Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula vizuri, pata muda wa kupumzika, acha uasherati, anza kunywa vidonge vya kusogeza siku na mwisho andika wosia - kama tutasafirisha ama lah.Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...mbona nimejilinda so what happens my friend?
Vijana play safe mzaniae kumbe siye✍️😰
Huenda ni sababu ya kutopata. Wanasema vaginal fluids ina contain HIV kwa asilimia ndogo sana kulinganisha na shahawa na damu. Na je, zaidi ya mara ngapi umeshiriki naye?Nje na sinaga time ya kuandaa sana, haikuwa rough sana
Maneno yapi hayo ya kujifariji?Trust me bro hayo huwa maneno ya kujifariji tu,, ila ile kitu ikishaingia hayo madawa utayatafuta mwenyewe tu so kama unaweza kujikinga we jikinge mkuu
Duuuh!Bora wewe umepima mimi nimetembea na lisister flani hivi juzi hata silielewi ila lilikuwa lichombo hasa, kinachoniuma nilienda mpaka Uvinza kuchukua chumvi halafu nikala mzigo bila pep.
Sio kwamba ndio ajikinge zaidiSasa unaweza kula mbussu kwa raha zote🤣🤣🤣🤣🤣
Ili iwaje? Hapo sasa ni kuzisasambua mbususu tuu hamna cha kuogopa maana u already dead man walkingSio kwamba ndio ajikinge zaidi
So vijana waoe siyo?Hayo ndo malipo ya hapa hapa duniani jiandae kufa tu punguzeni uzinzi wengi Wana ngoma
Mungu ni wa msamaha na Rehema kwa kila ajutaye makosa yake, kila mmoja hukosea. Mhukumu wa kweli ni Mungu pekee, tuwe makini jamani...Hayo ndo malipo ya hapa hapa duniani jiandae kufa tu punguzeni uzinzi wengi Wana ngoma
Ushawahi kuipata?HIV sio issue, isikufanye ukose raha.Zingatia tu ushauri wa wataalam wa afya
Pole Mzee UKIMWI Sio mwisho wa maisha bado unanafasi nyingine ya kuishiIt pain I'm ready to confesses.
Ndo kashahukumiwa aya aombe msamaha awe negativeMungu ni wa msamaha na Rehema kwa kila ajutaye makosa yake, kila mmoja hukosea. Mhukumu wa kweli ni Mungu pekee, tuwe makini jamani...
Ingetokea gafla uwe negative, ungeendelea kupiga kavu?Wacha uwoga wewe kula mbususu. Kama hujafa na ngoma utakufa na korona
Mimi napiga kavu mambo ya kupiga bao kwenye condom kwangu mie ni kupiga nyeto tuuIngetokea gafla uwe negative, ungeendelea kupiga kavu?