Vipindi vya dini katika shule za msingi na Sekondari za Serikali vifutwe

Vipindi vya dini katika shule za msingi na Sekondari za Serikali vifutwe

Nadhani tatizo sio la WATANZANIA tu Bali ni Afrika,Waarabu na jamii chache za Asia ya mbali . Wanaamini pasipo kuhoji na kujiridhisha na imani zao kidogo wazungu wako huru kukosoa hata dini ila Afrika , Waarabu, Baadhi ya jamii za Asia ya mbali ili Jambo kwao wanaamini ni dhambi kubwa sana kuichunguza dini[emoji16]
Ikiwa mtu ni muumini wa dini fulani inamaana ataisoma na kuijua vizuri.

Hivyo unamaana gani unaposema kuichunguza dini?

Na ikiwa mtu anaweza kuikosoa dini anayoiamini si ndio maana yake inakasoro? hivyo hana haja ya kuendelea kuiamini.

Kuhoji napo ikiwa unahoji kutaka kujua sawa, ila kama unahoji kwa kuona sheria fulani ya dini yake haipo sahihi si tunarudi palepale kwenye kukosoa?
 
Tunachukiana sababu tunaogopana, tunaogopana kwasababu hatujajuana
Hatujuani sababu tunatengana, dunia ni nzuri 'walimwengu hawana maana'- [natamani haka kakipande kamwisho kasingekuwepo] - Fid Q
 
Ikiwa mtu ni muumini wa dini fulani inamaana ataisoma na kuijua vizuri.

Hivyo unamaana gani unaposema kuichunguza dini?

Na ikiwa mtu anaweza kuikosoa dini anayoiamini si ndio maana yake inakasoro? hivyo hana haja ya kuendelea kuiamini.

Kuhoji napo ikiwa unahoji kutaka kujua sawa, ila kama unahoji kwa kuona sheria fulani ya dini yake haipo sahihi si tunarudi palepale kwenye kukosoa?
No asiache kuiamini, ila arekebishe hicho kilichokosewa tuende sawa
 
No asiache kuiamini, ila arekebishe hicho kilichokosewa tuende sawa
Yaani mtu aseme dini hii imetoka kwa Mungu ila hapa pamekosewa, naparekebisha.

Sasa hapo nani Mungu na nani kiumbe?

Nani aliyekamilika na nani mwenye mapungufu?

Nani aliyepatia na nani aliyekosea?

Nani mwenye elimu na nani mjinga?
 
Yaani mtu aseme dini hii imetoka kwa Mungu ila hapa pamekosewa, naparekebisha.

Sasa hapo nani Mungu na nani kiumbe?

Nani aliyekamilika na nani mwenye mapungufu?

Nani aliyepatia na nani aliyekosea?

Nani mwenye elimu na nani mjinga?
Unadhani hilohalipo hivyo mbona kujirekebisha kupo kwingi tu kwenye misahafu na biblia? Kitu ambacho hakitabadilika ni kuwa tu Mungu ni mmoja ila haya mengine ya kimaisha na kijamii yanabadilika vizuri tu ntatoa mfano;

Tulianza tupo free tunakunywa pombe na tunalewa na sio dhambi.
Tukakatazwa kunywa pombe kwa wanaoswalisha kwanza
Ilipoonekana wanaosali wanakuja wamelewa ndiyo ikakatazwa wote kulewa wakiendakuswali
Baadae ilipoonekana vipi ikakatazwa sasa jumlajumla! Je? hayo sio mabadiliko kulingana na hali? Ukweli upo uliosimama na upo huu tunaoushi. Huu tunaoushi tunaubadilisha kulingana na jambo litakaloleta afya kwa mtu na jamii kwa ujumla. Ndio maana manabii wakija huwa wanakuja kutuweka sawa tulipokuwa tunakosea.

Mungu amekamilika lakini wanadamu tunayo mapungufu ndiyo maana check and balance lazima ziendelee
 
Unadhani hilohalipo hivyo mbona kujirekebisha kupo kwingi tu kwenye misahafu na biblia? Kitu ambacho hakitabadilika ni kuwa tu Mungu ni mmoja ila haya mengine ya kimaisha na kijamii yanabadilika vizuri tu ntatoa mfano;

Tulianza tupo free tunakunywa pombe na tunalewa na sio dhambi.
Tukakatazwa kunywa pombe kwa wanaoswalisha kwanza
Ilipoonekana wanaosali wanakuja wamelewa ndiyo ikakatazwa wote kulewa wakiendakuswali
Baadae ilipoonekana vipi ikakatazwa sasa jumlajumla! Je? hayo sio mabadiliko kulingana na hali? Ukweli upo uliosimama na upo huu tunaoushi. Huu tunaoushi tunaubadilisha kulingana na jambo litakaloleta afya kwa mtu na jamii kwa ujumla. Ndio maana manabii wakija huwa wanakuja kutuweka sawa tulipokuwa tunakosea.

Mungu amekamilika lakini wanadamu tunayo mapungufu ndiyo maana check and balance lazima ziendelee
Huo mfano wako hayo mabadiliko ya sheria yalifanywa na Mwenyezimungu, pia tunaweza tusiseme ni mabadiliko maana jambo ni lilelile ila lilikatazwa kidogo kidogo.

Hebu nipe mfano wa jambo ambalo tunaweza kulirekebisha hivi sasa katika msahafu kulingana na hali ya sasa? au ambalo limebadilishwa?
 
