BabM
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,166
- 954
ki ukwel ndenge ni syllabus nyingine kabisa, ukitaka kujuabkuwa inashida, siku rubani atangaze kuwa ndege imeshindwa kutoa matail, na hvyo anaishisha hvyo hvyo weeeee, watu huwa wanasema makosa yote walio wahi kuyatoa,
tusimuliane tu kama hadithi il huo usafiri hauzoeleki kabisa, hata walio uzoea wanajua risk yake, na ukiona kuwa unauzoea huo usafiri ujue na kufa kunakarbia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndege inatua bila kutoa matairi? Ulishawahi kupanda ndege ıkatua bila kutoa matairi??