😅😅😅Anaweza kufanya mahusiano yawe machungu kama mahusiano ya Maccm na Mwabukusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Anaweza kufanya mahusiano yawe machungu kama mahusiano ya Maccm na Mwabukusi.
Hiyo sio sawa ni kweli Kuna mda watu wanapigika ni kawaidaShida inakuja wanawake wengi wanajua kila siku mwanaume ana hela
🤣🤣🤣Anaweza kufanya mahusiano yawe machungu kama mahusiano ya Maccm na Mwabukusi.
Naaaaaam🤣🤣🤣🤣Cha muhumu pesa irudi nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa mapenz hayataki ubabe Kila wakati kwakweli nisipodekezwa hata najua napendwa Huwa sifurahi
unataka hela ambazo hata baba yako hakuweza kukupa..... ishi maisha tafuta pesa zako uipumzishe hiyo mbunyeKuna sign au ishara gani ambazo tunaziona mwanzoni mwa uhusiano tunajua kuwa hapa hamna kitu huu uhusiano haufiki popote.
Mi nikiona Mwanaume hanipi hela wala haongelei habari za hela yee maneno matupu tupu tu, moja kwa moja najua hatutofika mbali.
Naanza kumpotezea akipiga simu sipokei na akituma meseji sijibu. Au nikimuona anafaa kwa matumizi ya siku mbili tatu nakua nae kwa kipindi kadhaa alafu nampotezea.
Wewe ukiona sign ipi unajua hamtofika mbali? Na hua unafanya nini?
Kumbe ipo wazi eeh, sasa kwann mnakuaga hot kipind tukiwa hatna hela mkononi, iki kipindi mwanaume utaingia ata jikoniHiyo sio sawa ni kweli Kuna mda watu wanapigika ni kawaida
😀😀😀Kabisa hawana mchango kwenye sekta ya mahusianoHapo lazima sura iwe na nuru sasa ukutane na mtu asiejali unakuwa Kama upo kifungoni,, wanaume ambao sio romantic wauwawe [emoji41]
Ngoja waje kukumita yeye ni M.a.laya...
Nafasi ikitokea usisite kunijulisha.Kubembeleza na kudekeza imekuwa kama kipaji kwangu.kiufupi Nina uzoefu wa kutosha kwenye hiyo sekta😂😂😂😂Mimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga 😀😀
Duh..mkuu mbona kama unanisema kimafumbo?aisee kumbe wavuvi wa staili hii tupo wengi.Nitafute mbinu mpya sasaNikianza story za pesa yeye ananisimulia matatizo ya kwao, simu nyingi zisizokuwa na umuhimu anakumbushia kupewa mbunye.!!
Huyo baba jeni bye bye atafute wacheza porno wenzie wa bei za jioni 🤣🤣🤣
Pole sana mkuu, anza kutafuta mbinu mpya aisee 😹😹Duh..mkuu mbona kama unanisema kimafumbo?aisee kumbe wavuvi wa staili hii tupo wengi.Nitafute mbinu mpya sasa
Asante sana nimepoa.Hakuna namna ni kutafuta Hela ili nikiombwa nisianze kuelezea matatizo ya nyumbaniPole sana mkuu, anza kutafuta mbinu mpya aisee 😹😹
Out of point!!Mbona mada hii ni kama ya malaya anayejiuza?
Mahusiano yenye afya huwa kila jambo linajadiliwa na wapenzi wote wawili, maana katika maisha kuna kupata na kukosa na pia siku zote siyo jumapili.
Kwa hiyo siku mwanaume kakosa kwenye mihangaiko yake ananuniwa, simu hazipokelewi na msg hazijibiwi!
Ndonikasema mada hii inahusu wauzaji na wateja wao, haihusu wapenzi.