Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Ndogo ndyo nnMimi demu akiwa anatoa ndogo huyo ndio basi basi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndogo ndyo nnMimi demu akiwa anatoa ndogo huyo ndio basi basi tena
😅😅😅Una miaka mingap kwanza
Alafu mtoto atoke mweupeee sioNatafuta mpenzi, awe mrefu mweusi.....
😂🤣Uchafu,unakuta mwanamke makwapa msitu halafu yana unga mweupe au njano sidiria nyeupe imekuwa nyeusi zile kamba zake utafikiri kamba ya kufungia ndama pindi ukamuapo *****, huku chini hanyoi, chupi anavaa siku mbili ndo abadili nyingine zimeungua pale katikati na acidic rain, hapo sio hatutofika mbali tu bali hata kusogea hatutosogea
🫡Nikikosea tundu asinisanue najua huyu hajali tena afya yangu anataka kuniambukiza typhoid, napiga chini kesho yake
🤣🤣🤣 mwanaharakati au sioNikiona kadi ya chadema kwenye mkoba wake.
Kukupa au kutokupa haimanishi kuwa anakupenda wapo wanaume wanakuja kwasababu wanahitaji sex na wanajua kabisa ili ulainike ni lazima watoe pesa au amentain penzi lazima akupe pesa na akishakuchoka hakupi tena pesa au anakutafutia sababu umuache au yeye akuache na wapo wanaume anakuja kwako cos anakupenda kukupa atakupa but kwa nadra wakati anakusoma mpaka pale atakapoona unafaa ndio anaweza kujitoa kwako.
Shida inakuja wanawake wengi wanajua kila siku mwanaume ana helaNakazia mwanaume haumii akimpa Hela ampendae
N'Jipara mb'onyi la'ooo🤣🤣🤣Mburaa makiwendo see🙄
Vile Inafaa bhana😂😂😂Mburaa makiwendo see🙄
Bora umekazia Kuna namna kunavitu unatamni kusikia Yani Leo umependeza
Una nywele nzuri
Njoo bas nikukumbatie, mtu yupo yupo tu jmn hata km ndo ana Hela hapana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe tena🤣Hao dada zetu tunawakwepa kama ukoma🤣🤣😅
Na nyie naona mnakimbilia kanda ya ziwa siku hizi😁😁 tunakwepana.Wewe tena🤣
mtu chake tafuta chakoKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Naona unavujisha minutes za kikao.....Kitakurambaa🤣🤣🤣Na nyie naona mnakimbilia kanda ya ziwa siku hizi😁😁 tunakwepana.
Kweli ulipigwa na kitu kizito kichwaniNikigundua Demu ni mpare
Anaweza kufanya mahusiano yawe machungu kama mahusiano ya Maccm na Mwabukusi.🤣🤣🤣 mwanaharakati au sio
Cha muhumu pesa irudi nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣Naona unavujisha minutes za kikao.....Kitakurambaa🤣🤣🤣
Kabisa mapenz hayataki ubabe Kila wakati kwakweli nisipodekezwa hata najua napendwa Huwa sifurahiWewe ni pacha angu… ukutane na first born utaenjoy sana.. maana amezoea kudekeza wadogo zake