Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
- Thread starter
- #81
Muda wa kuendeleza vipaji vya mtu ni wakati akiwa bado mtoto, huo muda ukishapita sio rahisi tena kuviendeleza. Taifa letu linazalisha watu wengi wasio na ujuzi/ufundi/ubunifu wowote wa ziada zaidi ya masomo waliyokariri darasani.
Badala ya kuwajazia watoto mambo ya dini shuleni ungewekwa mpango wa kuwapa ujuzi wa nje ya masomo.
Badala ya kuwajazia watoto mambo ya dini shuleni ungewekwa mpango wa kuwapa ujuzi wa nje ya masomo.
Yoda toka uache skul ambapo vipindi vya dini vilikuwepo umekuwa huru na muda mwingi tuu umegundua nn cha maana ambacho wasoma bible na quruan hawajakigundua??