kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Tukiwaomba papuchi wanajua haupo serious! Na sisi tukinyimwa tunajua Kuna mtu anapewa!.. hapo ndipo kinapoumanaga..[emoji23]
Ila hii dunia bila changamoto hatuendi!
Mzalamo og[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiwaomba papuchi wanajua haupo serious! Na sisi tukinyimwa tunajua Kuna mtu anapewa!.. hapo ndipo kinapoumanaga..[emoji23]
Ila hii dunia bila changamoto hatuendi!
MnyamweziMzalamo og[emoji16]
Mkuu umenifurahisha maana na mimi ndio principle ninayotumia siku hizi.Kwa sasa mi naangalia uzuri wa mtu kabla sijatoa hela yangu. Na pia unaliwa kwanza ndo hela inafata kama hutaki pita hivi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ehe tupe mbinu mkuu
kama ambavyo sisi hatujui kana tukiwaomba pesa mnaumiaSasa atajuaje kinachouma kwako ni kipi?
Mwanaume anayekupenda huwitaji kumuomba hela yeye mwenyewe atakuhudumia bila hata wewe kumuomba sijui kwanini hili mademu wengi hawalijui[emoji28][emoji28][emoji28] hehehe Kwa hiyo unataka kusema hiyo ndo dhambi kuu??.
Pesa haiumi,Ombaomba ndio wanakera!😅😅😅😅😅upendo ni kutoa kile kinachoumaaaa
Dah sasa jamani hawa wakawaida sii watakufa njaaa🤣🤣🤣🤣Mkuu umenifurahisha maana na mimi ndio principle ninayotumia siku hizi.
Kama demu ni mkali haswa, akianza kuomba omba hela nampa mpa, ila ntatumia mbinu zote za kijeshi nihakikishe namla haraka sana na ndio hanioni tena..!
Kama ni wa kawaida yani ata hiyo msg ya kuomba hela sijibu na mawasiliano ndio yameishia hapo.
Nadhani kuna vitu vingi dada zetu hawajui au wanajua ila wanasukumwa na tamaa.Mwanaume anayekupenda huwitaji kumuomba hela yeye mwenyewe atakuhudumia bila hata wewe kumuomba sijui kwanini hili mademu wengi hawalijui
Mwamba umeongea point kubwa natamani huu ujumbe wauoneNadhani kuna vitu vingi dada zetu hawajui au wanajua ila wanasukumwa na tamaa.
Mfano;
1. Mwanamke anapoanza kuomba omba hela, sisi wanaume automatically tunamuweka kwenye "category" fulani, tuiite category A. Kwahiyo kuanzia hapo hatumchukulii tena serious tunajua huyu ni walewale. Tunachofanya ni kuweka kiwango ambacho hata alie shida vipi hatutoi zaidi ya hiyo au hatutoi kabisa.
2.Mwanamke asipoanza kuomba omba hela, anajijengea heshima kubwa sana kwetu, na tunamuweka kwenye "category" nyingine kabisa, tuiite category B. Mwanamke wa kundi hili, siku akiomba hela lazima ifanyike juu chini hiyo hela apatiwe, maana tunajua atakua na shida genuine.
3. In the long run, mwanamke wa category B anaweza kuja kuvuna sio tu hela, bali na manufaa mengine mengi sana kwetu kuliko yule wa category A. Ukiona mwanamke anajengewa nyumba, ananunuliwa gari, anafunguliwa biashara nk ujue huyu sio wale wa kuomba omba elfu 10, 20, 50, vocha nk.
Hakuna anayependa, sema nyinyi waongo. Mtu anakuwa hajui kama ni mume wa mtu au mpenzi wa mtu.
Mmmh hii paragraph ya mwisho hiyo, nahisi Kuna kitu kimepunguaNadhani kuna vitu vingi dada zetu hawajui au wanajua ila wanasukumwa na tamaa.
Mfano;
1. Mwanamke anapoanza kuomba omba hela, sisi wanaume automatically tunamuweka kwenye "category" fulani, tuiite category A. Kwahiyo kuanzia hapo hatumchukulii tena serious tunajua huyu ni walewale. Tunachofanya ni kuweka kiwango ambacho hata alie shida vipi hatutoi zaidi ya hiyo au hatutoi kabisa.
2.Mwanamke asipoanza kuomba omba hela, anajijengea heshima kubwa sana kwetu, na tunamuweka kwenye "category" nyingine kabisa, tuiite category B. Mwanamke wa kundi hili, siku akiomba hela lazima ifanyike juu chini hiyo hela apatiwe, maana tunajua atakua na shida genuine.
3. In the long run, mwanamke wa category B anaweza kuja kuvuna sio tu hela, bali na manufaa mengine mengi sana kwetu kuliko yule wa category A. Ukiona mwanamke anajengewa nyumba, ananunuliwa gari, anafunguliwa biashara nk ujue huyu sio wale wa kuomba omba elfu 10, 20, 50, vocha nk.