Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Vipi tupeane basi mchuchu tusitiriane love 😄😊😘Sawa sawa mkuu jiandae kupokea mahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tupeane basi mchuchu tusitiriane love 😄😊😘Sawa sawa mkuu jiandae kupokea mahari
Nani kakuambia mi mzee mi kijana mbichi kabisa kama unataka picha yangu ntakutumia pmSitaki wazee
Sitaki wanaume wa JFVipi tupeane basi mchuchu tusitiriane love 😄😊😘
Hiyo sura yako inavyotisha unataka nisilaleeeNani kakuambia mi mzee mi kijana mbichi kabisa kama unataka picha yangu ntakutumia pm
Sura yangu umeiona wapi mchuchu?Hiyo sura yako inavyotisha unataka nisilaleee
Kwann hututaki sisi wa JF ndo tuliopo mtaani ujue!?Sitaki wanaume wa JF
Nyie ni weziKwann hututaki sisi wa JF ndo tuliopo mtaani ujue!?
Kijana unataka mishangazi nginjangija komasava ikulee,,,,???Nani kakuambia mi mzee mi kijana mbichi kabisa kama unataka picha yangu ntakutumia pm
Daa umenikumbusha mtoto mmoja anayajua haya mambo yule mtu🙌🙌 sema ukorofi wake tu ila ningeweka ndani.Unaweza dhani hawaolewi kumbe nao wanamachaguo yao.Hata hivyo Malaya ndo wanaolewa sikuhizi....wajifunze kujichanganya...kujifungia ndani wataishia kuonwa na kaka zao tu.
Kijana unataka mishangazi nginjangija komasava ikulee,,,,???
Tumekuibia nn my wangu!? Nitajie jina lake nimpige huyo mwizi kwa niaba yakoNyie ni wezi
Mungu atutendee miujiza huko ndani tunakojifichaHao wanawake waliotulia Mara nyingi wanakuwaga introverts.Yaani wapo Kama hawapo hivi.
Sasa mwanaume gani atatamani kuishi na mwanamke asiye mchangamfu,yaani kapoa sijui Kama Nini.
🤣🤣🤣🤣🙌 Ndo ivoDaa umenikumbusha mtoto mmoja anayajua haya mambo yule mtu🙌🙌 sema ukorofi wake tu ila ningeweka ndani.
Malaya wakikukamata ndugu watahisi umefanyiwa dawa
Hatari sana, umeona mkuuKabisa mkuu mi nina ndugu yangu wa kike ana 31 ila siwezi mshauri mtu amuoe yaani in short haifai aseee watu wanakojolewa na kupigwa 3some kwanzia chuo na bangi juu mkuu acha kabisa sio poa.
Kwa saivi mwanamke above 21 ambaye hajachumbiwa ni bomu kubwa sana hilo.
Cc Mwanaumke wa mithali
DuuhKatika kujichanganya huku na huku wakachukua nuksi
Sawa sawa 😁🙏🏽Sawa sawa mkuu jiandae kupokea mahari
Unakuta mdada umetulia ndio,unajifanya serious sana,huchangamani na wenzio,kanisani huendi,umejifungia ndani sasa wanaume utawapataje au unakuta unavigezo vingi sana ni ngumu kumpata mwanaume.Labda ni bahati wakati mwingineNi kweli lakini si kila mwanamke 30+ ambaye hajaolewa ni kwa sababu hajatulia au hana qualities za kuwa wife material. Wengine ni kama alivyosema mtoa mada
Ukiachana na wale wenye akili nyingi, independent na wana misimamo ya kiboko haram
Kuna aina ya wanawake ukiwa nae, kwa jinsi mwili wake ulivo (hana joto sahihi) au ni oversize. Labda anashida ya harufu. Mwanamke wa hivi anapunguza nguvu za kiume.Kuna mmoja ana sifa zote za kuitwa wife material achilia mbali uzuri aliobarikiwa nao mpaka jamii inayomzunguka inakili hilo lakini sasa, shetani akiamua kukujambia ni Mungu tu mwenye uwezo wa kufukuza huo ushuzi....