Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Wapo wanaume wanaojua kupenda na Kuishi na madhaifu ya wanawake
Km namjali namuheshimu namfanyia kilakitu kizuri why asinidekeze ndo mapenz hayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kudekezwa ndio kupewa pesa ,hii imekaa kijanja sana kama huna D mbili hauwezi elewa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Mahanjamu kwa wanawake sio kipaumbele chetu, pesa ndio hufanya mahanjamu yanoge.!!
Pesa kwenye husiano km chumvi kwenye mboga ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
Mimi mwanamke anayetanguliza pesa namuona kama malaya tu.

Kama mtu anayesumbuliwa na umasikini ambaye hana pesa zake anategemea mwanamme ili apate pesa.

That is a turn off for me.

Even as by nature I am a very good provider, I pay bills, etc.

Lakini ile kuwa na mwanamke mwenye expectations za pesa naona kinyaa.

Labda kwa sababu nimekaa nje sana na sijazoea wanawake wa Kitanzania wengi ambao wana tabia hiyo ya kufanya wanaume kama ATM.

Kuna siku nilikuwa namtongoza dada mmoja Mmarekani, nampanga tutoke dinner.

Akasema hawezi kutoka dinner, hana pesa.

Nikamwambia usitie shaka, nitalipia kila kitu.

Akaniambia yeye hawezi kwenda dinner kama hana pesa zake mwenyewe, hata kama atalipiwa kila kitu.

Nikasema dada zetu wa kibongo wako wapi waje wapate darasa hapa?
 
Ukiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Tutakuroga
images (11).jpeg
 
Ukiona hakupi hela ujue hakupendi,,,,mwanaume anampa pesa na kumuhudumia mwanamke anayempenda
Kukupa au kutokupa haimanishi kuwa anakupenda wapo wanaume wanakuja kwasababu wanahitaji sex na wanajua kabisa ili ulainike ni lazima watoe pesa au amentain penzi lazima akupe pesa na akishakuchoka hakupi tena pesa au anakutafutia sababu umuache au yeye akuache na wapo wanaume anakuja kwako cos anakupenda kukupa atakupa but kwa nadra wakati anakusoma mpaka pale atakapoona unafaa ndio anaweza kujitoa kwako.
 
Mimi mwanamke anayetanguliza pesa namuona kama.malaya tu.

Kama mtu anayesumbuliwa nanumasikini ambaye hana oesa zake anategemea mwanamme ili apate pesa.

That is a turn off for me.

Even as by nature I am a very good provider, I pay bills, etc.

Lakini ile kuwa na mwanamke mwenye expectations za pesa naona kinyaa.

Labda kwa sababu nimekaa nje sana na sijazoea wanawake wa Kitanzania wengi ambao wana tabia hiyo ya kufanya wanaume kama ATM.
Wewe kaka mkubwa ni haki yako si uko mambele hata papuchi ukipewa unaipiga kistaarabu sio km wamatumbi wetu huku.!!
Huku ukila chips zake za buku anahakikisha mwendo uliokuja nao sio utakaondoka nao ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Picha linaanza umeingia gheto, anakuingiza ndani wewe na viatu vyako. Hizo chips unakula kakusimamia anaona km unachelewa.!!
Sasa si bora umuombe pesa ujue moja lasivyo ataipiga mipigo yote ukose had pesa ya panadol kupoza maumivu..! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Wala tofaut kubwa sana
Kunawatu hawajui hata kuzungumza na wapenz wao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huo mda wa kubembelezwa mtakula mawe ? Tena unatakiwa mkutane tu mwisho wa mwaka nikupee mimba nirudi kuchakarika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom