Hapa umeongea nn sasa? Hivyo vyakula na nauli siyo pesa??kama angalau analipia chakula na nauli hana shida si lazima akupe pesa!
Kwani huwezi kumpenda mtu bila kuhusisha mali na pesa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umeongea nn sasa? Hivyo vyakula na nauli siyo pesa??kama angalau analipia chakula na nauli hana shida si lazima akupe pesa!
Haha, mkuu imagine unadate mdada hana kipato/ajira, akiwa na shida asikuombe?Mwanamke anaejitambua haombi hela. Simple as that.
Kama anaejitambua hawezi kuomba. Read between the lines.Haha, mkuu imagine unadate mdada hana kipato/ajira, akiwa na shida asikuombe?
Hakika kabisa..Muda mwengine huwa si kipimo. Ila huwa ni njia ya kukukimbiza... Anaweza Akala pesa zako na mbunye usipate vile vile.
Kumbe hii ni fekero ya Idd makengo[emoji23](1) Kuomba pesa; Hiki ndiyo kipimo cha kwanza ambacho mabinti wengi wanakitumia, wanaamini mwanaume akikupa pesa basi anakupenda. Utasikia “Muombe pesa ujue kama yuko siriasi na wewe au la?”
Anaweza kukupa pesa kila siku na bado asiwe na mpango na wewe . Najua mwanaume mbahili anaboa, ila usimpime kwakua anakupa pesa, angalia namna anavyojali, kama angalau analipia chakula na nauli hana shida si lazima akupe pesa! Upendo wa kweli hautegemei pesa. Anaweza kutoa pesa, anapata mbunye na akakuacha anaenda kutafuta mwengine.
(2) Kumuambia mwanaume una mimba yake akakubali kulea; Hiki kimetengeneza single mother wengi, unakuta mwanaume alishakuambia umzalie, unamuambia kwanza unamimba ili kuona atafanyaje? Basi akiikubali unaona anakupenda unabeba kweli!
Dada iko hivi, mimba inakataliwa na miezi 6, anaweza kukubali mwanzo ili usitoe ila ukifikisha miezi 6 anajua hutoi anakuacha utalea mwenyewe anawaza kifikisha miaka 7 nakuja kuchukua mwanangu, hivyo hiki si kipimo kabisa.
Mwingine anaweza kukataa kwakua hajajipanga ila baadaye akafikiria na kuona mtoto Baraka akakubali, hivyo achana na kipimo hiki, kukubali au kukataa haina uhusiano na upendo. Au Ile unaona umekaa muda mrefu kwenye uchumba sugu ,basi unaona njia sahihi ni kubeba mimba Ili Huyo mwanaume akukubali mazima. Dada unapotea,acha kabisa mitego km hiyo, upelekea kumtesa mtoto mwisho wa siku.
(3) Mwanaume kujitambulisha kwenu au kukupeleka kwao; Hiki nacho ni cha hovyo kabisa, kuna wanaume ambao hawajali kujitambulisha hata kwa wanawake 20, wengine familia zao hata hazilali, Mama anapelekewa wanawake hata 10 na haulizi chochote tena unakuta anakuomba na pesa, hapo imekula kwako.
Epuka aibu ndogondogo za kutambulisha mwanaume halafu anakuacha, inakua uchumba sugu.
Tafuta kipimo kengine Cha kupimia upendo wa mwanaume, lakini si pesa, mimba Wala kutambulishwa kwao. Mwanaume akupendaye utaona tu upendo wake, hata ipite miezi 5, 6 Mpk 7. Hao wa hivyo vipimo wakimaliza tu shida zao ni ndukiiiii [emoji2091][emoji2091][emoji2091][emoji16], humuoni tena [emoji13][emoji57]
Aiseeeeehhhhh!!!Mwanamke serious haombi hela. Ombaomba tu huwa na tabia ya kuomba.
