Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

ki ukwel ndenge ni syllabus nyingine kabisa, ukitaka kujuabkuwa inashida, siku rubani atangaze kuwa ndege imeshindwa kutoa matail, na hvyo anaishisha hvyo hvyo weeeee, watu huwa wanasema makosa yote walio wahi kuyatoa,

tusimuliane tu kama hadithi il huo usafiri hauzoeleki kabisa, hata walio uzoea wanajua risk yake, na ukiona kuwa unauzoea huo usafiri ujue na kufa kunakarbia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Ndege inatua bila kutoa matairi? Ulishawahi kupanda ndege ıkatua bila kutoa matairi??
 
inatokea matairi yanagoma kutoka na mara nyingi hutokea mtiti ama ajali ya ndege kulipuka kwa moto kutokana na msuguano wa lami na bodi ya ndege kama fire wasipokuwa makini hali huwa ni mbaya sana
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Aaaaaa!!!! mbavu zangu jamani. Wenzako mpaka mabasi ya mwendokasi yanatutia ushamba, sembuse pipa.
 
ATC mkianza msitusahau Katavi (uwanja wa ndege upo) MZee wetu alijitahid akatujengea japo ndege ndo haziji kwa wingi kama tulivotarajia
 
Heri KLM waanze safari za Bukoba maana tumechoka kelele za wasukuma kwenye fastjet
 
Watanzania tuamke jamani maana tumelala mno. Mtu akitoka sana kaenda China au Dubai kununua chupi & malapulapu mengine kuja kuuza kariakoo. Fungukeni nendeni mkafundishe kiswahili marekani hukooo
 
Watanzania tuamke jamani maana tumelala mno. Mtu akitoka sana kaenda China au Dubai kununua chupi & malapulapu mengine kuja kuuza kariakoo. Fungukeni nendeni mkafundishe kiswahili marekani hukooo
Wewe ndio uamke. Watu wameanza kwenda China kununua bidhaa juzi juzi, huko Marekani watu ndio walipoanzia safari.
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Infact, wahaya wengi tuna uwezo hata wa kukodi ndege zitupeleke Bukoba direct mkituona huko fastjet ni ktk kuonyesha uzalendo na wala vumbi wa Mwanza /Musoma.
Cc. Rugemalira, Home boy.
 
Siku ya kwanza kupanda ndege kwa upande wangu, kila sehemu nilikuwa najipiga picha, nakumbuka nilijirekodi video huko kwenye mawingu... Haaaa
 
Back
Top Bottom