DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Always people are there to hear the negative stuffs.
😁KID
😁KID
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkuu demu alikuwa kanona vizuri unaamua kupiga dry chama🤣🤣🤣🤣Kamwe usimuamini demu mzee mimi ni MUNGU tu ndio aliniokoa nikaanza pep mapema la sivyo ningekuwa nimeungwa kwenye gridi ya taifa
Sasa mbona unatuchanganya kwanza unatuambia ulijilinda then unasema umdhaniae ndiyo kumbe siyo...ebu tupe namba ya huyo unae hisi amekupa tuka test mitambo.Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...mbona nimejilinda so what happens my friend?
Vijana play safe mzaniae kumbe siye[emoji3578][emoji27]
Una ukimwi au una virusi vya ukimwi? Jifunze kwanza kuijua tofauti hii.Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...
Siku wakiyaelewa haya maelezo ndio itakuwa mwisho wa HIV/AIDS.Kinga za mwili zimeshuka
Pata mlo kamili, Fanya mazoezi, tibu kinachokusumbua then Pima tena uone kama hautasoma - hiv
New idea[emoji362]Kinga za mwili zimeshuka
Pata mlo kamili, Fanya mazoezi, tibu kinachokusumbua then Pima tena uone kama hautasoma - hiv