Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

Vipimo 3 vibovu wadada tunavyotumia kupima upendo na usiriasi wa mwanaume

Mwanaume anayekupenda huwitaji kumuomba hela yeye mwenyewe atakuhudumia bila hata wewe kumuomba sijui kwanini hili mademu wengi hawalijui
Atajiongeza. Lkn Kuna wengine anakupenda vizuri tu, Ila hawez kujiongeza.
 
I kid u not my dear....mwanamke ninayempenda nitamfanyia shopping suprise za bure kumtumia hela without no reason...yaani unataka awe na furaha tuu
Safii, endelea na moyo huo huo. [emoji13]
 
Nadhani kuna vitu vingi dada zetu hawajui au wanajua ila wanasukumwa na tamaa.

Mfano;
1. Mwanamke anapoanza kuomba omba hela, sisi wanaume automatically tunamuweka kwenye "category" fulani, tuiite category A. Kwahiyo kuanzia hapo hatumchukulii tena serious tunajua huyu ni walewale. Tunachofanya ni kuweka kiwango ambacho hata alie shida vipi hatutoi zaidi ya hiyo au hatutoi kabisa.

2.Mwanamke asipoanza kuomba omba hela, anajijengea heshima kubwa sana kwetu, na tunamuweka kwenye "category" nyingine kabisa, tuiite category B. Mwanamke wa kundi hili, siku akiomba hela lazima ifanyike juu chini hiyo hela apatiwe, maana tunajua atakua na shida genuine.

3. In the long run, mwanamke wa category B anaweza kuja kuvuna sio tu hela, bali na manufaa mengine mengi sana kwetu kuliko yule wa category A. Ukiona mwanamke anajengewa nyumba, ananunuliwa gari, anafunguliwa biashara nk ujue huyu sio wale wa kuomba omba elfu 10, 20, 50, vocha nk.
Hiii nimeipenda sana huu ushauri ni mzuri kama msichana unahitaji kuolewa ila kama hauhitaji kuolewa basi endelea kuwa omba omba wa pesa
 
Asipokuomba ww, wataka akamuombe nani ss[emoji3]. Hasa akiwa jobless
Kabla yangu mimi alikuwa anaishi vipi maana kabla yangu mimi alikuwa na maisha yake sasa asibadilishe maisha kwasababu kanipata asifanye hivyona pia kama atakiwa anategemea wanaume kwahiyo hawez huyo msichana hata siku moja kuwa single maana akiwa single atakosa wa kumuhudumia ushauri wangu unapoingia kwenye mahusiano usiwe tegemezi na usisahau maisha yako kabisa sio kwasababu umepata mwanaume then ndio unaanza mara chips ,mara kusuka
 
Kama hana hela na ana shida nayo?

Mwanamke anaejitambua haombi hela. Simple as that.
Hata kama anaomba hela inategemea yuko katika mazingira gani. Mwanamke mwenye kujielewa ana mikakati tayari ya kukabili changamoto zake ana mishe zake anafanya. Huyu akiomba kupigwa tafu sio swala na lazma ataomba hela ya kueleweka kufanyia swala lenye tija sio wale anaomba hela ili akasuke nywele fashion mpya na kununulia simu unaona kabisa huyu kichwa ni stoo ya meno na shamba la nywele
 
Haha, mkuu imagine unadate mdada hana kipato/ajira, akiwa na shida asikuombe?
Kuwa na kipato ni sign ya kwanza ya mtu ambaye kichwa chake kinafanya kazi vizuri hata kama ni hela kidogo ila kuwa na mfumo wa kujiingizia hela tu. Kama hana basi lazma akushirikishe katika hilo mapema ila sio eti umeomba namba mnawasiliana after certain hours anaanza baby nina njaa ntumie hela😀
 
Yes, umenena... Mwanaume akupe mwenyewe pesa. Lakini tukisema eti tutumie pesa kama kipimo Cha kuangalia kama anakupenda au lah mmh tutatembea na wengi. Na muda mwengine hata si kuwa masikini, Bali ni hulka tu ya baadhi ya wadada, kwmba akishakuwa na mwanaume basi ndiyo anaona matatizo yake yameisha hapa Duniani... Kuna msululu wa wanaume kwasbb ya kuwaomba pesa tu.

Na jamii nyengine, ukiwa na mwanamume ambaye hakupi kupi pesa, huwa wanauliza kabisa, ss kama mwanamume mwenyewe Hana msaada kwako wa kipesa, ww unakuwa nae wa nini????.
Wanawake aina hio wanakera sana yani. Mwanamke mzuri ni yule anayejitegemea hasa kiuchumi awe na akili tu ya kujitaftia kwa njia halali maana wengine anajitaftia kupitia umalaya na kudanga.

Inapendeza ambapo mwanamke anakuja kwako kama asset na sio liability. Mwanamke ana mipango yani ukikaa nae anaongea sensible matters unaona kabisa hiki kichwa kinafaa kwa matumizi ya muda mrefu.

