Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.

Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.

Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.

Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
 
Wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa, wanaume hasa vijana wengi hawana ajira wana maisha ya unga unga mwana, hao walio na hela hawataki kuoa bali kuchovya chovya, maisha yamekuwa mfurugo kabisa, kijana anaoa leo baada ya miezi sita unasikia talaka yaani full tafrani
 
Hao wanawake waliotulia Mara nyingi wanakuwaga introverts.Yaani wapo Kama hawapo hivi.

Sasa mwanaume gani atatamani kuishi na mwanamke asiye mchangamfu,yaani kapoa sijui Kama Nini.
Sio kukosa uchangamfu ila wengi huwa hawajichanganyi kwenye sehemu za starehe au mikusanyiko mingi. Hivyo, nafasi zao za kukutana na wanaume wa kuwaoa ni ndogo

Tofauti na micharuko ambao wapo kila sehemu
 
Hamna dada wa hivo akose mwanaume,kwa taarifa yako wanaume huwa wanapashana taarifa kutokea mbali,hata watu tu watatembeza taarifa kwa fulani kuna mtoto.
Kama ametulia na anakosa mme huyo bado humjui maisha yake ya tangiapo
Ni kweli lakini si kila mwanamke 30+ ambaye hajaolewa ni kwa sababu hajatulia au hana qualities za kuwa wife material. Wengine ni kama alivyosema mtoa mada

Ukiachana na wale wenye akili nyingi, independent na wana misimamo ya kiboko haram
 
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.

Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.

Kuna mmoja nilidhani nimekuonea huruma sana mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.

Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Mwanamke ishi naye ndio utakujua katulia ama vipi?
 
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.

Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.

Kuna mmoja nilidhani nimekuonea huruma sana mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.

Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Kuna mmoja ana sifa zote za kuitwa wife material achilia mbali uzuri aliobarikiwa nao mpaka jamii inayomzunguka inakili hilo lakini sasa, shetani akiamua kukujambia ni Mungu tu mwenye uwezo wa kufukuza huo ushuzi....
 
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.

Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.

Kuna mmoja nilidhani nimekuonea huruma sana mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.

Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Usawa huu inawezekana kutokuwa na mtu ndiyo bahati yenyewe.
 
Back
Top Bottom