Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

wewe samurai unataka kutuaminisha kuwa TZ haipewagi misaada.?

unadhani mtu anaweza kupata morali ya kufanya kazi kwa bidii wakati wengine wanachota pesa bure kabsa bla kufanya kazi kwa bidii.!!

chukulia wale machinga Kariakoo nadhani hata wewe unajua kuwa wanafanya kazi kwa bidii tena juani,kwanzia asubuhi hadi jioni huku wanapiga kelele,alaf inatokea siku mgambo wanatumwa na serikali wanakuja wanawapora biashara zao kirahisi kabsa na kuwapga..

acha utani wewe..
 
Last edited by a moderator:
Nna bosi wangu anakaa huko kagera likizo yake anapanda ndege hadi bujimbura kisha anarudi kwa basi hadi Tz ukiuliza kwa nn anakwambia TZ tuna barabara mbovu ajabu
 
Hanacho kifikiri kagame ni cha kweli kwani nchi kama south Africa ina vitegauchumi sawa na tz kama madini bandari name na mbuga za wanyama.ivi kuna nini tz?
 
Nna bosi wangu anakaa huko kagera likizo yake anapanda ndege hadi bujimbura kisha anarudi kwa basi hadi Tz ukiuliza kwa nn anakwambia TZ tuna barabara mbovu ajabu

kwa hiyo saa ya kurudi barabara huwa zinakuwa nzima au...?
 
kweli wewe siyo great thinker ni little thinker haujui nchi yako inavitu gani inavyovivunia ambapo nchi nyingne wanatamani wawe navyo lakini hawana na wametuzidi kiuchumi mfano hiyo hiyo rwanda na ghana nk

kweli huyu hamnazo,hajui kama kadri nchi inavyokuwa kubwa ndivyo na uchumi unakuwa mkubwa? meaning human capital ni kubwa vivile population inatumika create internal market,na china na marekani wanatumia hii theory,jiulize kwa nini nchi yako ni masikini na wakati ina kila kitu.
 
wewe samurai unataka kutuaminisha kuwa TZ haipewagi misaada.?

unadhani mtu anaweza kupata morali ya kufanya kazi kwa bidii wakati wengine wanachota pesa bure kabsa bla kufanya kazi kwa bidii.!!

chukulia wale machinga Kariakoo nadhani hata wewe unajua kuwa wanafanya kazi kwa bidii tena juani,kwanzia asubuhi hadi jioni huku wanapiga kelele,alaf inatokea siku mgambo wanatumwa na serikali wanakuja wanawapora biashara zao kirahisi kabsa na kuwapga..

acha utani wewe..

kaka,, misaada inayopewa tanzania mingi kama sio yote ni mikopo,,, halafu mkuu unapozungumzia machinga wa kariakoo au muuza koni, hawa hawana input ya moja kwa moja kwa uchumi wa nchi, ila wapo kwa ajili ya kuendesha private life na familia zao ...... tunapozungumzia kufanya kazi tunazungumzia public factories, tunaongelea public construction firm kama tunazo,,, je serikali inafanya uzalishaji kiasi gani (sio kukusanya kodi). je tuna mgodi au gas/oil field ya kwetu natunazalisha kama wazawa???? mimi muuza nazi/madafu/supu ya pweza hapa natafuta hela ya kula mimi na familia yangu.. tuna wataalamu wangapi wa madini,gas, mafuta, viwanda, barabara,anga au wote ni wahasibu na wanasheria (makalani waliokuwawanatukuzwa na wakoloni) kama leo hii nchi ina wahasibu, wanasheria, procurement,politicians, linguistics, waandishi,administrator,masecretary, nk wengi kupita kiasi halafu maengineer, scientific, madokta, na wataalamu wa teknologia kwa ujumla wakuhesabu, wewe unafikili hii nchi itaendelea????

JE NANI ALAUMIWE??
 
Asilimia ya rushwa,uwizi (ufisadi) Tanzania ni mkubwa sana kiasi cha kurudisha maendeleo nyuma.Hivyo si rahisi kuoana maendeleo au mabadiliko makubwa hadi mabadiliko ya kimfumo na utawala yafanyike na fikra za watanzania zibadilike.
Vinginevyo tutasikilizia majirani zetu wakipiga hatua sisi tukiendelea kuzunguka kwenye mduara wa umaskini.
 
Vijana wakiacha maandamano na kuhudhuria mikutano ya vyama vya siasa na badala yake wakajikita katika kufanya kazi nchi hii itafika mbali.