Unakuta mwanamke anawaza wigi za jonijo na kunyoa nywele kwa cutting master, iphone macho matatu mipango yake mingi ni ya uharibifu wa hela tu sio wealth generation. Anaomba omba hela since day 1 yani hela ya pedi, vocha, kula, birthday hapa jua kabisa mtu hakuna. Honga umpige pumbu 1 time kisha alambe block kama hivi ndio vipimo vya upendo.
 
Hata kama anaomba hela inategemea yuko katika mazingira gani. Mwanamke mwenye kujielewa ana mikakati tayari ya kukabili changamoto zake ana mishe zake anafanya. Huyu akiomba kupigwa tafu sio swala na lazma ataomba hela ya kueleweka kufanyia swala lenye tija sio wale anaomba hela ili akasuke nywele fashion mpya na kununulia simu unaona kabisa huyu kichwa ni stoo ya meno na shamba la nywele
Upo sahihi kabisa mkuu. Mimi kuna mwanamke akiomba elfu 5 simpi maana najua ni ujinga tu, ila saa hiyo hiyo mwenzie akiomba laki natuma na ya kutolea.
 
(1) Kuomba pesa; Hiki ndiyo kipimo cha kwanza ambacho mabinti wengi wanakitumia, wanaamini mwanaume akikupa pesa basi anakupenda. Utasikia “Muombe pesa ujue kama yuko siriasi na wewe au la?”

Anaweza kukupa pesa kila siku na bado asiwe na mpango na wewe . Najua mwanaume mbahili anaboa, ila usimpime kwakua anakupa pesa, angalia namna anavyojali, kama angalau analipia chakula na nauli hana shida si lazima akupe pesa! Upendo wa kweli hautegemei pesa. Anaweza kutoa pesa, anapata mbunye na akakuacha anaenda kutafuta mwengine.

(2) Kumuambia mwanaume una mimba yake akakubali kulea; Hiki kimetengeneza single mother wengi, unakuta mwanaume alishakuambia umzalie, unamuambia kwanza unamimba ili kuona atafanyaje? Basi akiikubali unaona anakupenda unabeba kweli!

Dada iko hivi, mimba inakataliwa na miezi 6, anaweza kukubali mwanzo ili usitoe ila ukifikisha miezi 6 anajua hutoi anakuacha utalea mwenyewe anawaza kifikisha miaka 7 nakuja kuchukua mwanangu, hivyo hiki si kipimo kabisa.

Mwingine anaweza kukataa kwakua hajajipanga ila baadaye akafikiria na kuona mtoto Baraka akakubali, hivyo achana na kipimo hiki, kukubali au kukataa haina uhusiano na upendo. Au Ile unaona umekaa muda mrefu kwenye uchumba sugu ,basi unaona njia sahihi ni kubeba mimba Ili Huyo mwanaume akukubali mazima. Dada unapotea,acha kabisa mitego km hiyo, upelekea kumtesa mtoto mwisho wa siku.

(3) Mwanaume kujitambulisha kwenu au kukupeleka kwao; Hiki nacho ni cha hovyo kabisa, kuna wanaume ambao hawajali kujitambulisha hata kwa wanawake 20, wengine familia zao hata hazilali, Mama anapelekewa wanawake hata 10 na haulizi chochote tena unakuta anakuomba na pesa, hapo imekula kwako.

Epuka aibu ndogondogo za kutambulisha mwanaume halafu anakuacha, inakua uchumba sugu.

Tafuta kipimo kengine Cha kupimia upendo wa mwanaume, lakini si pesa, mimba Wala kutambulishwa kwao. Mwanaume akupendaye utaona tu upendo wake, hata ipite miezi 5, 6 Mpk 7. Hao wa hivyo vipimo wakimaliza tu shida zao ni ndukiiiii [emoji2091][emoji2091][emoji2091][emoji16], humuoni tena [emoji13][emoji57]
Mwanamke anayekupenda hawezi kuomba hela akiogopa kukupoteza ila na wewe mwanaume jiongeze unapoona hali sio nzuri kwa mpenzi wako
 
Mimi nimeshafeli ktk kipimo cha pesa.

Kabla sijakula mzigo nimepigwa kizinga cha Kodi miezi 6.

100k mara 6= 600,0000/.


Nimetumia mbinu zote za kibaharia nimle kabla sijalipia nimeshindwa.

Wanawake wanachojuwa wao pesa tu..
Ndy upendo.
Hakupendi huyo kimbia mpaka vumbi
 
Tukiwaomba papuchi wanajua haupo serious! Na sisi tukinyimwa tunajua Kuna mtu anapewa!.. hapo ndipo kinapoumanaga..[emoji23]

Ila hii dunia bila changamoto hatuendi!
Naaam[emoji28][emoji106]
 
Kabla yangu mimi alikuwa anaishi vipi maana kabla yangu mimi alikuwa na maisha yake sasa asibadilishe maisha kwasababu kanipata asifanye hivyona pia kama atakiwa anategemea wanaume kwahiyo hawez huyo msichana hata siku moja kuwa single maana akiwa single atakosa wa kumuhudumia ushauri wangu unapoingia kwenye mahusiano usiwe tegemezi na usisahau maisha yako kabisa sio kwasababu umepata mwanaume then ndio unaanza mara chips ,mara kusuka
Mwamba Umemjibu vizuri Sana bidada
 
Back
Top Bottom