makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wazee wa kupima OIL.🤣🤣🤣🤣 Kiongozi wa backbenchers kwenye ubora wako
😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kupima OIL.🤣🤣🤣🤣 Kiongozi wa backbenchers kwenye ubora wako
Ahahahahaha! Eti wanakula pipi kifua!. Ahahahahaha!!!Vijana mtakuja kufia kitandani! Kuleni msosi wa kutosha sio ugali furu na tembele! ugali wa buku!
Yego jaji!!!!Unauchukuliaje Ugali furu? Ugali furu ueshimiwe
mnawaza tu haraka haraka, hebu fikiria daud aliyekula mke wa mjeshi wake ,daud alikuwa king, alikuwa na inferiority gani?Upo sawa. Kuna jamaa ana mke na mkewe alitaka kumuua akamwagia tindikali sehemu za siri jamaa aliugua miezi kama sita hajaingia job maana ilikuwa almanusura apoteze mjamaa wake.
Sasa siku hizi karudi job na story zake ni kuwa amekula manzi fulani na fulani na hata job yupo karibu zaidi na wanawake ndio company yake na anajisifia wote kapita nao.
Wenye akili tunajua tu kinachomtesa ni kuwa hana uwezo huo anaojigamba nao. Very low self esteem, inferiority complex and some kinf of personality disorder ndio changamoto.
Cc: Maghayo mkaldayo we ni umbwaa
MhhShalom,
Ninawajibu wa kuwapa taarifa, kuwasanua, na kuwakumbusha kuhusu umuhimu wa kuyaenzi mapenzi katika namna yenye ubora, tija, yenye kuacha Alama ama Legacy katika mapenzi.
Unapoingia kwenye mapenzi hakikisha unafahamu nyenzo muhimu zenye kuacha Alama ama Legacy kwenye Mapenzi.
Unapoishi maisha basi huna budi kuwa ni mtu mwenye kusimuliwa kwa Hadithi nzuri kuhusu tija na ubara na umaridadi unaocha kumbukumbu za shoo kali na tamu kwenye vichwa vya Maex na etc.
USHUHUDA: kiasi wa matokeo chanya na legacy yangu kwa madamu zangu wa zamani wanapikuwa na waume zao au wapenzi wapya wakinikuta popote nasalimiwa mara nne hapo hapo Wadiz Wadiz Wadiz Wadiz, wee Shaz x4 husikii ?
Ni hayo tu ikawe alhamisi njema na yenye kuleta pesa na mahaba kwetu sote.
Good day
Wadiz
Ni personality disorder hiyomnawaza tu haraka haraka, hebu fikiria daud aliyekula mke wa mjeshi wake ,daud alikuwa king, alikuwa na inferiority gani?
huyo mwanamke Bado Yuko nae na vipi hakuchuliwa sheriaUpo sawa. Kuna jamaa ana mke na mkewe alitaka kumuua akamwagia tindikali sehemu za siri jamaa aliugua miezi kama sita hajaingia job maana ilikuwa almanusura apoteze mjamaa wake.
Sasa siku hizi karudi job na story zake ni kuwa amekula manzi fulani na fulani na hata job yupo karibu zaidi na wanawake ndio company yake na anajisifia wote kapita nao.
Wenye akili tunajua tu kinachomtesa ni kuwa hana uwezo huo anaojigamba nao. Very low self esteem, inferiority complex and some kinf of personality disorder ndio changamoto.
Cc: Maghayo mkaldayo we ni umbwaa
sijajua imekuaje ila alishikiliwa na polisihuyo mwanamke Bado Yuko nae na vipi hakuchuliwa sheria