Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Vipi kauli ya Kagame kuwa Rwanda ingekuwa na bandari kama ya Dar, huduma zote Rwanda zingekuwa bure?

Kwa population isiyopishana sana na Dar es salaam ni kweli kabisa Bandari pekee inatosha kuipa Rwanda huduma za jamii bure

... Tatizo Umekurupuka, Alisema Akiwa Rais Wa Tz Atafanya Hivo Kwa Watz
 
Nenda kazini acha kuwaza siasa asubuhi yote hii!
Kazi hamfanyi halafu mnailaumu CCM kwa umasikini wenu
 
Wewe mnyarwanda utaendelea kumpigia debe Kagame mpaka uingie kaburini.


Nawe tumia akili angalau mara moja moja! Ccm hii ni pathetically incompetent, alichosema Kagame makes a lot of sense ukiacha ushabiki Wa kilevi.
 
Hii ji kweli sisi naoba hatupo serious kabisa fikiria lorry lenye containers linachukua cku nzima kufika kibaha kutoka bandarini na Hakuna jitihada na makusudi je tupo serious?

Yaani mkuu inachekesha kweli kweli
 
Unamtetea mzee wako pole sana nenda kwake uwe unafulia nguo basi.
Tatizo umepakatwa na mafisadi uwezi ona adha wanayopata wananchi vijijini ,Mungu katujalia kila kitu madini ya kila aina ,bandari , mbuga, misitu , gesi lakini mpaka leo ukienda mahosipitalini hakuna madawa shule hakuna madawati na hakuna vifaa vya kufundishia, Mungu katunyima viongozi ,tuna viongozi wanaowaza kunufaisha familia zao tu na jamaa zao na sio wananchi. Unge baatika kufika Rwanda ungeona wenzetu walivyo endelea kwenye sekta ya afya
 
Watz waache kulipana posho wakuletee maendeleo? Hiyo sahau! Hakuna kinachobikera kama wale wahuni waliokaa pale dodoma ni kuhalalushiwa 'day light' robbery ya laki 3 kila siku kwa kazi isiyo na tija. Kwa nini hizo pesa wasituletee huduma za maji, barabara, Afya nk?
 
Hanalolote Kagame anaishi kwa kuibia Congo madini
 
... Huwa Nataman Sana Siku Moja Hata Kwa Mwaka Mmoja Kagame Awe Rais Wetu

Wewe ni Mtanzania gani unaitwa MAHORO? Halafu hivi wewe Una akili kweli? Yaani unatamani jirani ndio awe baba yako?
 
Last edited by a moderator:
... Wakuu, Huwa Natafakari Sana Hii Kauli Ya Kiongozi Makini Hapa Afrika, Ndugu Kagame. Aliwahi Kumwambia Mkuu Wetu Wa Kaya Kuwa Ukiacha Rasrimali Zote Ulizonazo Kama Madini, Maji Na Ardhi, Bandari Tu Ya Dar Es Saalam, Kama Rais Wa Tz Naweza Kuitumia Kwa Ajili Ya Kuwapa Huduma Bure Za Kijamii Wananchi Wangu Wote Bila Wasiwasi.. Cha Ajabu Tuna Rasrimali Nyingi Lakin Kila Kitu Cha Shida, Je Hii Ni Laana Au?? Huwa Nataman Sana Siku Moja Hata Kwa Mwaka Mmoja Kagame Awe Rais Wetu Lakn Ndo Hivyo Haiwezekan. Hata Hapa Kwetu Wapo Viongoz Wazur Kama Kagame Lakin Huwa Hawapati Nafasi.. Natafakari Sana Hiyo Kauli Nzito, Machozi Yananitoka. Yaani Bandari Tu?? Je Madini? Je, Ardhi Yetu Nzuri? Je, Gesi Yetu? Maji Yetu??
Mkuu Mahoro,
Kwenye mambo mengi huwa tunapingana lakini kwa hili ni ukweli mtupu na sina haja ya kukupinga,Viongozi wa juu wa nchi hii wamevimbiwa madaraka na kulewa uongozi.
Labda nikupe mfano mzuri tuu,Angalia barabara inayotoka Ikulu ya magogoni kuelekea kivukokoni (ferry) Ni mita kama hamsini mpaka mia mbili kutoka ilipo Ikulu ya Tanzania,barabara ni mbaya sana ,imechakaa na mashimo kila mahali,harufu mbaya na mazingira machafu (Ilipo ofisi ya waziri mkuu mpaka soko la ferry),Sasa kwa picha hii pekee unaweza kuona ni viongozi wenye fikra za aina gani wanatuongoza watanzania.
Wapo wajinga hapa wanapingana na kauli aliyoitoa kagame,lakini ukweli ni kwamba hao ni wasaka tonge na wote tunawafahamu.
Viongozi wenye madaraka na mamlaka Tanzania hovyo kabisa.
 
