc: Kibona
 
Maoni yako tafadhal mkuu,we unaonaje fdlr wacheleweshwe kuwa disarmed au unaonaje mkuu,maoni yako tafadhal?

Maoni yangu: FDLR wawe disarmed (tayari wameshaanza disarmament voluntarily), wahakikishiwe usalama wao na warudi Rwanda wakiwa huru kufanya siasa kama chama cha siasa, na sio armed struggle. Kwa kuwa sasa hivi Rwanda iko chini ya uangalizi wa international community ambayo haijalewa propaganda za "genocide against tutsis", itakuwa rahisi kuingilia kati kama kagame atakuwa anaonea wapinzani.
 
Umesema FDLR inaundwa na walioandika Hutu manifesto. Hutu manifesto imeandikwa 1957, assuming aliyeandika alikuwa na miaka 18 tu wakati huo, tayari leo hii atakuwa mzee wa MIAKA 75!!! You see where im coming from? Nimekuambia uwataje umeshindwa! Naomba kwa heshima na taadhima tuanzie hapo kwanza. kwanza kanusha au kubali kisha wataje hao FDLR walioandika Hutu manifesto ndio tuendelee.
cc: Kibona

Those are just semantics. The Hutu manifesto could have been written a hundred years ago, who cares? What matters is that when Kangura refined and published it during the genocide, it fired up a lot of youth and peasants to kill Tutsi. And yes FDLR prescribe to the Hutu manifesto verbatim. You are only fooling yourselves to claim that FDLR want to peacefully take part in politics in Rwanda, yeah right! FDLR are bent on wiping Tutsi from Rwanda, that has always been their goal. For they to impose conditions on Kigali is simply absurd. They lost the war and should live with the consequences. This nonsense about the FDLR being officially established in 2000 bears no weight. These people are ex-FAR and interahamwe and their offspring. Mtoto wa nyoka ni nyoka. They are indoctrinated in the same evil ideology of their fathers and swear to uphold it. Until they renounce genocidaire ideology, repent and come clean, they will be confined to the jungles of the Congo like the animals they are.
 
those are just semantics. The hutu manifesto could have been written a hundred years ago, who cares? What matters is that when kangura refined and published it during the genocide, it fired up a lot of youth and peasants to kill tutsi. And yes fdlr prescribe to the hutu manifesto verbatim. You are only fooling yourselves to claim that fdlr want to peacefully take part in politics in rwanda, yeah right! Fdlr are bent on wiping tutsi from rwanda, that has always been their goal. For they to impose conditions on kigali is simply absurd. They lost the war and should live with the consequences. This nonsense about the fdlr being officially established in 2000 bears no weight. These people are ex-far and interahamwe and their offspring. Mtoto wa nyoka ni nyoka. They are indoctrinated in the same evil ideology of their fathers and swear to uphold it. Until they renounce genocidaire ideology, repent and come clean, they will be confined to the jungles of the congo like the animals they are.

dude, una majina ya people walioandika hutu manifesto ambao ni members wa fdlr or not?
 

Zipo nchi nyingi duniani ambazo kwa bandari pekee zimepata kupaa kiuchumi miongoni mwao ikiwamo Hongkong ,Singapore,Uholanzi nk.
Unafananisha nchi ya africa na HongKong,Singapore,Uholanzi!!!Acha porojo za kisiasa,ujui unachoonge wewe na kagame wako
 
tatizo la wabongo kutotoka nje ya nchi huyu mwizi kagame mnaemsifia huku kwake nae analalamikiwa sasa tu chako ni chako hata kama kibaya chake hakitu saidii
Kwani ni lazima,..ni dynamics tuu.Hata walio nje wanstahili kutombelea na kujifunza km tutaonyesha tofauti.Kagame analalamikiwa ktk serikali na nchi ambayo si miaka mingi kila kitu kiliharibiwa na watu kufa wengi sana.Nchi ambao uadui mkubwa bado upo na wengi wakiwa dhidi yake.
 
……Ndugu sasa nimeamini kumbe. nina jibizana na mcheza draft while level yangu ni mcheza chess, check mate!!!!!!!!,bye.
 
.... Acha Upuuzi Wako, Ukabira Wa Nini Mkuu.. Watutsi Wana Akiri Sana Mkuu Asikwambie Mtu.! Mi Mwenyewe Nawakubali.!
Hamna lolote ni sawa na mbari zingine kwa akili ila majivuno na kujiona bora kuliko wengine ndio inawasumbua hata kuwaletea maafa kama kule rwanda.
 
...and meanwhile bandari ya bongo inaendelea kupeta na kuwa mradi wa mafisadi

Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Ephraim Mgawe amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa aliusaini mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL).

