Vipindi vya dini katika shule za msingi na Sekondari za Serikali vifutwe


Kizazi cha ibilisi alie laaniwa
 
Sijasema dini ifutwe katika taifa, nimesema vipindi vya dini viondolewe katika shule za serikali. Mbona hakuna vipindi vya dini katika ofisi nyingine za serikali na tunaishi vizuri tu.
Vipindi vya dini mashuleni vinakukwaza nini wewe?

Umeshupalia tu vifutwe vifutwe! ili iweje?

We MCHAWI nini?
 
Maadili mazuri uanzia utotoni.
ni vizuri watoto wakamjua mungu tangu wakiwa wadogo.
Na mashuleni NI SEHEMU sahihi ya kumjua mungu.
Sijasema dini ifutwe katika taifa, nimesema vipindi vya dini viondolewe katika shule za serikali. Mbona hakuna vipindi vya dini katika ofisi nyingine za serikali na tunaishi vizuri tu.
 
Hivi kwa nini serikali haiwapi fursa waganga wa kienyeji pia kutoa elimu yao mashuleni?
Inabidi na wao wadai vipindi vyao mashuleni.
Vipindi vya dini mashuleni vinakukwaza nini wewe?

Umeshupalia tu vifutwe vifutwe! ili iweje?

We MCHAWI nini?
 
Hivi kwa nini serikali haiwapi fursa waganga wa kienyeji pia kutoa elimu yao mashuleni?
Inabidi na wao wadai vipindi vyao mashuleni.
Shetani hawezi kupewa fursa yoyote.

Kama unapenda sana uchawi kawafundishe mama zako huko!

Eboo!
 
Sayansi inavyozidi ku expand, taratibu tu uzito wa haya masomo ya dini yanazidi kupungua

Vipindi vya dini miaka ya nyuma ni tofauti na sasa, sio tu shuleni hata makanisani. Na ndio maana unakuta mchungaji anahubiri kuhusu udangaji kanisani, au siasa kwa maana ndizo mada ambazo anaweza kushawishi watu wamsikilize kuliko habari za mungu

Ni system moja ya kiupigaji hivi iliyozalisha wapambanaji waliopewa jina la watumishi wa mungu ila mimi nawaita wajasiliamali maana wengi wana products zao kabisa wamezi brand mafuta ya upako, maji nk.
 
Mojawapo wa faida za vipindi vya dini katika shule za msingi na sekondari ni kuwajengea utamaduni wa kutambua na kuvumilia itikadi za dini/imani zingine. Ndiyo maana tunaweza kuwa na staha dhidi ya imani ya mwingine.
 
Naona apo kwenye mapenzi no reference ya uzi wetu uleee
 
Freedom of Religions, as long as hakuna mwanafunzi anatakaye lazimishwa kuhudhuria kipindi cha dini....
Na kwa wanafunzi ambao hawato hudhuria kipindi chochote cha Dini wawe na kipindi chao husika
 
Shule zote nilizosoma ilikuwa ni lazima kuhudhuria vipindi vya dini, na viranja walikuwa wanawawinda wanafunzi waliokuwa hawaendi kwenye hivyo vipindi. Pia walimu walikuwa wanacharaza sana bakora wakikuta nje ya kipindi wakati wenzako wakiwa wanaendelea na kipindi.

Kwa wanafunzi wasiotaka kwenda kwenye hivyo vipindi waachwe wajisomee au wakacheze uwanjani.
Freedom of Religions, as long as hakuna mwanafunzi anatakaye lazimishwa kuhudhuria kipindi cha dini....
Na kwa wanafunzi ambao hawato hudhuria kipindi chochote cha Dini wawe na kipindi chao husika
 
Kwa hiyo watu ambao hawajasoma kabisa au wamesoma shule zenye wanafunzi wa dini moja tu hawana staha wala hawawezi kuvumilia dini nyingine?
Mojawapo wa faida za vipindi vya dini katika shule za msingi na sekondari ni kuwajengea utamaduni wa kutambua na kuvumilia itikadi za dini/imani zingine. Ndiyo maana tunaweza kuwa na staha dhidi ya imani ya mwingine.
 
Hizo ni sheria na lazima kuzifwata.
Huwezi jifanyia mambo unavyotaka wewe,
Ndiyo maana kuna kanuni na taratibu za shule,ukiona huwezi kuzifuata basi hama..
Siyo muda wa michezo wewe upo kulala,muda wa dini wewe unaenda kucheza,muda wa kusoma wewe uende kwenye dini.
Kila jambo lina wakati wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yoda toka uache skul ambapo vipindi vya dini vilikuwepo umekuwa huru na muda mwingi tuu umegundua nn cha maana ambacho wasoma bible na quruan hawajakigundua??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…