Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Muuzaji kwenye 1 n 2
 
Mimi nikionaaa kila muda simuuu mara text haziishiii najua apa kuna alert ya kwamba kuna kizingaaa cha pesa ko akinitafutaa ataishiaa kusikia

Access denied
Au namba unayoipigia.............................
Malizieni apo wakuu
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Acha umalaya
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Profile yake instagram imejaa picha za vacations na vyumba vya hotel lakini hakuna hata picha moja ya kazini kwake, kimbiaaa yaani mabuti ya kijeshi uyaone mepesi

Yani kama vile simple toka nduki toka lesi

Ka risasi ya bunduki au jeti

No kunyuti no kuketi, mpe nafasi akushoot

Kama Malcolm X usikubali kubaki

Uwe pimbi upewe kesi

Ikibidi jitose ndani ya dimbwi la kinyesi

Kimbiaaa
 
K
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Kweli ntu chake
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Mpaka hapa, inaonekana wewe ni kahaba (mwanamke anayejiuza)
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Akiwa na Best Friend Mwanaume, .... Tunapeana Thank You
 
Back
Top Bottom