cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio jamani, hata movie kama ilishawahi igizwa nikaicheck
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio jamani, hata movie kama ilishawahi igizwa nikaicheck
DuhPicha Ni Haram kwenye uislam
Abdullaah ibn Mas'ood (may Allaah be pleased with him) reported that the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) said: "Those who will be most severely punished by Allaah on the Day of Resurrection will be the image-makers." (Reported by al-Bukhaari, see al-Fath, 10/382).
Hatuko tofauti nawe ila hapa naomba kujua kama ni kitu kimoja unajua nini Mungu ni hiyo energy iliyo na personality fulani [mind you sio person wala human ila ni personality] yenye malengo na sababu mbalimbali. Wanasayansi na wanadini wanachotofautiana ni kwenye hilo suala la je hiyo energy iko na akili au ni fujofujo tu inafanya?
Wewe unasemaje?
Kwanza napata mashaka na unavyoelewa maana ya kuzama kwenye matope . Unaelewa jua lipo wapi ? Na je uko liliopo papoje? Unaelewa nini maana ya anga ? Unaelewa nia maana ya machweo na mawio ? Unaelewa nini maana ya ulimwengu ? Unaelewa nini maana ya matope? Unaelewa nini maana ya nyota? Unaelewa ni kiasi gani jua Lina ukubwa? Unaelewa nini maana ya dunia kulizunguka jua? Unaelewa nini maana ya dunia kujizungusha kwenye mhimili wake? Unauelewa wowote angalau kidogo kuhusu astrophysics,astrochemistry, astrobiology na astrogeology au astronomy kwa ujumla ?Kwanza sayansi haiamini Kuwa energy cannot be created or destroyed hiyo Ni sayansi ya Zamani Enzi Za kina Galileo.
Pili Niambie mapungufu ya Evolution theory.
Tatum Hakuna wa kukosoa Neno la Mungu (Quran) kwakuwa Mungu Hana mapungufu.
Hata Akisema Jua linazama kwenye matope (Quran 18:86) yuko sahihi
Mkuu Mimi ninamjua astronomy mpaka mke wangu anaona wivu . .Kwanza napata mashaka na unavyoelewa maana ya kuzama kwenye matope . Unaelewa jua lipo wapi ? Na je uko liliopo papoje? Unaelewa nini maana ya anga ? Unaelewa nia maana ya machweo na mawio ? Unaelewa nini maana ya ulimwengu ? Unaelewa nini maana ya matope? Unaelewa nini maana ya nyota? Unaelewa ni kiasi gani jua Lina ukubwa? Unaelewa nini maana ya dunia kulizunguka jua? Unaelewa nini maana ya dunia kujizungusha kwenye mhimili wake? Unauelewa wowote angalau kidogo kuhusu astrophysics,astrochemistry, astrobiology na astrogeology au astronomy kwa ujumla ?
KWELI UNAAMINI KABISA KWA AKILI ZAKO TIMAMU JUA LINAZAMA KWENYE MATOPE?[emoji848]
Aya umeshinda siitaji kuendelea kubishana[emoji119][emoji16]Mkuu Mimi ninamjua astronomy mpaka mke wangu anaona wivu . .
Yani nikipiga picha Anga la nyota usiku Na nikapiga Tena baada ya miezi Sita Nina uwezo wa kucalculate umbali wa Hizo nyota Kwa parallax method Tu.
Ninaijua Astrophysics yote kuliko kiganja changu Yani kuanzia star formation,principles of Quantum Mechanics, orbital and stellar Dynamics and Structure of Galaxies, relativity,structure and Evolution of galaxies,cosmology,astrophysical Fluid Dynamics,galaxy dynamics,cosmic expansion,large scale structures,big bang theory,string theory nk. Nk.
take it from me .hili jua unaloliona linazama kwenye matope
Kama huamini ushahidi upo mwingi Tu hata wewe unaweza kuchunguza....Anza Na Quran 18:86
Kwanza, katika uislamu hukmu ya kupingwa mawe mpka kufa, ni kwa mzinifu aliyeoa, na ni kwa jinsia zote sio mwanamke peke yake.Kupiga mawe wanawake wanaozini mpaka kufa , jino kwa jino , upanga kwa upanga saa hizi Kuna mahakama unaweza kumfungulia mshitakiwa wako kesi kuliko kujichukulia sheria mkononi
Nikuambie kitu mkuu dini na sayansi hasijatofautiana Sana zimetofautiana sehemu ndogo Sana Ila inazifanya zionekane tofauti kiualisia dini na sayansi ni kazi ya mwanadamu mwenyewe baada ya uwepo wake hapa duniani baada ya kuanza kazi ya uchunguzi mbalimbali hapa duniani na kugundua Vitu vya kustaajabisha apa duniani ndio akaja na wazo la kusema kutakuwa Kuna kitu kilichofanya hivi vitu vya kustaajabisha viwepo hapa duniani ndipo akakipa jina MUNGU sayansi yenye ikasema hivi vitu visivyo na majawabu ya haraka hapa duniani uwepo wake unasababishwa na NATURE .DINI MNAMUUITA MUNGU ILA SAYANSI INAMUUITA NATURED NATURE .kwa sababu sayansi Ina amini “energy can not be created or destroyed but can transformed from one source to another”. Na hio energy ndio natured nature yenyewe Kwa hio utofauti wenu ni pale sayansi inapokubali kukosolewa kuhusu yule anaelezea nadhari yake isiyosahihi kuhusu nature mfano theory ya Big bang inakosolewa na Baadhi ya wanasayansi kwa sababu Kuna mahali haina usahihi , hivyo hivyo kwa theory ya evolution .je ni lini dini ilikubali kukosolewa kuhusu theory ya creation kwa binadamu alitokana na udongo wakati hakuna uasilia wowote hapo, Nani alikosoa kuhusu yesu kutembea juu ya maji, nani alikosoa kuhusu Mohammed kupasua mwezi katika Kati na
MWISHO NANI ALIKOSOA KUHUSU BIBLIA NA QURAN KUWA NI MANENO YA MUNGU. HUKU KUKIWA HAKUNA USHAHIDI WOWOTE WA MUNGU MWENYEWE KUSEMA KUWA NI MANENO YAKE .
