Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Uchafu,unakuta mwanamke makwapa msitu halafu yana unga mweupe au njano sidiria nyeupe imekuwa nyeusi zile kamba zake utafikiri kamba ya kufungia ndama pindi ukamuapo *****, huku chini hanyoi, chupi anavaa siku mbili ndo abadili nyingine zimeungua pale katikati na acidic rain, hapo sio hatutofika mbali tu bali hata kusogea hatutosogea
😂🤣
 
Kukupa au kutokupa haimanishi kuwa anakupenda wapo wanaume wanakuja kwasababu wanahitaji sex na wanajua kabisa ili ulainike ni lazima watoe pesa au amentain penzi lazima akupe pesa na akishakuchoka hakupi tena pesa au anakutafutia sababu umuache au yeye akuache na wapo wanaume anakuja kwako cos anakupenda kukupa atakupa but kwa nadra wakati anakusoma mpaka pale atakapoona unafaa ndio anaweza kujitoa kwako.

Toeni pesaa acheni maneno maneno… mwanaume anatoa hela anapopenda hiyo ipo wazi

Nb:
sizungumzii kuhonga hapa namaanisha kumsaidia mtu wake kwa upendo na mwanaume anaekuhonga ili apate kitu anajulikana na anaetoa kwa upendo anajulikana pia..
 
Kuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.

Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.

Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.

Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
mtu chake tafuta chako
 
Back
Top Bottom