cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
No 2 sijui kwa baadae, ila had muda huu amefuzu.Ba tamu amepass no 5,Sina uhakika Kama no 2 atapindua[emoji44]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No 2 sijui kwa baadae, ila had muda huu amefuzu.Ba tamu amepass no 5,Sina uhakika Kama no 2 atapindua[emoji44]
Umepita mulemule,hapo kwny urithi napo mtihani kweli,utakuta mtu ameacha watoto Saba na nyumba moja,hapo hajaacha urithi ameacha bomu💣soon litalipuka na familia itasambaratika.umeandika vema, ila kwa mtazamo wangu Baba ni yule anayesimama vema kwenye nafasi yake kama Kiongozi wa familia,
- Awe na uwezo wa kuona mbele(maono)
-Asiyeyumbishwa na jambo lolote(Msimamo)
- Mwenye kutimiza wajibu wake katika kutunza familia (muwajibikaji)
Bibilia inasema Baba mwema ni yule mwenye kuacha urithi kwa watoto wake
Na lazima tuelewe elimu sio urithi, unakuta mzazi amekazana "mwanangu sina cha kukirithisha bali nakurithisha Elimu soma kwa bidii" Elimu sio urithiUmepita mulemule,hapo kwny urithi napo mtihani kweli,utakuta mtu ameacha watoto Saba na nyumba moja,hapo hajaacha urithi ameacha bomu💣soon litalipuka na familia itasambaratika.
Hapo nimekugusa Afisa mizagamuoHuo ndio kweli...kidume lazima ujue kuchakata mbususu na uwe na uwezo wa kubadilisha mbususu anytime unayotaka
Huo ni ujanja waliotumia wazee wetu kukwepa hili jukumu zito la kuacha urithi sio kwa watoto tu Bali na kwa wajukuu pia,Kuna wkt yule tajiri manji alisema "Utajiri alionao ni urithi kutoka kwa babu yake,urithi wa baba yake bado hajaugusa!mimi babu yangu hakuna alichoniachia zaidi ya kijitabu cha ujamaa,blacks tuna mwendo mrefu kwny hii kitu.Na lazima tuelewe elimu sio urithi, unakuta mzazi amekazana "mwanangu sina cha kukirithisha bali nakurithisha Elimu soma kwa bidii" Elimu sio urithi
bora wewe babu umemkuta, mimi sijakuta hata kukuHuo ni ujanja waliotumia wazee wetu kukwepa hili jukumu zito la kuacha urithi sio kwa watoto tu Bali na kwa wajukuu pia,Kuna wkt yule tajiri manji alisema "Utajiri alionao ni urithi kutoka kwa babu yake,urithi wa baba yake bado hajaugusa!mimi babu yangu hakuna alichoniachia zaidi ya kijitabu cha ujamaa,blacks tuna mwendo mrefu kwny hii kitu.
Hongera zako. Kuna hawa wanawake wa uswazi hawa, ni pasua kichwa. Wanajua kila kitu. Ubaya ni kuwa asilimia kubwa ya wanavyojua ni ushauri kutoka kwa mashoga zao siku hizi kutoka social media.Umeandika vya msingi sana Mkuu, hasa namba 5 imenigusa zaidi na kiukweli mi napenda kujua mengi. Wakati wowote nitauliza lolote na napenda maelezo ya kina.
Jambo hili kwa waliooa wanaelewa kwamba,lipo mikononi mwa mke wakoWasomaji wa vitabu watakuwa wanaijua hii kitu. Mwanaume hutakiwi kuendekeza sana kile kitendo. Kuna wakati utakuwa mbali na mkeo, jifunze kuwa mvumilivu huo ndio Uanaume. Siku zote kumbuka kuwa "love is more than sex."
Mr utakuwa unapitia wkt mgum,naomba M-ngu akuvushe hapo, sometimes tunajifunza kutokana na makosa ila pia nikupongeze kuvuka vipimo 9 sio mchezo pia.Katika hivyo 10 mimi nimepungukiwa kimoja tu UAMINIFU. Hapa ninapoandika Nina mimba nimeitunga nje yani wife ameshajua. Nilijitahidi Kwa uaminifu miaka yote ila niliteleza Kwa hili. Maneno yamezagaa mtaani hadi wife ameyapata.
Hapa unapotea mdogo anguNi ngumu mkeo kuchakatwa kama wewe huchakati believe me!
Hilo la nne ,kuna wanawake wanapenda kupigwa,amini usiamini.Ukishindwa vyote,jitahidi ufuzu vile vinne vya mwanzo.
Sio kwel hata kidogoNina maanisha mtenda hutendwa
Kwenye mambo ya urithi nitapingana na wewe mpaka kesho. Nimebahatika kuishi hizi nchi za Scandinavia na nika-eperience mambo ya urithi kwa wenyeji.Huo ni ujanja waliotumia wazee wetu kukwepa hili jukumu zito la kuacha urithi sio kwa watoto tu Bali na kwa wajukuu pia,Kuna wkt yule tajiri manji alisema "Utajiri alionao ni urithi kutoka kwa babu yake,urithi wa baba yake bado hajaugusa!mimi babu yangu hakuna alichoniachia zaidi ya kijitabu cha ujamaa,blacks tuna mwendo mrefu kwny hii kitu.
Afadhal na wewe kama umeliona hilo. Huyu kijana wetu anaigizowa maisha. Kifupi mkewe ana akil sana kumzidi.Kabla sijakupinga naomba unijibu hil8 swali. Unatumia kigezo gani kusema hap sex imeendekezwa?
Kiukweli katika bandiko point namba 2 na hii namba 6 zinanitia shaka hiyo ndoa yenu imefikaje miaka 10 kwa mentality kama namba 6.
Hakika kijana wetu anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewenaona unakaribia kufa kwa msongo