tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Jamani mama mchungaji sio wote,mbona mimi sipo hivyo,na natafuta mtuNyie ni wezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mama mchungaji sio wote,mbona mimi sipo hivyo,na natafuta mtuNyie ni wezi
Hakuna mwanamke anataka hili jambo la wake wawili au watatu, changamoto idadi ya wanaume waliopo hawawezi kukidhi mahitaji ya wanawake
Lakini hiyo ni kwa wanawake almost wote, ni tit for tat, sema tu hua wengi hawajui km wamechapiwaMamauzi ya kuolewa na kuvunja ndoa yite yapo kwa Mwanamke itategemeana na jinsi yeye atakavyojiweka dhidi ya muoaji.Wanaume wengi tunaangalia vitu vingi kabla ya kuoa.
Mfano,wanaume wengi huwa tuna wanawake wengi tunapiga huko nje,sasa kuna Wanawake wakigundua Mme wake kafanya hivyo nae anarudishia-sasa mwanamke wa namna hiyo si anakutafutia kesi ya mauaji.
Uwongo mkuuKuna aina ya wanawake ukiwa nae, kwa jinsi mwili wake ulivo (hana joto sahihi) au ni oversize. Labda anashida ya harufu. Mwanamke wa hivi anapunguza nguvu za kiume.
Mimi hunijui weew acha kuweka viungo vya chaiUmechelewa mwaya!
Ungewahi kipindi sijui mitaa ya jf, ila sasa namjua kila mtu na tabia yake
Kunidaka huwezi🤸
Wao wenyewe hawatutaki tuliotulia...wanataka bad boysBahati mbaya na sie vijana wa kiume tuliotulia hatukutani na hao watu.Mimi kwakweli naomba Mungu nikutane na the likes hao
Kuchapiwa ni kitu kisichokwepeka. Wenyewe wanakwambia humiliki mbususu, ni kwamba ni muda wako tuu so wee kama mke hakunyimi mbususu shukuru enjoy.Lakini hiyo ni kwa wanawake almost wote, ni tit for tat, sema tu hua wengi hawajui km wamechapiwa
“ngoja nzeeke zeeke kwanza prngine ntakuja elewa”Kuchapiwa ni kitu kisichokwepeka. Wenyewe wanakwambia humiliki mbususu, ni kwamba ni muda wako tuu so wee kama mke hakunyimi mbususu shukuru enjoy.
Mambo ya wivu kuwa wenngine wanagegeda achana na huo utoto
Mtoto wa kiume unajiita “tamuu”, aya mtoto mtamuBahati mbaya na sie vijana wa kiume tuliotulia hatukutani na hao watu.Mimi kwakweli naomba Mungu nikutane na the likes hao
Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.
Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.
Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.
Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Wee kugongewa wala sio ishu mwanawane, mie ishu inakuja pale mwanamke anakataa tupige threesum na huyo anayemgonga....hapo aisee nitamaimdi kishenzi“ngoja nzeeke zeeke kwanza prngine ntakuja elewa”
Suala la kugongewa usilirahisisishe hivyo
We sio mzima kabisaWee kugongewa wala sio ishu mwanawane, mie ishu inakuja pale mwanamke anakataa tupige threesum na huyo anayemgonga....hapo aisee nitamaimdi kishenzi
Wao wenyewe hawatutaki tuliotulia...
Kwani uwongo[emoji1787]
Mkuu hiyo hapo kwenye avatar ndo tamuuuuu.Hata hivyo naweza kuwa na tamuuuuu dushe sawa eeeMtoto wa kiume unajiita “tamuu”, aya mtoto mtamu
Shida n kuwa wanawake wenye mapenzi ya dhati hawapati wanaume.Mapenzi ya dhati yapo