Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Mara Umekula...Unafanya niniπŸ™„...

Nimekumbuka wakati nipo Advance miaka hiyo...Kuna Mwanafunzi alikuwaga na simu zile Nokia za Mwanzo kabisa...

Sasa Usiku baada ya Prepo ndiyo tunaigongea Bweni zima...Na siku za J2 ambazo hatuendi Prepo...Siku moja Mwenzetu akawa anaongea na mtu wake...Mtu wake Akamuuliza Umelala akamjibu ndiyo...Akamuuliza tena umevaa nini...Akamjibu Sanda🀣🀣🀣🀣🀣
Tulicheka Bweni Zima kama VibwengoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahahahaha,
 
Khaa,

Na nyie mnataka kupigwa kistaarabu? Halafu mkatangaze mtaani " palee, pale hamna kitu unapapaswa papaswa papani tu".

Si tumekubaliana mnataka gwaride la kijeshi, au?
Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! 😹😹😹

Huku hatufanyi starehe tunakomoana ohhh!! 🀣🀣🀣
 
Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! 😹😹😹

Huku hatufanyi starehe tunakomoana ohhh!! 🀣🀣🀣
My Wii unazungumzia nn 🀣🀣
 
Tatizo kistaarabu ya kwa Biden na kwa mama kizimkazi tofauti, huku sio mapenzi ni vita.!! 😹😹😹

Huku hatufanyi starehe tunakomoana ohhh!! 🀣🀣🀣
Watu wanamalizia frustrations zao zote za maisha hapohapo eeh?
 
Kwahyo kuna hawa,,,,pesa hawakupi na akitoa ujue kazi umeufanyaaa......mpaka katoa
ANAKUJA KWAKO anakula,analala,anaoga na anaondoka zake na hakupi pesa.

Kwahyo huyu naye tumuweke kwenye kundi gan maana hata akusaidie kulipa rent .....ila hafanyi hivyo

Je huyo naye anakusoma tabia yako au n vipi
🀣🀣🀣Kunasiku Nilicheka mdada jirani kampigia simu mpenzwake akamuita, mkaka haish mbali alivoenda akampa elf 10 alivorud nikamuomba anisindikize sokoni mara jamaa kapiga anamwambia amuhesabie chakula 🀣🀣🀣🀣Yani Ile elf 10 alitoa Ili na yeye aje kula
 
𝑨𝒉 π’Žπ’Šπ’Ž π’π’Šπ’Œπ’Šπ’π’π’‚ π’‚π’π’‚π’•π’†π’Žπ’ƒπ’†π’‚ π’•π’‚π’“π’‚π’•π’Šπ’ƒπ’– 𝒕𝒖 𝒏𝒂𝒋𝒖𝒂 π’‰π’‚π’•π’–π’‡π’Šπ’Œπ’Š π’Žπ’ƒπ’‚π’π’Š.
 
Uchafu,unakuta mwanamke makwapa msitu halafu yana unga mweupe au njano sidiria nyeupe imekuwa nyeusi zile kamba zake utafikiri kamba ya kufungia ndama pindi ukamuapo *****, huku chini hanyoi, chupi anavaa siku mbili ndo abadili nyingine zimeungua pale katikati na acidic rain, hapo sio hatutofika mbali tu bali hata kusogea hatutosogea
 
Back
Top Bottom