...nakuunga mkona kabisa,yaani kwakweli kinachoendelea bandarini ni fedheha tu. Ni taasisi pekee ambayo inapaswa kupiga super profit maana unatumia maji tu kuingiza fedha. Watu wanaingiza container 100 kodi na ushuru wanalipia container 3 tu ! Huyu ni mtu mmoja kwa kazi moja,niambie kwa mwaka ni wangapi wanapitisha mizigo bila kulipia,kagame na dr slaa wapewe nchi,hatutaki wacheza ngoma wachezee nchi yetu...
 
Bila kujali madhara wala maumivi ni upuuzi kumsifia baba wa mwenzako uku wako akiwa hapohapo, na kufika hatua ya kuomba aje ahudumie familia yenu, what the hell are you posting,,,,,,,!!!!!!

We mburula raisi nibaba yako lakini sisi kunamuona kama kibarua tu. ila kibaruwa wa tanzania msanii. Maka unabisha rwanda wafanyakazi serekalini wanatumia magari yao hakuna gari la serekali la kukupeleka kazini. Rwanda mfanyazi serekalili anaenda hospitali za rwanda na ukienda nje unajilipia mwenyewe. Bongo serekalilini wanaenda nje hata kukamuliwa jipu. Anachosema Kagame ni kweli
 
ni shida sana mtu akishaongoza mkoa anafikiri anaweza pia kuongoza nchi..
 
... Wakuu,

Huwa Natafakari Sana Hii Kauli Ya Kiongozi Makini Hapa Afrika, Ndugu Kagame. Aliwahi Kumwambia Mkuu Wetu Wa Kaya Kuwa Ukiacha Rasirimali Zote Ulizonazo Kama Madini, Maji Na Ardhi, Bandari Tu Ya Dar Es Saalam, Kama Rais Wa Tz Naweza Kuitumia Kwa Ajili Ya Kuwapa Huduma Bure Za Kijamii Wananchi Wangu Wote Bila Wasiwasi.. Cha Ajabu Tuna Rasrimali Nyingi Lakin Kila Kitu Cha Shida, Je Hii Ni Laana Au??

Huwa Natamani Sana Siku Moja Hata Kwa Mwaka Mmoja Kagame Awe Rais Wetu Lakn Ndo Hivyo Haiwezekan. Hata Hapa Kwetu Wapo Viongoz Wazur Kama Kagame Lakin Huwa Hawapati Nafasi.

Natafakari Sana Hiyo Kauli Nzito, Machozi Yananitoka. Yaani Bandari Tu?? Je Madini? Je, Ardhi Yetu Nzuri? Je, Gesi Yetu? Maji Yetu??

Hata wewe mwenyewe ni bidhaa adimu unaweza kutumika kama chakula
 
Kwanini iwe bandari ya Dar na sio Mombasa, Beira, Maputo, Durban n.k? Ni upumbavu kusema ningekuwa na hiki ndipo ningefanya hivi... yeye kama kongozi anatakiwa ku-utilize kilichopo Rwanda kufikia pale anapotaka! Kwani Uswis wana bandari ya Dar? What about Austria? Kama akili yake ina uwezo wa kuleta maendeleo only kwa kupitia kuwa na bandari kama ya Dar basi ana safari ndefu!! Ndo maana haishangazi, baada ya kufurumushwa DRC, uchumi wao last fiscal year umepanda kwa 5% wakati ulikuwa unapanda kwa +7%!
 
Back
Top Bottom