Vipimo vinaonesha nina UKIMWI

Vipimo vinaonesha nina UKIMWI

Nimecheka kama mazuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningekuwa ndo mimi basi vyupi vingevuliwa sana hapa kitaa[emoji41][emoji41][emoji41]
🤣🤣🤣🤣Sasa mzee ulishaukwaa kuna nini tena cha kuogopa wee hapo ni kuzila mbususu tuu, yenye tako iso na tako wee pelekea moto tuu
 
Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV

Inaumiza sana...mbona nimejilinda?

Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye✍️😰
KAPIME TENA SEHEMU NYINGINE
 
Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV

Inaumiza sana...mbona nimejilinda?

Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye[emoji3578][emoji27]
Mkuu......pole sana.....Nakushauri kula vizuri tumia dawa za asili hakikisha kila kitu kinakaa sawa then kapime tena utakuja nishukuru
 
Ukimw sio mpka kwenye kusex tu jaman uko masalun anamaliza kunyoa mtu naww unatega kichwa wanafuya fuya mashine na kuanza kumyoa mwingne ujapata apo ishu n kumwomba Mungu tu ulinz wake na kutuepusha na janga hil
 
Wakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV

Inaumiza sana...mbona nimejilinda?

Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye✍️😰
Pole sana Ndugu
 
Kwa jinsi nilivyokua muuza mechi niliamini kabisa nimeshanasa kwa hiyo nikaendelea tu kutomba kavu huku nikijua nimenasa

Kuna siku roho wa Mungu akanishukia kama mwewe nikapima nikakuta negative nikasubiri kama miez mi nne pima tena negative basi hata hamu ya papuchi sina tena na kila demu namuona kama ana umeme
 
Back
Top Bottom