Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
yani unakatika katika tulia tukuelewe kwa kituo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili.linaloendelea siyo sababu ya uelewa. Ni mambo yanafanywa makusudi kupiga pesa.Tunakuwa wavivu kupeleka watu wetu kujifunza kwenye bandari za wenzetu Ni kwavipi wameweza kudhibiti mapato.
tunafanya mambo makubwa kwa kupapasa.
Kuna watu wanasema eti Kagame amefanikiwa kwa sababu Rwanda ni nchi ndogo!. Dunia inazo nchi ngapi ambazo ni ndogo kwa eneo lakini ni masikini kupindukia?. Seriousness haijawahi kuwepo Tanzania, JPM amekuja kivingine na anaweza kuiweka sawa hii nchi.Mambo mengi ambayo Rais Kagame ameyafanya kwenye nchi yake na kumletea maendeleo katika nchi yake ya Rwanda sisi Tanzania ndiyo tumeanza kuyafanya sasa. Hii imenifanya kuanza kuamini kuwa tunahitaji Rais aina ya Kagame kuweza kupata maendeleo ya kweli katika nchi yetu.
Congo hakuna mkataba walioandikishianaaisee,huyu ksgame mporaji wa almasi za congo tumpe bandari yetu!!!tutake radhi mkuu.
U aint perfect enough until u meet kagameboy we got egos, you can't tell us we ain't sh!t
ondoa dharau zako hapa,kwani hapa hakuna Serikali,badili na uraia basi uende huko kwa KagameWakuu kwa hali ilipofikia nafikiri ni wakati sahihi kumkabidhi rais Kagame bandari ya Dar es salaam aiendeshe,kisha tugawane mapato nina imani kabisa na rais Kagame endapo ataisimamia basi watanzania watanufaika na matunda ya bandari hiyo kwa haraka zaidi kuliko kuachia uozo ulipo kutoka kwa THE UNTOUCHABLE ONE.
Leo hii katika jumuiya ya Afrika Mashariki Kenya ndio nchi yenye uchumi imara zaidi ikifuatiwa na Rwanda.
Shimeshime watanzania msione aibu kwenye hili kwani linagusa moja kwa moja maslahi ya taifa.
Pia nimegundua mifumo ya CCM ina tabia ya kuwaonea aibu viongozi wake wakongwe kushindwa kuwakabili pindi wanapofanya uovu.
U aint perfect enough until u meet kagameboy we got egos, you can't tell us we ain't sh!t