Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Inategemea ntu na ntu🤣🤣Kumbe ipo wazi eeh, sasa kwann mnakuaga hot kipind tukiwa hatna hela mkononi, iki kipindi mwanaume utaingia ata jikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea ntu na ntu🤣🤣Kumbe ipo wazi eeh, sasa kwann mnakuaga hot kipind tukiwa hatna hela mkononi, iki kipindi mwanaume utaingia ata jikoni
🤣🤣🤣Bebi nikuambie kitu.
😅😅😅Simu kila wakati ina kindege
🤣🤣🤣Inategemea ntu na ntu🤣🤣😍
Muuzaji kwenye 1 n 2Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Namkubaliii sana huyu mwambaaNaelewa basiiiii View attachment 3063828
Ukipewa hela na your boyfriend unapata feeling gani??..bwege huyu ngoja nimchune or what?Nakazia mwanaume haumii akimpa Hela ampendae
Acha umalayaKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Weee mwepesi tuuuu ahaahNamkubaliii sana huyu mwambaa
Profile yake instagram imejaa picha za vacations na vyumba vya hotel lakini hakuna hata picha moja ya kazini kwake, kimbiaaa yaani mabuti ya kijeshi uyaone mepesiKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Kweli ntu chakeKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Mpaka hapa, inaonekana wewe ni kahaba (mwanamke anayejiuza)Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Akiwa na Best Friend Mwanaume, .... Tunapeana Thank YouKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?