Vipimo kumi vya Uanaume

Kabla sijakupinga naomba unijibu hil8 swali. Unatumia kigezo gani kusema hap sex imeendekezwa?

Kiukweli katika bandiko point namba 2 na hii namba 6 zinanitia shaka hiyo ndoa yenu imefikaje miaka 10 kwa mentality kama namba 6.
Kujua Kama unaendekeza au la ni suala binafsi ila some folks wanasema 2 times per wk is enough,boxer Mohammed ally aliwahi kusema "anakaa wiki 6 bila tendo Kama sehemu ya maandalizi ya pambano,hicho alichokuwa anafanya Mohammed ally ndio sex transmutation,ni vitu vinavyowezekana kabisa.
 
Kwa wanawake wa sasa wasio bikra haiwezekani. Watakusaliti
 
Umeandika vya msingi sana Mkuu, hasa namba 5 imenigusa zaidi na kiukweli mi napenda kujua mengi. Wakati wowote nitauliza lolote na napenda maelezo ya kina.
angalia hikinacho kwani wewe nimwanaume? toka kwenye uzi wetu chuchuwee
 
Mnahangaika tu !

Mwanamke akishafika safari yake utampa nini cha maana ili muendelee kusafiri pamoja!!?

Ukiona anakutii kwa kila kitu ujue bado hajafika safari yake!
 
naona unakaribia kufa kwa msongo
 
Man You Are Mad. Yan puchi unalala nayo unaamka nayo uichape mara mbili kwa wiki? Sasa hauna tofauti na mimi ambaye sipo kwenye ndoa na nina uhakika wa kuchakata kila wiki mara 2+ ila naamua kuivungia kwa sababu ya kazi. Hapo sijaendekeza ila najua nikiwa kwenye ndoa naweza kila siku kama siyo kila baada ya siku ya siku mbili.(my own experience)
 
Umeandika vya msingi sana Mkuu, hasa namba 5 imenigusa zaidi na kiukweli mi napenda kujua mengi. Wakati wowote nitauliza lolote na napenda maelezo ya kina.
We Nifah, kama hujui halafu unajifanya unaelezea, utaonyesha ni kwa kiasi gani hujui..!!
 
We Nifah, kama hujui halafu unajifanya unaelezea, utaonyesha ni kwa kiasi gani hujui..!!
Nami sio ‘mwepesi’ pia, huwezi kunidanganya. Hadi nafikia kuuliza ni kwamba najua ila nataka kujua zaidi.
 
Daah, Ukiangalia mambo mengi yamekaa kumfurahisha zaidi mwanamke. Yaani unakomaa ili kumfanyia vitu vizuri mwanamke. Hata kwenye kumpiga mashine isipoenda vizuri unalaumiwa wewe
Ndio hivyo mkubali tu maana hata wanawake mambo mengi wanayoambiwa wafanye kwenye mahusiano au ndoa ni kwa ajili ya kuwafurahisha wanaume tu
 
Huwezi ukafuzu kwa vyote hivyo hapo....
 
Nikwambie tu wanawake wa sasa kama hauwaelewi vizuri, wewe wafanyie yote watakusamehe ila kosa au cheating kwao ni mwanaume kutokuwa na hela. Hii kitu hawatakusamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…