Bora huyo akiwa free...Ukiona unambiwa Nitakutafuta nkiwa free....
Nitakuroga ahh aa ahhhhBora huyo akiwa free...
Je huyu wangu mie Zu chuu chu chuuu
Ukiona unambiwa Nitakutafuta nkiwa free....
Naelewa basiiiiiNitakuroga ahh aa ahhhh
Nikiona anapenda sana kuposti picha kwenye social media halafu hajui kutofautisha kati ya R na L.Nikiona anapenda sana kupiga simu na kutumiwa picha
Umeshaingia kwenye mada ya hela...hatutofika hata kwenye kivuko cha ferry🥴🥴🥴Niwekee oda ya juis ya miwa pale feri nitaeza😅
Umetuwakilisha vyema baadhi ya wanaume wenzio mkuu, muulize kama anaswali jingine umjibu kabla hauja log outNikisikia tu ananitajia maneno yenye herufi nne''hela'' au ''pesa'' akili inaniambia kituo kinachofata tunashuka
Tutaishia kisiwani😂😂💔Umeshaingia kwenye mada ya hela...hatutofika hata kwenye kivuko cha ferry🥴🥴🥴