Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Kuna mwanamke aliniuliza "una nyumba?". Nikamwambia ndiyo.

Akaniuliza "Umejenga mwenyewe?"

Nikasema ndiyo.

Akasema wewe una kiburi sana, ulitakiwa kusema umejenga na Yesu. Hakuna anayejenga nyumba mwenyewe bila Yesu.

Nikasema makubwa. Mimi nilifikiri anauliza kama kuna mtu kanisaidia pesa ya kujenga nyumba yangu. Nikamkimbia hapohapo.
 
Nikianza story za pesa yeye ananisimulia matatizo ya kwao, simu nyingi zisizokuwa na umuhimu anakumbushia kupewa mbunye.!!
Huyo baba jeni bye bye atafute wacheza porno wenzie wa bei za jioni 🤣🤣🤣
Hivi mmeshahalalisha biashara ya kubadilishana wewe unampa mbunye yeye anakupa pesa eeh?

Kwani na yeye hakupi mahanjamu unayoyafurahia kwenye tendo?
 
Kwamba waliooa hawana ushawishi wa mdomo au ndio ushawishi pekee walionao na hauhitajiki?
Huo ushawishi unaotakiwa waliooa hawana?

Hamna wanaume wanaovutia kwa wanawake kuliko waume za watu
Kama umeoa na unataka ushawishi wa mdomo ,basi lazima udondokee kwenye kichwa Cha Uzi huu......... Mlipe akupe imeisha
 
Hivi mmeshahalalisha biashara ya kubadilishana wewe unampa mbunye yeye anakupa pesa eeh?

Kwani na yeye hakupi mahanjamu unayoyafurahia kwenye tendo?
😹😹😹 Mahanjamu kwa wanawake sio kipaumbele chetu, pesa ndio hufanya mahanjamu yanoge.!!
Pesa kwenye husiano km chumvi kwenye mboga 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Kuna mwanamke aliniuliza "una nyumba?". Nikamwambia ndiyo.

Akaniuliza "Umejenga mwenyewe?"

Nikasema ndiyo.

Akasema wewe una kiburi sana, ulitakiwa kusema umejenga na Yesu. Hakuna anayejenga nyumba mwenyewe bila Yesu.

Nikasema makubwa. Mimi nilifikiri anauliza kama kuna mtu kanisaidia pesa ya kujenga nyumba yangu. Nikamkimbia hapohapo.
Eti umejenga mwenyewe?
🤣🤣🤣 Alitaka kuikopea?
 
Vijana kataeni ndoa tu aseee kuwa tajiri na mapenzi kwa sasa haiwezekani kabisa😁😁
20240803_075715.jpg

Kwisha habari yako ahaha
 
Back
Top Bottom