Unadhani hilohalipo hivyo mbona kujirekebisha kupo kwingi tu kwenye misahafu na biblia? Kitu ambacho hakitabadilika ni kuwa tu Mungu ni mmoja ila haya mengine ya kimaisha na kijamii yanabadilika vizuri tu ntatoa mfano;

Tulianza tupo free tunakunywa pombe na tunalewa na sio dhambi.
Tukakatazwa kunywa pombe kwa wanaoswalisha kwanza
Ilipoonekana wanaosali wanakuja wamelewa ndiyo ikakatazwa wote kulewa wakiendakuswali
Baadae ilipoonekana vipi ikakatazwa sasa jumlajumla! Je? hayo sio mabadiliko kulingana na hali? Ukweli upo uliosimama na upo huu tunaoushi. Huu tunaoushi tunaubadilisha kulingana na jambo litakaloleta afya kwa mtu na jamii kwa ujumla. Ndio maana manabii wakija huwa wanakuja kutuweka sawa tulipokuwa tunakosea.

Mungu amekamilika lakini wanadamu tunayo mapungufu ndiyo maana check and balance lazima ziendelee
But sorry if you don't mind, unaweza kunambia wewe ni dini gani?
 
Huo mfano wako hayo mabadiliko ya sheria yalifanywa na Mwenyezimungu, pia tunaweza tusiseme ni mabadiliko maana jambo ni lilelile ila lilikatazwa kidogo kidogo.

Hebu nipe mfano wa jambo ambalo tunaweza kulirekebisha hivi sasa katika msahafu kulingana na hali ya sasa? au ambalo limebadilishwa?
Yaliyo kwenye msahafu bado sijayajua yote sijausoma bado. Labda ningekuwa nimefundishwa katika kipindi cha dini enzi hizo ninasoma ningekuwa na mengi zaidi ya kuchangia turekebishe kipi. Ngoja nisome kwanza🐣
 
i agree.. kwanza serikali haina dini, vipindi vya dini what for???? lol..Kama mwanao unataka ajifunze dini mfundishe wewe mwenyewe msi shift responsibilities....lol
 
But sorry if you don't mind, unaweza kunambia wewe ni dini gani?
😂😂😂😂 dini yangu nadhani ni hii hapa;
'we are of God and we live for mankind' sijui utashtuka? Ila ndo hivyo naamini hivyo. Ninayafuata mafundisho ya Yesu namna ya kuenenda na kujitahidi kutii amri ya Mungu

Hii hapa imani yangu
 
Kweli kabisa wenye dini wakajifunze huko kwenye vituo vyao..

Huwa na uliza siku wazee wa kimila nao wakiamua kuwa na vipindi shuleni je serikali itawaruhusu.?

Au ndio unafiki tu umewajaa hawa viongozi.

#MaendeleoHayanaChama
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dini yangu nadhani ni hii hapa;
'we are of God and we live for mankind' sijui utashtuka? Ila ndo hivyo naamini hivyo.
[emoji23]Hapana wala sijashtuka.

Maana nimesema komenti zako, mawazo yako yapo kinyume kabisa na itikadi ya kiislamu, yaani kama mtu ni muislamu halafu akawa anaitikadi kama hizi zakwako basi anakuwa ametoka katika uislamu.

Hivyo nilitarajia jibu kama hili ili tufunge mjadala

Maana kwa asiye muislamu kuwa mitazamo hii ni Uhakika Bro [emoji23]
 
Nadhani tatizo sio la WATANZANIA tu Bali ni Afrika,Waarabu na jamii chache za Asia ya mbali . Wanaamini pasipo kuhoji na kujiridhisha na imani zao kidogo wazungu wako huru kukosoa hata dini ila Afrika , Waarabu, Baadhi ya jamii za Asia ya mbali ili Jambo kwao wanaamini ni dhambi kubwa sana kuichunguza dini[emoji16]
Yaan wanaboa mnoo. Msieeew zao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dini yangu nadhani ni hii hapa;
'we are of God and we live for mankind' sijui utashtuka? Ila ndo hivyo naamini hivyo. Ninayafuata mafundisho ya Yesu namna ya kuenenda na kujitahidi kutii amri ya Mungu

Hii hapa imani yangu
Nikipata wasaa nitaupitia huo Uzi.
 
Au iwe optional, wanaotaka wajifunze wapewe nafasi...isiwe lazima
 
Shule zinapaswa kuwa sehemu za watoto kujifunza hesabu, sayansi, sanaa, historia na michezo. Dini wakajifunze makanisani, misikitini, mahekaluni na nyumbani kwao.
Nakubaliana nawee.
Inakera na kuboa mnoo, shuleni watu wanaleta masuala ya dini, upuuzi mtupu.
 
i agree.. kwanza serikali haina dini, vipindi vya dini what for???? lol..Kama mwanao unataka ajifunze dini mfundishe wewe mwenyewe msi shift responsibilities....lol
Haswaaa yaan.
Vipindi vya Dini mashulen vifutwe.
 
Kweli kabisa wenye dini wakajifunze huko kwenye vituo vyao..

Huwa na uliza siku wazee wa kimila nao wakiamua kuwa na vipindi shuleni je serikali itawaruhusu.?

Au ndio unafiki tu umewajaa hawa viongozi.

#MaendeleoHayanaChama
Na wanaboa zaidi eti iwe rasmi ktk mtaala wa Elimu. Hawa watu wana upofu wa fikra na mtazamo, wanaburuzwa na Dini hadi hawajielewi.
 
Back
Top Bottom