WOTE SAYANSI NA DINI MNAMCHUNGUZA MUNGU KATIKA NJIA TOFAUTI MWISHO WA SIKU HAKUNA MAJIBU SAHIHI MTAKAYO PATA .MUNGU HACHUNGUZIKI
Uzuri madai yenu huwa hayabadiliki, tangu Quran imeteremshwa miaka 1400 iliyopita hoja ni zilezile.Hakuna dini iliyotoka kwa Mungu hayo ni mahaba niuwe ya Baadhi ya watu tu dini zote ni kazi ya mikono na fikra za mwanadamu yeye mwenyewe kwa sababu kazi za fasihi zote za dini zimeandaliwa na mwanadamu mwenyewe hapa hapa duniani
Mitaala ya sekondari,, au hata ya msingi piaNikasome wapi?
Yah ! right [emoji106]Dini zinajengwa juu ya msingi wa imani. Sayansi inajengwa juu ya msingi wa "facts".
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mambo hayo mawili.
Kwa hiyo kabla ya 1400 kulikuwa hakuna MUNGU NA WATU PIA HAWAKUWEPO[emoji848]Uzuri madai yenu huwa hayabadiliki, tangu Quran imeteremshwa miaka 1400 iliyopita hoja ni zilezile.
Allah subhaanahu wataa'la- anasema katika Quran (25:4-6):-
4."Na wamesema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uzushi alio uzua, na wamemsaidia kwa haya watu wengine! Hakika hawa wamekuja na dhulma na uwongo".(25:4)
5."Na wakasema: Hivi ni visa vya watu wa kale alivyo viandikisha, anavyo somewa asubuhi na jioni."
6."Sema: Ameyateremsha haya ajuaye siri za katika mbingu na ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu."
Kwani Zaburi, Taurati na Injili ziliteremshwa kabla au baada ya Quran?Kwa hiyo kabla ya 1400 kulikuwa hakuna MUNGU NA WATU PIA HAWAKUWEPO[emoji848]
Sijajua na wao wakristo vitabu vyao vilitelemshwa lini maana nyie waislam ni miaka 1400A.D .wao wakristo sijui itakuwa lini?[emoji848] Au vyao havikutelemshwa nini?[emoji848]Kwani Zaburi, Taurati na Injili ziliteremshwa kabla au baada ya Quran?
Hii ndio kazi ya POWERFUL ENERGY AU NATURED NATURE AU MUNGU [emoji116]Hatuko tofauti nawe ila hapa naomba kujua kama ni kitu kimoja unajua nini Mungu ni hiyo energy iliyo na personality fulani [mind you sio person wala human ila ni personality] yenye malengo na sababu mbalimbali. Wanasayansi na wanadini wanachotofautiana ni kwenye hilo suala la je hiyo energy iko na akili au ni fujofujo tu inafanya?
Wewe unasemaje?
Yas dini zilizo nyingi huwa ni mistari miwili mitatu tu. Hiyo ndiyo diniHii ndio kazi ya POWERFUL ENERGY AU NATURED NATURE AU MUNGU [emoji116]
View attachment 2215794
Na sio kuamrisha watu kwamba mwizi akiiba akwate mikono,mwamke mzinifu apigwe mawe mpaka kufa, wayaudi wauwe watu wote kote wanapopita mpaka watakapofika pale wao wanapopaita inchi ya ahadi na hapo pia wauwe kila kitu mpaka wachukue ardhi yao,usile nguruwe kwamba ni najisi hii zote si kazi ya NATURED NATURE AU POWERFUL ENERGY AU MUNGU BALI NI KAZI ZA MIKONO YA MWANADAMU MWENYE KAMA ILIVYO TU KATIBA (Mfano katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo imepitwa muda wake na inahitaji marekebisho hivyo ata katiba za dini Biblia, Quran nazo pia zinahitaji marekebisho.
Kwenye kila nyota Kunapatikana sayari na kwenye galaxy Kunapatikana nyota na kwenye universe kunapatikana galaxyHii ndio kazi ya POWERFUL ENERGY AU NATURED NATURE AU MUNGU [emoji116]
View attachment 2215794
Na sio kuamrisha watu kwamba mwizi akiiba akwate mikono,mwamke mzinifu apigwe mawe mpaka kufa, wayaudi wauwe watu wote kote wanapopita mpaka watakapofika pale wao wanapopaita inchi ya ahadi na hapo pia wauwe kila kitu mpaka wachukue ardhi yao,usile nguruwe kwamba ni najisi hii zote si kazi ya NATURED NATURE AU POWERFUL ENERGY AU MUNGU BALI NI KAZI ZA MIKONO YA MWANADAMU MWENYE KAMA ILIVYO TU KATIBA (Mfano katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo imepitwa muda wake na inahitaji marekebisho hivyo ata katiba za dini Biblia, Quran nazo pia zinahitaji marekebisho.
[emoji23]Havifutwi. Amua unachotaka