Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Una miaka mingapi?
Mtu akianza kurusha rusha mitako yake ndani fukuza.
Elfu 30-35.nijazie mafuta nije nauli ya boda
Fukuza
Nna njaa agiza Chipsi kuku.
Nizikute nikifika.
Fukuza
Una vilainishi?
fukuza
Nisipokunywa k vant sina mzuka
Fukuza.
Selfie ,weka pembeni.
Hizo ndo dalili.
Vinginevyo uwe na urafiki tu na muuza majeneza pale mabibo au kimara.
Na naskia wana punguzo la bei.
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Mbona mada hii ni kama ya malaya anayejiuza?

Mahusiano yenye afya huwa kila jambo linajadiliwa na wapenzi wote wawili, maana katika maisha kuna kupata na kukosa na pia siku zote siyo jumapili.

Kwa hiyo siku mwanaume kakosa kwenye mihangaiko yake ananuniwa, simu hazipokelewi na msg hazijibiwi!

Ndonikasema mada hii inahusu wauzaji na wateja wao, haihusu wapenzi.
 
Mbona mada hii ni kama ya malaya anayejiuza?

Mahusiano yenye afya huwa kila jambo linajadiliwa na wapenzi wote wawili, maana katika maisha kuna kupata na kukosa na pia siku zote siyo jumapili.

Kwa hiyo siku mwanaume kakosa kwenye mihangaiko yake ananuniwa, simu hazipokelewi na msg hazijibiwi!

Ndonikasema mada hii inahusu wauzaji na wateja wao, haihusu wapenzi.
Mada ya wadangaji na wateja wao hii
 
Wapo wanaume wanaojua kupenda na Kuishi na madhaifu ya wanawake
Km namjali namuheshimu namfanyia kilakitu kizuri why asinidekeze ndo mapenz hayo 😂😂
Subiri hutaamin 😂😂😂
Mwanaume ambae hataki a strong woman huyo hana haja na ww kwenye future yake trust me or not.
Au ww unaongelea mtu anae abuse wanawake? Huyo hakubaliki
 
Subiri hutaamin 😂😂😂
Mwanaume ambae hataki a strong woman huyo hana haja na ww kwenye future yake trust me or not.
Au ww unaongelea mtu anae abuse wanawake? Huyo hakubaliki
Naona hatujaelewana
Nimemaanizha Kuishi na mwanaume ambae hanidekezi naona naonewa sio ulivofikiria ndio udhaifu wangu huo
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Gold digger
 
unaazishaje wakati unayo ,labda ununue ukioa huwezi kuwa ushawishi wa mdomo mkuu
Mdomo watu hawaelewi sikuhizi
Kwamba waliooa hawana ushawishi wa mdomo au ndio ushawishi pekee walionao na hauhitajiki?
Huo ushawishi unaotakiwa waliooa hawana?

Hamna wanaume wanaovutia kwa wanawake kuliko waume za watu
 
Back
Top Bottom