Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 2,278
- 3,960
Tuache kudanganyana kwamba asile ARV.Sio wote wenye stress mkuu. Dawa ni hii, ikigundulika unao, usitumie midawa yao. Acha kabisa kuwa na stress na ule lishe bora, na mazoezi kwa wingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache kudanganyana kwamba asile ARV.Sio wote wenye stress mkuu. Dawa ni hii, ikigundulika unao, usitumie midawa yao. Acha kabisa kuwa na stress na ule lishe bora, na mazoezi kwa wingi.
Wewe ndiye unadanganya. Ubaya ni kuwa ukianza kula huwezi acha.tuache kudanganyana kwamba asile ARV.
🤣🤣🤣🤣Sasa mzee ulishaukwaa kuna nini tena cha kuogopa wee hapo ni kuzila mbususu tuu, yenye tako iso na tako wee pelekea moto tuuNimecheka kama mazuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ningekuwa ndo mimi basi vyupi vingevuliwa sana hapa kitaa[emoji41][emoji41][emoji41]
KAPIME TENA SEHEMU NYINGINEWakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...mbona nimejilinda?
Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye✍️😰
Na wala hatumii ARV[emoji23][emoji1787][emoji1787]Huyu Jamaa (Magic Johnson)alitangazwa ana VVU tangu 1991.
View attachment 2251976
Mkuu......pole sana.....Nakushauri kula vizuri tumia dawa za asili hakikisha kila kitu kinakaa sawa then kapime tena utakuja nishukuruWakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...mbona nimejilinda?
Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye[emoji3578][emoji27]
We si ulimwambia King Kong III kuwa hutumii njugu na hujawahi Tumia huu mwaka wa 16 au umesahau?Duh balaaa....anyways wengeni sie tulishazoea kubugia njugu na maisha yanaenda ila mambo ya kutomber na condom kwa kweli mie hapana
Wewe ilishawahi kukutokea au unashauri wenzio pasipo na ushuhudaMkuu......pole sana.....Nakushauri kula vizuri tumia dawa za asili hakikisha kila kitu kinakaa sawa then kapime tena utakuja nishukuru
Duh umefika mbali sana aiseeIli iwaje? Hapo sasa ni kuzisasambua mbususu tuu hamna cha kuogopa maana u already dead man walking
Mbali kaburini ulienda hurudiDuh umefika mbali sana aisee
We si ulimwambia King Kong III kuwa hutumii njugu na hujawahi Tumia huu mwaka wa 16 au umesahau?
Everyone should play safe do not mess up ur life for single moment pussy
Pole sana NduguWakuu Now early in the morning nimepima hapa zahanati moja toka Wilaya ya X na kukutwa nina HIV
Inaumiza sana...mbona nimejilinda?
Vijana play safe mdhaniaye ndiye kumbe siye✍️😰