Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Asisambaze sana! Means asambaze kidogo [emoji28]Ukimwi si tishio tena kwa sasa. Muhimu ishi kufuata ushauri utakaopewa. Pia jitahidi uwalinde na wengine, usisambaze sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asisambaze sana! Means asambaze kidogo [emoji28]Ukimwi si tishio tena kwa sasa. Muhimu ishi kufuata ushauri utakaopewa. Pia jitahidi uwalinde na wengine, usisambaze sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....!Kwanini ulipima?! Ona sasa.
]
Hajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aiseeVipi mkuu demu alikuwa kanona vizuri unaamua kupiga dry chama🤣🤣🤣🤣
Ila jamani watu wanawezaje kutombaz na condom?
Duh balaaa....anyways wengeni sie tulishazoea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapanaHajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aisee
Ndomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata motoDuh balaaa....anyways wengeni sie tulishaziea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapana
Wacha uwoga wewe kula mbususu. Kama hujafa na ngoma utakufa na koronaNdomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata moto
Ulikuwa unamwagia ndani au nje? Je, ulikuwa unamuandaa? Game ilikuwa rough?Hajanona wala nini yani ni wa kawaida sana.. ndomu mi siwezagi kutumia so nilivyopiga kesho nikamlazimisha tukapime maana roho ilikuwa haina amani kabisa kwenda mzee kitu kikasoma positive kwake yani niliishiwa kabisa pozi demu akasema alitaka aniambukize maksudi ili wote tuwe sawa then niishi nae basi pep ndio zilinisaidia aisee
Mzabzab ukija Dar tuonane ndugu yangu.Duh balaaa....anyways wengeni sie tulishaziea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapana
Sio wote wenye stress mkuu. Dawa ni hii, ikigundulika unao, usitumie midawa yao. Acha kabisa kuwa na stress na ule lishe bora, na mazoezi kwa wingi.Ndomu muhimu sana mzee baba najua ladha inapungua lakini kama hutaki kutumia bora umpime tu ile kitu isikie tu ikikupata bwana stress zake unaweza kata moto
Yale ni hatari kuliko sio HIVUkitaka kuuelewa ukimwi, angalia covid 19,
Yote ni magonjwa ya virus,,, covid wengine inawaua, wengine wanaugua sana wanapona, wengine wanaugua kidogo wanapona,, wengine wanapata dalili mild, na haisumbui,, wengine wanaugua lakini hawaonyeshi dalili,,
So hata hiv ni hivyo hivyo,, mwanzo wakati inaingia ilikua inaua within six month,, sasa watu wanaishi miaka hata 50,,
Na kuna wengine hiv sio ishu, atapata virus, lakini haugui,, hawa zamani waliitwa, Carrier..
Binafsi sijawahi pima hiv,,, lakini nikipima nikawa positive,, siwezi kuanza kula yale madawa
Mukide mzeya wala usijali nasubiri siku sgr itakapo kiwa tayari nitakuja ila naona kila leo wanapiga calenda tuu🤣🤣🤣🤣Mzabzab ukija Dar tuonane ndugu yangu.
Kwamba wengine wanaishi miaka 50 acha uongo ndugu yangu,huu ugonjwa hauna hata miaka 40 walioupata miaka ya 80 walishakufa wote maana dawa hazikuwepo.sasa hiyo miaka hamsini umeitoa wapiUkitaka kuuelewa ukimwi, angalia covid 19,
Yote ni magonjwa ya virus,,, covid wengine inawaua, wengine wanaugua sana wanapona, wengine wanaugua kidogo wanapona,, wengine wanapata dalili mild, na haisumbui,, wengine wanaugua lakini hawaonyeshi dalili,,
So hata hiv ni hivyo hivyo,, mwanzo wakati inaingia ilikua inaua within six month,, sasa watu wanaishi miaka hata 50,,
Na kuna wengine hiv sio ishu, atapata virus, lakini haugui,, hawa zamani waliitwa, Carrier..
Binafsi sijawahi pima hiv,,, lakini nikipima nikawa positive,, siwezi kuanza kula yale madawa
Nje na sinaga time ya kuandaa sana, haikuwa rough sanaUlikuwa unamwagia ndani au nje? Je, ulikuwa unamuandaa? Game ilikuwa rough?
Trust me bro hayo huwa maneno ya kujifariji tu, ila ile kitu ikishaingia hayo madawa utayatafuta mwenyewe tu so kama unaweza kujikinga we jikinge mkuu.Ulikuwa unamwagia ndani au nje? Je, ulikuwa unamuandaa? Game ilikuwa rough?