Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics.

Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics. For over 2 years I have been working in agriculture projects, climbing my ladder up to Project Manager so I would like to expand skills in agri-projects. If this ambition will bounce, I may look on programs related to Climate change, project management, sustainable development.
Australia/NZ ni nchi ambazo zinafuga sana, napenda sana mifugo. Yaan huwezi amin tangu sijaanza primary nilikuwa nasoma atlas na hizo nchi zilinivutia sana kama unakumbuka... Ufugaji wa kondoo...NZ (sijui kondoo wa merino- ambao hata sijapata kuwaona). But also USA I like it. Nilipenda sana program hii ya north carolina state university.
View attachment 459762
Mhe. una MA/MSc. Economics sio?
 
Emirates walianza kwa kukodisha ndege Pakistan International Airlines leo hii wanaongoza duniani kwa kwenda Destinations 160 na midege yote Mikubwa. Sisi na ATCL tuwe na malengo ya mbali. Ndogo mdogo tutafika.
 
aisee ndege bado naitafakari iweje dude zito vile lipae hewani masaa kadhaa bila kuanguka. Shikamoo Mkoloni mweupe.
Mkuu kuna kanuni inasema hivi a floating body displaces its own weight in a fluid it floats. Kanuni hii inasaidiwa na Maelezo haya in order for the plane to float in air its density should be less than that of air. Sasa basi hapa ni kwamba ili kitu kiwe na density ndogo lazima kiwe na ujazo mkubwa kuliko uzito wake na ndomaana huwa unaona ukinunua puto lamwanao ukalirusha juu kamwe haliwezi kuelea mpaka tu pale utapo tia upepo. Upepo ule hulifanya puto kuwa na ujazo MKUBWA na hivyo kupelekea puto kuwa na density ndogo kuliko density ya hewa. [emoji574] [emoji574] [emoji574] [emoji613]
 
Mkuu kuna kanuni inasema hivi a floating body displaces its own weight in a fluid it floats. Kanuni hii inasaidiwa na Maelezo haya in order for the plane to float in air its density should be less than that of air. Sasa basi hapa ni kwamba ili kitu kiwe na density ndogo lazima kiwe na ujazo mkubwa kuliko uzito wake na ndomaana huwa unaona ukinunua puto lamwanao ukalirusha juu kamwe haliwezi kuelea mpaka tu pale utapo tia upepo. Upepo ule hulifanya puto kuwa na ujazo MKUBWA na hivyo kupelekea puto kuwa na density ndogo kuliko density ya hewa. [emoji574] [emoji574] [emoji574] [emoji613]
Mtaalamu umetunufaisha wengi hasa sisi MANGWINI.
 
Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics.

Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics. For over 2 years I have been working in agriculture projects, climbing my ladder up to Project Manager so I would like to expand skills in agri-projects. If this ambition will bounce, I may look on programs related to Climate change, project management, sustainable development.
Australia/NZ ni nchi ambazo zinafuga sana, napenda sana mifugo. Yaan huwezi amin tangu sijaanza primary nilikuwa nasoma atlas na hizo nchi zilinivutia sana kama unakumbuka... Ufugaji wa kondoo...NZ (sijui kondoo wa merino- ambao hata sijapata kuwaona). But also USA I like it. Nilipenda sana program hii ya north carolina state university.
View attachment 459762
Mkuu uko kama mimi vile. Am in love with Agricultural Economics kwa kweli
 
Back
Top Bottom