ki ukwel ndenge ni syllabus nyingine kabisa, ukitaka kujuabkuwa inashida, siku rubani atangaze kuwa ndege imeshindwa kutoa matail, na hvyo anaishisha hvyo hvyo weeeee, watu huwa wanasema makosa yote walio wahi kuyatoa,
tusimuliane tu kama hadithi il huo usafiri hauzoeleki kabisa, hata walio uzoea wanajua risk yake, na ukiona kuwa unauzoea huo usafiri ujue na kufa kunakarbia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aaaaaa!!!! mbavu zangu jamani. Wenzako mpaka mabasi ya mwendokasi yanatutia ushamba, sembuse pipa.Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Wewe ndio uamke. Watu wameanza kwenda China kununua bidhaa juzi juzi, huko Marekani watu ndio walipoanzia safari.Watanzania tuamke jamani maana tumelala mno. Mtu akitoka sana kaenda China au Dubai kununua chupi & malapulapu mengine kuja kuuza kariakoo. Fungukeni nendeni mkafundishe kiswahili marekani hukooo
Ila na nyie bana kusafiri ndege moja huwa mnaboa sana,ni bojo,bojo mpaka mnafika,hivi mkiongea kiswahili mkiwa kwenye mikusanyiko ambayo inajumuisha makabila tofauti mnapungukiwa nini!WAHAYA wengi tunasafiri kwa ndege DAR- BUKOBA tunahitaji ndege kubwa
mhmhmhmhmh ngoja nisubiri nikienda mbele nije nisimulie