Ni matusi mazito sana kuwambia vijana wa tanzania hawafny kazi na huk ukiondoa rushwa na ufisad unaofnyw na wa2 wachache!
 
kaka,, misaada inayopewa tanzania mingi kama sio yote ni mikopo,,, halafu mkuu unapozungumzia machinga wa kariakoo au muuza koni, hawa hawana input ya moja kwa moja kwa uchumi wa nchi, ila wapo kwa ajili ya kuendesha private life na familia zao ...... tunapozungumzia kufanya kazi tunazungumzia public factories, tunaongelea public construction firm kama tunazo,,, je serikali inafanya uzalishaji kiasi gani (sio kukusanya kodi). je tuna mgodi au gas/oil field ya kwetu natunazalisha kama wazawa???? mimi muuza nazi/madafu/supu ya pweza hapa natafuta hela ya kula mimi na familia yangu.. tuna wataalamu wangapi wa madini,gas, mafuta, viwanda, barabara,anga au wote ni wahasibu na wanasheria (makalani waliokuwawanatukuzwa na wakoloni) kama leo hii nchi ina wahasibu, wanasheria, procurement,politicians, linguistics, waandishi,administrator,masecretary, nk wengi kupita kiasi halafu maengineer, scientific, madokta, na wataalamu wa teknologia kwa ujumla wakuhesabu, wewe unafikili hii nchi itaendelea????

JE NANI ALAUMIWE??

huyu machinga na muuza koni unaemuongelea ana watoto amabao kama biashara zake zikienda sawa atamsomesha mpaka huyo mtoto takua mmoja wa hao wataalamu unaowaonglea..

kununa kwa masikini ndio kununa kwa uchumi wa nchi..
 
Ni matusi mazito sana kuwambia vijana wa tanzania hawafny kazi na huk ukiondoa rushwa na ufisad unaofnyw na wa2 wachache!
Huyo Magdalena na dhani ni shabiki tu wa mfumo uliopo.Hana uwezo wa kutoa mchango wa nini kifaanyike kupunguza kama si kuondoa matatizo yetu.Miongoni mwa matatizo tulionayo ni CCM.Kikwazo kikubwa cha maendeleo yetu ni wao.Wamelewa madaraka labda wamekaa mudamrefu mno.Hawaamini kama iko siku watatoka ndiyo maana wamelewa hivyo
 
Vijana wakiacha maandamano na kuhudhuria mikutano ya vyama vya siasa na badala yake wakajikita katika kufanya kazi nchi hii itafika mbali.
kwahiyo we huwa unawaona vijana kila ck wanaandamana?na kazi zipi wafanye? nenda iringa wakulima wamelima mahindi mpaka leo yamerundikana na yanaoza heti serikali haina pesa,then tembea nchi hii uone watu wanavyo fanya kazi,acha mawazo hovyo,mbona marekani na ulaya wanaandamana kila siku na maendeleo yapo.
 
Sio nchi ya majaribio hii. Hayo majaribio endeleeni kufanya huko kwenye ndoa zenu.

acha mambo ya ajabu,hata wanauchumi wanasema unapofanya jambo na lisiwe na repurcation try another alternative,kama chama ni hiki na kila ck mnalia maisha magumu na bado mnakikumbatia basi haziwatoshi.
 
Mafisadi wapumzike 2015
Inawezekana kuwapumzisha 2015
sababu ya kuwapumzisha tunayo
Nia ya kuwapumzisha tunayo
Uwezo wa kuwapumzisha tunao
ni kwa kutumia sanduku la kura 2015
 
Kama unadhani mapato ya bandari yata kwenda kwenye maendeleo kwa uwzo na fikra za ccm imekulakwako.Nani anaweza kujirekebisha yeye mwenyewe kwa mambo aliyo fanya mwenyewe?Nisawa na kusema akate tawi alilo likalia lakini lisianguke
 
Kagame yuko right kwa 100%, sisi tunahangaika na siasa za CCM ya kubomoa nchi.
Misaaada kila kukicha halafu mijinga inakuja kijigamba eti serikali inayoongozwa na CCM imeleta maendeleo, u p u m bavu mkubwa huu.
 
...mwenye mali hana akili na mwenye akili hana mali,,haya ni baadhi ya maneno ya wimbo cjui wa nani vile ooh nmemsahau kidogo.tafakar
 
Back
Top Bottom