Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Nakaribia Burundi sio kwa mbio hizi
 

Attachments

  • Screenshot_20240816_090329_WhatsApp.jpg
    92 KB · Views: 4
Mtu ndo Kwanza siku ya kwanza unampanga muonane,,halafu anakwambia uende na CHIPS,NDIZI ZA KUKAUSHWA na TENDE,duhhh mtatuua
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mimi mwanaume asiejua kudekeza na kubembeleza naonaga kabisa nitakufa siku sio zangu
Yani kuwa strong women ndo sijawezaga πŸ˜€πŸ˜€
Possibly we ndiye wife material!
Sasa hao strong women.....!!!
 
Na ambavyo sio wastaarabu sasa malaya kila kona wana madem
 
Mtu ndo Kwanza siku ya kwanza unampanga muonane,,halafu anakwambia uende na CHIPS,NDIZI ZA KUKAUSHWA na TENDE,duhhh mtatuua
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nikikosa tuu time yake basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…