Mgawe amekiri kuusaini mkataba huo wa kibiashara leo wakati akisomewa maelezo ya awali (PH) na Wakili wa Serikali, Pius Hilla mbele ya Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Isaya Arufani
Akisomewa maelezo ya awali yanayohusiana na shtaka la matumizi mabaya ya madaraka Mgawe alikubali wadhifa wake huo na kwamba aliusaini mkataba huo wa kibiashara siyo kwa ajili ya ujenzi wa ghati namba 13 na namba 14 katika Bandari ya Dar es Salaam bali ni kwa minajili ya kuiwezesha kampuni hiyo kupata mkopo nchini mwake China.

Mgawe pia alikubali mahakamani hapo kuwa mwaka 2008 kulikuwepo na mpango wa upanuzi wa bandari wa mwaka 2009-2028 kwa ajili ya upanuzi wa bandari na ujenzi wa ghati na Agosti 9,2009 walikaribisha maoni ya kupata washauri na wataalam wakufanya upembuzi yakinifu wa mradi huo.
Akiendelea kusomewa maelezo ya awali, Mgawe alikiri kuwa kampuni tano ziliwasilisha mialiko yao ya kutaka tenda hiyo ambazo ni kampuni ya MTBS ya Nethelands, Scott Wilson ya Uk, Ecorys ya Germany, Mott MacDonald Maritime Consultants ya Uk, HPS Humburg ya Ujerumani, SCEC International PTY Limited ya Australia na CPCS Transcom ya Canada.
Mshtakiwa huyo pia alikiri kuwa kampuni ya nchini Canada ya CPCS na kutaja gharama yao kuwa ni dola 323 za kimarekani ndiyo iliyoshinda zabuni lakini iliyopewa kazi ya upanuzi wa bandari ni Kampuni ya China Communications Company Ltd ya China ambayo ilitaja gharama zake kuwa ni dola 523,131,015.97.

Hata hivyo mshtakiwa huyo alikana kuwa baada ya kupewa taarifa hiyo ya gharama za mradi na kampuni ya China ya CCCL alikaa kimya bila ya kutoa kwenye bodi ya wakurugenzi.
Mgawe na mwenzake Hamad Mussa Koshuma ambaye alikana kuwa na cheo cha Naibu Mkurugenzi Mkuu mahakamani hapo na kudai kuwa yeye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi kwa pamoja wanadaiwa kutenda makosa hayo Desemba 5, 2011.
Ilidaiwa kuwa washtakiwa hao wakati wakiwa kwenye Mamlaka ya Bandari Tanzania, jijini Dar es Salaam, wakati wakitekeleza majukumu yao ya utumishi wa mamlaka hiyo kwa nafasi ya mkurugenzi mkuu na naibu wake walitumia vibaya madaraka ya kuingia mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd, kwa ajili ya ujenzi wa ghati namba 13 na namba 14 katika Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa pamoja washtakiwa hao wanadaiwa kuingia mkataba na kampuni hiyo bila kutangaza zabuni hiyo, kinyume cha masharti ya kifungu cha 31 cha Sheria ya Ununuzi wa Umma, namba 21 ya mwaka 2004, kwa lengo la kuinufaisha kampuni hiyo.
 
... . Rwanda Na Kagame Wao Wako Juu.! Napenda Ningekua Mnyarwanda Na Mimi
 
hatujadili uraia wangu chief, tunajadili wa huyo ndugu yako.

Ukijadili uraia wa mtu nawe uwe tayari kuulizwa wako...sawa mtani? Sasa hebu tuambie uraia wako ni wa kujiandikisha? kuzaliwa? au bado hujapata
 
Ukijadili uraia wa mtu nawe uwe tayari kuulizwa wako...sawa mtani? Sasa hebu tuambie uraia wako ni wa kujiandikisha? kuzaliwa? au bado hujapata

tumalize kwanza wa ndugu yako ndio tuingie wa kwangu.
 
... Safi Sana Komred Kagame.! Wewe Ni Kiongozi Bora Na Siyo Bora Kiongozi Kama Wa Kwetu Tanzania
 
I must admit huwa ukishikwa pabaya unajua kuruka kiunzi lakini you can't change the facts. Ukuri guca muziko.

1. Ni kuruka kihunzi chief sio "kiunzi"
2. Na hapo kwenye "chinyarwanda" umesahau kuongezea neno "Ntingushye", sentensi nzima inatakiwa iwe: Ukuri guca muziko Ntingushye.
3. nakuongezea methali: Ukuri kuzatsinda
 
1. Ni kuruka kihunzi chief sio "kiunzi"
2. Na hapo kwenye "chinyarwanda" umesahau kuongezea neno "Ntingushye", sentensi nzima inatakiwa iwe: Ukuri guca muziko Ntingushye.

Check your facts....just shows that you are not a Tanzanian hata kiswahili hujui...kinyarwanda hujui...ni "Ntigushye" sio "Ntingushye"...Some character.
 
Back
Top Bottom