Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Hebu nioneshe katika Biblia kipengele kinachoongelea habari baada ya kifo cha firauni baharani. yaani Yule aliiojiita Mungu baada ya kufa Majini nini kilitokea ili tujue je kweli inarudia ama inakamiliasha maelezo.
Nani aliyekwambia kuwa Firauni alifia majini mzee?
 
hahaha hakupewa na mashetani, bali hilo night tawi la VATICAN nina ushaidi mkuu!!
Uislamu na Vatican ni vitu viwili tofauti kabisa.
.1.Vatican wanaanudi masanamu,uislamu ibada ya masanamu marufuku.
2.Uislamu katika ibada hawachanganyiki wanawake na wanaume.Vatican wanachanyika.
3.Uislamu wanamhesabu Yesu ni Nabii,Vatican Yesu ni Mungu
4.Wakati wa ibada katika uislamu,wakati wa ibada,mungoz ibada anaelekea mbele kama waumini wengine,Vatikani muongoza ibada anawatizama waumini.
5.Vatican wanaamini Yesu kasulubiwa,uislamu unakataa kusulubiwa kwa Yesu.Nk
 
MIMIC nilidhani kagundua kumbe kashushiwa?! Aarghh! Basi hakunA jipya coz kama angegundua yeye hapo sawaaa!, night sawa na mwanafunz kufundishwa jambo na mwalimu then akaenda sehemu ambayo watu hawajui lile jambo na kujitanabaisha et kalivumbua yeye!!
So hata hao wanasayans wakigundua siyo mbaya coz wameendeleza ambavyo havikumaliziwa! Mfano umesema kuhusu big bang but quran haijachambua vyema bali imeelezea tuu! Lakini huku sayansi imechambua kwa kina! Mathalani hata hiyo embroy imetofautiana kwa kiasi chake! Na sayansi!!
# TUSIWE MASHABIKI KWA VITU VYOTE, na ndiyo maana wakina KIRANGA hawatakuja kuamini coz mnakanganyana na MUNGU kutokan na kuuweka udini mbele!!!
 
hahaha POLE YAKO MKUU!! Lait mngejua nyuma ya PAZIA!! Hahaha narudia uislam ni tawi la VATICAN!! Sema ndo hivyo tuu!! Watu wamefungwa hawajui kitu kuhusu DUNIA HII!!
 
hahaha POLE YAKO MKUU!! Lait mngejua nyuma ya PAZIA!! Hahaha narudia uislam ni tawi la VATICAN!! Sema ndo hivyo tuu!! Watu wamefungwa hawajui kitu kuhusu DUNIA HII!!
Hahaha inawezekana aisee unachooongea ni kweli[emoji1] [emoji1], Ngoja nikuulize jambo, Hivi Unajua Maana Ya 'Amen' 'Amin'? Unajua kwanini Dini zote Ulimwenguni zinaweka neno hilo kwenye Sala Zao?
Kama hakuna Dini ambayo huwa haitaji neno hilo kwenye sala naomba niijue hapa.
UNAJUA SIRI YA AMEN!!?
 
Hebu nioneshe katika Biblia kipengele kinachoongelea habari baada ya kifo cha firauni baharani. yaani Yule aliiojiita Mungu baada ya kufa Majini nini kilitokea ili tujue je kweli inarudia ama inakamilisha maelezo.
kifo cha firauni ni porojo tu zisizo za kweli, filauni hakufa kwenye Bahari kwa gharika! ni uongo mkubwa
 
Anza Kutema Cheche then Me Ntafuata! MKUU! lakini mambo mengine night siri sana ambazo zinaweza hatarisha AMANI YA ULIMWENGU! Ngoja Nifikirie Kabla sijatema Cheche Maana Vita Vya Kidini Kutuliza Ni Mziki Mnene!
Ngoja Nijenge Taifa then nitarudi Kushusha Vitu!! Lakini Mtanisamehe WAFIA DINI!!
 
Kwani Yesu na Mohmed nani aliyetangulia kuja duniani?
 
Ngoja niandae Uzi huu, wenye Akili wataanza kuamka.
 
Kwani hujui waliovumbua chochote husoma kwanza ndio akajuwa.Hapa Mtume Muhammad,anapewa elimu na Allah.
 
Aliwahi kusa eti jua huwa linaenda kuzama kwenye Matope,,

Alikuwa muongo sn huyo jamaa,, alikuwa akisimuliwa habr za kwenye Bible kesho yke anakuja kuwadanganya watu wake eti kapata maono.
Katika mtume aliyepotosha umati hamna kama huyo mwarabu! Eti jua linazama kwenye matope? Si uwongo huo!
 
Kweli kuna watu wanapandisha majini waislamu wanaita maruani. Niliwai kushuhudia jamaa kapandisha mashetani akawa anaongelea kifaransa na kiarabu, lugha ambazo hajawai kuongea. Kwahiyo, lazima tuwe na shaka na nabii wa Qur'an!
 
Katika mtume aliyepotosha umati hamna kama huyo mwarabu! Eti jua linazama kwenye matope? Si uwongo huo!
Hili limesjajibiwa,ukiridua kitu kilichojibiwa,ni kuonyesha kiwango kidogo cha elimu.
Aliyeona ni mtu aliyesimuliwa katika kisa,huyu mtu ndio aliona jua likizama kwenye tope.Na hii ni sayansi kuonyesha binadamu ana upeo wa mwisho kuona.
 
Tafsiri zenu zingine za Qur'an mmeandika tope. Wewe vipi wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…