[emoji3] eti wa kibongo, loohSasa hicho nikipimo kibovu, hata yule usio mpenda unampa pesa ili akurahisishie huduma zake kwa kumpa mapenzi fake ....utawasikia badaye mimi hapa ckupata pesa zako nilicho fuata ni wewe kwani pesa ni kitu gani? Hahaha tayari kashapiga mizinga ya kutosha....demu wa kibongo loh!!!!!
Nikuulize wewe unaweza kutoa bila kupenda[emoji16] Ila kwani ukipewa mbunye ndo dalili ya kupendwa??
Hehehe wanaume ni wajanja Sana nyinyi. M2 Mpk aje kugundua kuwa ni mume wa m2 Basi ni ameshaliwaKuna kipimo kingine cha hovyo huwa wanatumia eti kutaka kujua kama umeoa/una mtu mwingine.
Anakupigia usiku kuanzia saa 5 na kujiongelesha muda mrefu
noma sana mze wngu, na anaeza akakupa chap ukamwona mbn km cheche iv [emoji1][emoji1]Tukiwaomba papuchi wanajua haupo serious! Na sisi tukinyimwa tunajua Kuna mtu anapewa!.. hapo ndipo kinapoumanaga..[emoji23]
Ila hii dunia bila changamoto hatuendi!
Sasa mwanaume akikuoenda ataachaje kukupa pesa bwana...mwanaume asiekupenda hakupi hela bwana(1) Kuomba pesa; Hiki ndiyo kipimo cha kwanza ambacho mabinti wengi wanakitumia, wanaamini mwanaume akikupa pesa basi anakupenda. Utasikia “Muombe pesa ujue kama yuko siriasi na wewe au la?”
Anaweza kukupa pesa kila siku na bado asiwe na mpango na wewe . Najua mwanaume mbahili anaboa, ila usimpime kwakua anakupa pesa, angalia namna anavyojali, kama angalau analipia chakula na nauli hana shida si lazima akupe pesa! Upendo wa kweli hautegemei pesa. Anaweza kutoa pesa, anapata mbunye na akakuacha anaenda kutafuta mwengine.
(2) Kumuambia mwanaume una mimba yake akakubali kulea; Hiki kimetengeneza single mother wengi, unakuta mwanaume alishakuambia umzalie, unamuambia kwanza unamimba ili kuona atafanyaje? Basi akiikubali unaona anakupenda unabeba kweli!
Dada iko hivi, mimba inakataliwa na miezi 6, anaweza kukubali mwanzo ili usitoe ila ukifikisha miezi 6 anajua hutoi anakuacha utalea mwenyewe anawaza kifikisha miaka 7 nakuja kuchukua mwanangu, hivyo hiki si kipimo kabisa.
Mwingine anaweza kukataa kwakua hajajipanga ila baadaye akafikiria na kuona mtoto Baraka akakubali, hivyo achana na kipimo hiki, kukubali au kukataa haina uhusiano na upendo. Au Ile unaona umekaa muda mrefu kwenye uchumba sugu ,basi unaona njia sahihi ni kubeba mimba Ili Huyo mwanaume akukubali mazima. Dada unapotea,acha kabisa mitego km hiyo, upelekea kumtesa mtoto mwisho wa siku.
(3) Mwanaume kujitambulisha kwenu au kukupeleka kwao; Hiki nacho ni cha hovyo kabisa, kuna wanaume ambao hawajali kujitambulisha hata kwa wanawake 20, wengine familia zao hata hazilali, Mama anapelekewa wanawake hata 10 na haulizi chochote tena unakuta anakuomba na pesa, hapo imekula kwako.
Epuka aibu ndogondogo za kutambulisha mwanaume halafu anakuacha, inakua uchumba sugu.
Tafuta kipimo kengine Cha kupimia upendo wa mwanaume, lakini si pesa, mimba Wala kutambulishwa kwao. Mwanaume akupendaye utaona tu upendo wake, hata ipite miezi 5, 6 Mpk 7. Hao wa hivyo vipimo wakimaliza tu shida zao ni ndukiiiii [emoji2091][emoji2091][emoji2091][emoji16], humuoni tena [emoji13][emoji57]