Vipimo kumi vya Uanaume

Hawaelewekagi hawa hata ukiwa unajua kila kitu, ipo siku atakutana na asiejua kila kitu atavutiwa na asiejua kila kitušŸ˜‚
 
Blaza blaza nimesoma uzi wako blaza ila kwenye uvumilivu katika kunaniliuu hapo... kwani blaza vipi mfalme Suleiman, yeye hakuwa mwanaume? Maana alikuwanao ka buku mixer vimada, michepu na mazagazaga ka yote. Yeye alikuwa ni msosi, sala, mbupu daily. Afu fureshi, sir god hakumind wala nini.
 
Huyo sulemani hakumaliza vizuri,wanawake walimmaliza
 
Ba tamu ana vigezo vyote hivi, hasa no 5 ndo napompenda huwa tunabishana kwa hoja had mwenyewe nasema yess jamaa ninayee.

Ba tamu popote ulipo, tambaaaaaa. Wee ni mwanaumeee.
 
Hapo kwa namba mbili jiangalia Tena, Ricardo kaka aliachwq sababu hakuwahi kumcheat mkewe. Ukitaka mwanamke akuone una kasoro basi ni kuwa wake peke yake. Ndio mana mwanamke hata akukute kifuani kwa mchepuko atakusamee. You know why. Ila tuu isiwe too much
 
Daah, Ukiangalia mambo mengi yamekaa kumfurahisha zaidi mwanamke. Yaani unakomaa ili kumfanyia vitu vizuri mwanamke. Hata kwenye kumpiga mashine isipoenda vizuri unalaumiwa wewe
Jamaa amekosa sifa za kiume kabisa. Mwanaume anasifa moja tuu, nayo kuwa SELFISH.
Selfish kwa kila kitu, mfano
1. Atatamani kuwa na mke mzuri kuliko watu wote.
2. Atatamani kuwa na familia bora kuliko zote.
3. Atatamani kuheshimiwa kuliko watu wote, nk nk

Sema tuu michakato ndio inasababisha kukosa matamanio ya unselfish wa mwanaume. Ndio mana mwanaume ana hastle sana na kuibeba mizigo mikubwa ya familia.
 
Ba tamu ana vigezo vyote hivi, hasa no 5 ndo napompenda huwa tunabishana kwa hoja had mwenyewe nasema yess jamaa ninayee.

Ba tamu popote ulipo, tambaaaaaa. Wee ni mwanaumeee.
Ba tamu amepass no 5,Sina uhakika Kama no 2 atapindua😲
 
Wewe jamaa wewe M-ungu anakuona
 
6. Sex Transmutation

Wasomaji wa vitabu watakuwa wanaijua hii kitu. Mwanaume hutakiwi kuendekeza sana kile kitendo. Kuna wakati utakuwa mbali na mkeo, jifunze kuwa mvumilivu huo ndio Uanaume. Siku zote kumbuka kuwa "love is more than sex."
Kabla sijakupinga naomba unijibu hil8 swali. Unatumia kigezo gani kusema hap sex imeendekezwa?

Kiukweli katika bandiko point namba 2 na hii namba 6 zinanitia shaka hiyo ndoa yenu imefikaje miaka 10 kwa mentality kama namba 6.
 
Namba 2 inaniangusha, namba 9 nipo kwenye mchakato ila bado changa namba 10 bado sana, nashukuru Mungu namba zikizobaki ni kama nimezi master kwa zaidi ya asilimia 90.
 
Daah, Ukiangalia mambo mengi yamekaa kumfurahisha zaidi mwanamke. Yaani unakomaa ili kumfanyia vitu vizuri mwanamke. Hata kwenye kumpiga mashine isipoenda vizuri unalaumiwa wewe
Mr okw, ladies are bosses,hata adhabu ya kula kwa jasho haiwahusu,cheki kuli anabeba mizigo mizito akipata pesa yote inaishia kwa pisi kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…