Vipimo vinaonesha nina UKIMWI

Vipimo vinaonesha nina UKIMWI

Huyu Jamaa (Magic Johnson)alitangazwa ana VVU tangu 1991.
magic johnson.png
 
Vipi mkuu demu alikuwa kanona vizuri unaamua kupiga dry chama🤣🤣🤣🤣

Ila jamani watu wanawezaje kutombaz na condom?
Hajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aisee
 
Hajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aisee
Duh balaaa....anyways wengeni sie tulishazoea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapana
 
Duh balaaa....anyways wengeni sie tulishaziea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapana
Ndomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata moto
 
Ukitaka kuuelewa ukimwi, angalia covid 19,
Yote ni magonjwa ya virus,,, covid wengine inawaua, wengine wanaugua sana wanapona, wengine wanaugua kidogo wanapona,, wengine wanapata dalili mild, na haisumbui,, wengine wanaugua lakini hawaonyeshi dalili,,
So hata hiv ni hivyo hivyo,, mwanzo wakati inaingia ilikua inaua within six month,, sasa watu wanaishi miaka hata 50,,
Na kuna wengine hiv sio ishu, atapata virus, lakini haugui,, hawa zamani waliitwa, Carrier..
Binafsi sijawahi pima hiv,,, lakini nikipima nikawa positive,, siwezi kuanza kula yale madawa
 
Ndomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata moto
Wacha uwoga wewe kula mbususu. Kama hujafa na ngoma utakufa na korona
 
Hajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aisee
Ulikuwa unamwagia ndani au nje? Je, ulikuwa unamuandaa? Game ilikuwa rough?
 
Ndomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata moto
Sio wote wenye stress mkuu. Dawa ni hii, ikigundulika unao, usitumie midawa yao. Acha kabisa kuwa na stress na ule lishe bora, na mazoezi kwa wingi.
 
Ukitaka kuuelewa ukimwi, angalia covid 19,
Yote ni magonjwa ya virus,,, covid wengine inawaua, wengine wanaugua sana wanapona, wengine wanaugua kidogo wanapona,, wengine wanapata dalili mild, na haisumbui,, wengine wanaugua lakini hawaonyeshi dalili,,
So hata hiv ni hivyo hivyo,, mwanzo wakati inaingia ilikua inaua within six month,, sasa watu wanaishi miaka hata 50,,
Na kuna wengine hiv sio ishu, atapata virus, lakini haugui,, hawa zamani waliitwa, Carrier..
Binafsi sijawahi pima hiv,,, lakini nikipima nikawa positive,, siwezi kuanza kula yale madawa
Yale ni hatari kuliko sio HIV
 
Kama kwenye zahanati ndg yangu Kijiji kizima watakua washajua uleule muda
 
Ukitaka kuuelewa ukimwi, angalia covid 19,
Yote ni magonjwa ya virus,,, covid wengine inawaua, wengine wanaugua sana wanapona, wengine wanaugua kidogo wanapona,, wengine wanapata dalili mild, na haisumbui,, wengine wanaugua lakini hawaonyeshi dalili,,
So hata hiv ni hivyo hivyo,, mwanzo wakati inaingia ilikua inaua within six month,, sasa watu wanaishi miaka hata 50,,
Na kuna wengine hiv sio ishu, atapata virus, lakini haugui,, hawa zamani waliitwa, Carrier..
Binafsi sijawahi pima hiv,,, lakini nikipima nikawa positive,, siwezi kuanza kula yale madawa
Kwamba wengine wanaishi miaka 50 acha uongo ndugu yangu,huu ugonjwa hauna hata miaka 40 walioupata miaka ya 80 walishakufa wote maana dawa hazikuwepo.sasa hiyo miaka hamsini umeitoa wapi
 
Chai yaani tarehe 1 June ulitangaza kupata kazi na unatafuta mchumba Leo umekanyag miwayaa.


 
Back
Top Bottom